Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Kumsumizia mhogo mkewe inakuwa ngumu Sana.Mhmm Ndugu wote hao Afu vyumba viwili tu???!! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] Kazi unayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumsumizia mhogo mkewe inakuwa ngumu Sana.Mhmm Ndugu wote hao Afu vyumba viwili tu???!! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] Kazi unayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Umafia wa kiwango cha lami.Wewe potea hapo hata mwezi mzima,usionekane kabisa na simu uzime,watajiongeza wataondoka
Njoo utie mkono upapase ndio utapata majibu kamili.Comment hii inaonekana imetolewa na jinsia ya kike.
[emoji23][emoji23][emoji23] Ushauri huu dah!!!. Kweli akili za kuambiwa changanya na zako.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amekubali maana amekuona wee Kidume, kulisha familia ya watu 9 sio mchezo.
Anyway ,Jipigie Mama mkwe, na hakikisha Mkeo na Baba Mkwe, wamejua kua Umemla Mama mkwe.
Utakuja kunishukuru.!!!!
Nmekushauri hili, sababu umeshamtongoza na kakubali, so sehem ya pili, IWE ivo !!
Mkuu mkaushie huyu shemeji yako, si unaona ameoa huko kwenu Mpwapwa😀😀😀😀Chai......
1. Kama hujapiga game kwa miezi 4 na unaweza usipewe game for unforeseen future.... huyo mtoto anayesubiriwa ili msaidiwe kulea atatoka wapi?
2. Kwa mazingira hayo ambayo umeshindwa tu kumpembua wife, hayo mazingira ya kutongoza na kum-do our mother-in-law yanatoka wapi?
Ila kingine story yako ingenoga tu bila specifically kuitaja Mpwapwa
Mkuu amesema wengine wanalala sebuleni, labda waingie chumbani kwao mapema sana, kisha wapige game moja ya kibabe sana na wasifunge mlango ili sauti zifike vizuri hapo sebleni hadi ziwakerehao wanatakiwa asubuhi wakiamka wakukute sebuleni umekaa na boxxer tu na ikiwezekana wakukute unamchakata mtoto wao kwenye kochi.
Vua kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]Njoo utie mkono upapase ndio utapata majibu kamili.
😂😂😂😂 una rafiki wa ovyo huku utapewa ushauri muruaWakuu mimi ni mkazi na mzaliwa wa Dar es Salaam maeneo ya Tegeta, tatizo langu kuu mpaka nimekuja kuomba ushauri ni mke wangu kawakusanya ndugu zake na wazazi wake toka kijijini huko Mpwapwa. Yani imekua kero mi mwenyewe ndio natafuta maisha lakini nyumbani tupo jumla watu tisa pamoja na wazazi wake, nyumba yenyewe nimepanga nyumba viwili na sebule.
Sina raha hata kujiachia na mke wangu siwezi, mwezi wa nne huu hata mzigo sijala maana asubuhi nimeenda kazini, nikirudi jioni watu wamejaa na usiku wanalala sebuleni wengine chumbani.
Nimevurugwa kijana mwenzenu pesa yote ninayopata ambayo tungenunua hata kiwanja inaishia kwenye chakula na wanakula mno. Mke wangu nimejaribu kumwambia awambie ndugu zake na wazazi warudi kijijini lakini hataki eti anatamani awe nao karibu ili akibahatika kupata mtoto wamsaidie kulea.
Ndugu zangu naomba ushauri nifanye nini, nikimbie nyumba au niwafukuze mimi mwenyewe.
Rafiki yangu mmoja alinishauri labda nimtongoze mama mkwe lengo achukie aondoke na mmewe lakini cha ajabu amekubali 😥😥😥😥
MNISHAURI SANA🙏🙏🙏🙏NASOMA COMMENTS ZOTE.
😂😂😂😂💔akili zako haziko sawaaa😂😂😂💔ety akakubaliiiiiiWakuu mimi ni mkazi na mzaliwa wa Dar es Salaam maeneo ya Tegeta, tatizo langu kuu mpaka nimekuja kuomba ushauri ni mke wangu kawakusanya ndugu zake na wazazi wake toka kijijini huko Mpwapwa. Yani imekua kero mi mwenyewe ndio natafuta maisha lakini nyumbani tupo jumla watu tisa pamoja na wazazi wake, nyumba yenyewe nimepanga nyumba viwili na sebule.
Sina raha hata kujiachia na mke wangu siwezi, mwezi wa nne huu hata mzigo sijala maana asubuhi nimeenda kazini, nikirudi jioni watu wamejaa na usiku wanalala sebuleni wengine chumbani.
Nimevurugwa kijana mwenzenu pesa yote ninayopata ambayo tungenunua hata kiwanja inaishia kwenye chakula na wanakula mno. Mke wangu nimejaribu kumwambia awambie ndugu zake na wazazi warudi kijijini lakini hataki eti anatamani awe nao karibu ili akibahatika kupata mtoto wamsaidie kulea.
Ndugu zangu naomba ushauri nifanye nini, nikimbie nyumba au niwafukuze mimi mwenyewe.
Rafiki yangu mmoja alinishauri labda nimtongoze mama mkwe lengo achukie aondoke na mmewe lakini cha ajabu amekubali 😥😥😥😥
MNISHAURI SANA🙏🙏🙏🙏NASOMA COMMENTS ZOTE.
Aisee Tanzania ina maajabu sana daaaahNimecheka hapo kwenye amekubali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sa unasubiri nini mkuu kula mtu
Kabisa yani!Kumsumizia mhogo mkewe inakuwa ngumu Sana.
haha hajaona mzee wa livaaLiverpool VPN uwanja wako huu[emoji1787]
Hii inategemeana na kabila kwetu ni mwiko kuhamia kwa mkwe unless kuna sababu maalumNilikuamini na story yako ila hapo uliposema umemtongozwa mama mkwe mmh siamini huo uthubutu umeutoa wapi? Eti amekubali chai hii.
Anyways pole ila jitahidi kumwambia mkeo aongee nao tu warudi kama akipata huyo mtoto basi atawaita baadhi tu si wote. Nakumbuka bibi yangu alivokua hapendi kukaa kwa watoto wake anasema mji wangu nimeuacha na mashamba naondoka. Kumbe kuna wazazi waoona fresh tu kuishi kwa mtoto tena anayeanza maisha vyumba 2 bila sababu yoyote kama wanaumwa wamekuja kutibiwa labda mmh[emoji2960]
Sasa sindo mama mkwe atakapoomba na yeye showChukua mke mkunje usiku mzima peleka moto wakitosha hakikisha anapiga kelele mpk mtaa wa pili wasikie, tumia hata mkongo akikisha umepeleka moto haswa mpaka wakwe wasikie kilio cha mtoto wao
hao wanatakiwa asubuhi wakiamka wakukute sebuleni umekaa na boxxer tu na ikiwezekana wakukute unamchakata mtoto wao kwenye kochi.