intelinside
JF-Expert Member
- May 21, 2015
- 304
- 402
Waambie wasepe kistaarabu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Mpwapwa ni kwetu mkuu ila sina ndugu ninayemfahamu ambaye wazazi wake wanaishi kwa shemeji.Mkuu hujapenda bandiko kisa kwenu ni Mpwapwa. Halafu inawezekana huyu jamaa ni shemeji yako bana. Mwambie bi mkubwa na mzee waondoke kwa shemeji yako watavunja ndoa ya dada yako.
Duh aseeChukua mke mkunje usiku mzima peleka moto wakitosha hakikisha anapiga kelele mpk mtaa wa pili wasikie, tumia hata mkongo akikisha umepeleka moto haswa mpaka wakwe wasikie kilio cha mtoto wao
Hapana aisee wengi mno . 9 !!Ukiwa na akili hiyo huwezi toboa maisha walah, yaani changamoto ndogo namna hiyo unakuja kulia lia jf? Wangekuwa ni wazazi wako ungelalamika kiivo? Yaani umenichefua sana. Be a real man
Kila familia ina malez na tabia zake, mfano mim wazaz wangu na ndugu zangu hatu pendi kutembea majumban kwa watu au kwenda kuishi kwa ndugu bila sababu ya msingi kama msiba, harusi, mgonjwaUkiwa na akili hiyo huwezi toboa maisha walah, yaani changamoto ndogo namna hiyo unakuja kulia lia jf? Wangekuwa ni wazazi wako ungelalamika kiivo? Yaani umenichefua sana. Be a real man
Wata mpata wataenda kumtafuta kazin kwake au kituo cha polis, hospitalWewe potea hapo hata mwezi mzima,usionekane kabisa na simu uzime,watajiongeza wataondoka
Mke wangu nimejaribu kumwambia awambie ndugu zake na wazazi warudi kijijini lakini hataki eti anatamani awe nao karibu ili akibahatika kupata mtoto wamsaidie kulea.
Lakin sio ustaarabu tena watu wabadilike watu wakioana wapewe space kabisaUkiwa na akili hiyo huwezi toboa maisha walah, yaani changamoto ndogo namna hiyo unakuja kulia lia jf? Wangekuwa ni wazazi wako ungelalamika kiivo? Yaani umenichefua sana. Be a real man
Mkuu hujapenda bandiko kisa kwenu ni Mpwapwa. Halafu inawezekana huyu jamaa ni shemeji yako bana. Mwambie bi mkubwa na mzee waondoke kwa shemeji yako watavunja ndoa ya dada yako.