Vangigula
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 852
- 2,739
๐๐๐Mkuu mkaushie huyu shemeji yako, si unaona ameoa huko kwenu Mpwapwa๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐Mkuu mkaushie huyu shemeji yako, si unaona ameoa huko kwenu Mpwapwa๐๐๐๐
Ndio kakubalii ๐คฃ๐คฃ yani huo ukoo ni tatizo kubwa hapa nchini....Duuuh kakubali tena
Hahaha dahhao wanatakiwa asubuhi wakiamka wakukute sebuleni umekaa na boxxer tu na ikiwezekana wakukute unamchakata mtoto wao kwenye kochi.
Alishasema hatakuwepo JF tena saivi ana focus kwenye mambo ya shamba.Liverpool VPN uwanja wako huu[emoji1787]
Hapo kweli ishu ni kujipa likizo ,unawaacha wenyewe matumizi watajuana , tena anabadili na namba ya simuPaoja na kwamba ni chai lkn watu wa dodoma haswa Warangi wana hii tabia, nlishaona sana Arusha. Kuna mpemba mmoja alioa huko, alikua anakaa chumba na seble lkn wakwe wakatia maguu na wakana wanalala sebleni, njia ya kuepuka haya we tafuta mahala jipe likizo ya wiki bila kuacha hata mia watajiongeza
Wewe potea hapo hata mwezi mzima,usionekane kabisa na simu uzime,watajiongeza wataondoka
Aaaah we nae sasa tukuelewaje ina maana haujasoma ukamuelewa mwenzako au?!Ukiwa na akili hiyo huwezi toboa maisha walah, yaani changamoto ndogo namna hiyo unakuja kulia lia jf? Wangekuwa ni wazazi wako ungelalamika kiivo? Yaani umenichefua sana. Be a real man
Hahahh KawoliiUkiwa na akili hiyo huwezi toboa maisha walah, yaani changamoto ndogo namna hiyo unakuja kulia lia jf? Wangekuwa ni wazazi wako ungelalamika kiivo? Yaani umenichefua sana. Be a real man
Tatizo wagogo watamu utamkimbiaje mke sasaWewe potea hapo hata mwezi mzima,usionekane kabisa na simu uzime,watajiongeza wataondoka
Hiyo kazi hatakiwi kuifanya yeye ni jukumu la mkewe. Hawa wanawake nao muda mwingine sijui akili zinakuwa wapi maana hawana huruma na mwanaume hata kidogo.Mkuu ni Bora uonekana mbaya.....Jumamosi Kaa zako sebleni wape taarifa kua jumapil usiku Kuna kikao....muda wa kikao waambie jamani mama mkwe na baba mkwe naomba mrudi kijijini...muda wenu wa kuishi kwangu umeisha.samahani kama ntakua nimewakawaza ....
Na wengine ambao uwataki waambie.....ukimaliza wape nauli ingia chumbani lala....ukiamka asubui muulize mke wako ndugu zako wanaondoka sa ngap nkirudi nkute majibu.....ukiwa serious!!!
Mwambie waondoke kwanza akibahatika kupata mtoto, watarudiMke wangu nimejaribu kumwambia awambie ndugu zake na wazazi warudi kijijini lakini hataki eti anatamani awe nao karibu ili akibahatika kupata mtoto wamsaidie kulea.
Apana kwa maisha ya mjini huyu bwana atapata sana shida ..vp wakiumwa ?? Na mahitaj mengine muhimu ?? Kiukwel jamaaa ana mzigo bhanaUkiwa na akili hiyo huwezi toboa maisha walah, yaani changamoto ndogo namna hiyo unakuja kulia lia jf? Wangekuwa ni wazazi wako ungelalamika kiivo? Yaani umenichefua sana. Be a real man
Tafadhali usijaribu kufuata ushauri huu wa kujidhalilisha na mama mkwe wako. Bora utafute solution nyingine.Lengo halikuwa kupiga mkuu nilifikiri labda ingekuwa sababu ya yeye kuchukia na kuondoka lakini haikuwa hivyo.