Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana Mpwapwa ndio kwenu, waambie hao ndugu zako warudi kijijini, wanampa tabu mshikaji.Chai......
1. Kama hujapiga game kwa miezi 4 na unaweza usipewe game for unforeseen future.... huyo mtoto anayesubiriwa ili msaidiwe kulea atatoka wapi?
2. Kwa mazingira hayo ambayo umeshindwa tu kumpembua wife, hayo mazingira ya kutongoza na kum-do our mother-in-law yanatoka wapi?
Ila kingine story yako ingenoga tu bila specifically kuitaja Mpwapwa
Mpwa.hoyee kama.ndio.hujapenda waambie nduguzako watakosa vyote. NamjorekebisheChai......
1. Kama hujapiga game kwa miezi 4 na unaweza usipewe game for unforeseen future.... huyo mtoto anayesubiriwa ili msaidiwe kulea atatoka wapi?
2. Kwa mazingira hayo ambayo umeshindwa tu kumpembua wife, hayo mazingira ya kutongoza na kum-do our mother-in-law yanatoka wapi?
Ila kingine story yako ingenoga tu bila specifically kuitaja Mpwapwa
Kama chai umechangia niniNilikuamini na story yako ila hapo uliposema umemtongozwa mama mkwe mmh siamini huo uthubutu umeutoa wapi? Eti amekubali chai hii.
Anyways pole ila jitahidi kumwambia mkeo aongee nao tu warudi kama akipata huyo mtoto basi atawaita baadhi tu si wote. Nakumbuka bibi yangu alivokua hapendi kukaa kwa watoto wake anasema mji wangu nimeuacha na mashamba naondoka. Kumbe kuna wazazi waoona fresh tu kuishi kwa mtoto tena anayeanza maisha vyumba 2 bila sababu yoyote kama wanaumwa wamekuja kutibiwa labda mmh[emoji2960]
Huyu analeta Ze komedi kwenye mambo ya seriouslyNilijitahidi kusoma kwa makini ili nione cha kuchangia labda, Ila ghafla nimekaukiwa maneno baada ya kusema.... Cha ajabu, kakubali
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Unatafuta radhi wewe siyo bureeeLengo halikuwa kupiga mkuu nilifikiri labda ingekuwa sababu ya yeye kuchukia na kuondoka lakini haikuwa hivyo.
Unajua familia nyingine sijui wakojeMkuu ni Bora uonekana mbaya.....Jumamosi Kaa zako sebleni wape taarifa kua jumapil usiku Kuna kikao....muda wa kikao waambie jamani mama mkwe na baba mkwe naomba mrudi kijijini...muda wenu wa kuishi kwangu umeisha.samahani kama ntakua nimewakawaza .... Na wengine ambao uwataki waambie.....ukimaliza wape nauli ingia chumbani lala....ukiamka asubui muulize mke wako ndugu zako wanaondoka sa ngap nkirudi nkute majibu.....ukiwa serious!!!
Nakuonya kuhusu kuondoka dawa hamisha vitu vyote muhimu hapo hifadhi hata kwa majirani, Wagogo ukiondoka ukawaachia vitu utakuta nyumba nyeupe haina kitu, ole wako ile siku wataimba sana nyimbo za kilugha chao utaisoma, inaonekana umelewa cheupe dawa wale wenye golori chapa ya uso.
Wana vitako fulani ngongi Refractive kimkunjo danceee.
Jamaa ka mind sana Mpwapwa kutajwa.[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu
Ukisikia mikosi ndio hii sasa. Kwaiyo sahv unakula mama mkwe?Rafiki yangu mmoja alinishauri labda nimtongoze mama mkwe lengo achukie aondoke na mmewe lakini cha ajabu amekubali 😥😥😥😥