KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Punguza hela ya matumizi na mwisho usitoe kbs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya yafuatayo au mojawapo..Wakuu mimi ni mkazi na mzaliwa wa Dar es Salaam maeneo ya Tegeta, tatizo langu kuu mpaka nimekuja kuomba ushauri ni mke wangu kawakusanya ndugu zake na wazazi wake toka kijijini huko Mpwapwa. Yani imekua kero mi mwenyewe ndio natafuta maisha lakini nyumbani tupo jumla watu tisa pamoja na wazazi wake, nyumba yenyewe nimepanga nyumba viwili na sebule.
Sina raha hata kujiachia na mke wangu siwezi, mwezi wa nne huu hata mzigo sijala maana asubuhi nimeenda kazini, nikirudi jioni watu wamejaa na usiku wanalala sebuleni wengine chumbani.
Nimevurugwa kijana mwenzenu pesa yote ninayopata ambayo tungenunua hata kiwanja inaishia kwenye chakula na wanakula mno. Mke wangu nimejaribu kumwambia awambie ndugu zake na wazazi warudi kijijini lakini hataki eti anatamani awe nao karibu ili akibahatika kupata mtoto wamsaidie kulea.
Ndugu zangu naomba ushauri nifanye nini, nikimbie nyumba au niwafukuze mimi mwenyewe.
Rafiki yangu mmoja alinishauri labda nimtongoze mama mkwe lengo achukie aondoke na mmewe lakini cha ajabu amekubali 😥😥😥😥
MNISHAURI SANA🙏🙏🙏🙏NASOMA COMMENTS ZOTE.
Wanalala na maovaloriSasa mnalalaje humo naimagine sipati picha kabisa!!
Duh,watu tisa si kuleteana umaskini?bila shaka ni mrangi au mgogo
Sasa mnalalaje humo naimagine sipati picha kabisa!!
Noma sana!.....na wanakula mno. .
Rafiki yangu mmoja alinishauri labda nimtongoze mama mkwe lengo achukie aondoke na mmewe lakini cha ajabu amekubali 😥😥😥😥
Rubbish unaisi wazazi wake wangekaa apo kwenye mazingira kama hayoo mzazi haumwii wanakuja kukaa chumba kimoja unaakili kweli ingekuwa Mimi wangeona ingekuwaje huu ujinga ukiulea ndyo wanakupanda kichwaniUkiwa na akili hiyo huwezi toboa maisha walah, yaani changamoto ndogo namna hiyo unakuja kulia lia jf? Wangekuwa ni wazazi wako ungelalamika kiivo? Yaani umenichefua sana. Be a real man
Ukiwa na akili hiyo huwezi toboa maisha walah, yaani changamoto ndogo namna hiyo unakuja kulia lia jf? Wangekuwa ni wazazi wako ungelalamika kiivo? Yaani umenichefua sana. Be a real man
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Atakuwa mrangi...wale watu kama wadudu vile
Hata akihamia mmoja mtaani, basi watakuja na wengine na wengine na wengine tena...hadi jina la mtaa watabadilisha litaitwa mtaa wa warangi!
Comment hii inaonekana imetolewa na jinsia ya kike.Ukiwa na akili hiyo huwezi toboa maisha walah, yaani changamoto ndogo namna hiyo unakuja kulia lia jf? Wangekuwa ni wazazi wako ungelalamika kiivo? Yaani umenichefua sana. Be a real man