Wazazi na walimu mnaweza kujifunza kupitia huyo mtoto!

Wazazi na walimu mnaweza kujifunza kupitia huyo mtoto!

CARIFONIA

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2013
Posts
616
Reaction score
1,453
Hivi ndivyo inavyokuwa wazazi wanapoweka kipaumbele kwenye elimu badala ya burudani. Hebu fikiria iwapo watoto wengi zaidi wangeanza kusoma kama hivi wakiwa na umri mdogo. 📚
 
Lakini inawezekana hata hapa Tanzania
Kabisaaa ila mifumo yetu ya elimu na maisha sio friendly kama unavyodhan wewe. Mfano unadhani huyu dogo anaenda shule kwa mguu au akirudi shule anakutana na kipigo sababu kaopoa nyama ilikuwa inaiva jikoni?. Elimu inatengenezewa mazingira, namna watoto wanavyofundishwa IST ni tofauti kabisa hata let's say Feza..Huyu dogo uliemuona kwenye video hii tukimfuatilia sana utakuta babake labda ni li ATHLETE mkubwa USA, si uliona dogo katunga sentence kwanza babake ni jitu la miraba 6 ukute hata ni li football player la NFL au li NBA player la Detroit Pistons , na ukute anasoma shule private na shule private mbele ni very expensive...SOMO NILILOJIFUNZA NI TUTAFUTE HELA KUWA NGUVU WATOTO WAWEZE KUSOMA KAWA STANDARD NZURI..
 
Hiyo composer na mental strength ya huyo mtoto ni unique!
Hapa inaonesha kwanza imetokana na mazingira mazuri ya home schooling na shule pia Pako vizuri (Likud ana Cha kujifunza)
Nimependa aliposema "you not play with toys"hii inaonesha nyumbani wazazi wanamjenga vipi ila pale "my mom takes everything away" body language ilionesha ni reality ambayo huwa haipendi sababu ni daddy's daughter hasa aliposema "my dady is so big!!
 
Nimempenda huyo teacher yupo friendly sana,ana kauli nzuri sana kwa mtoto na kumpa hamasa pia

Sasa njoo kwa maticha wa kayumba!!!
 
Back
Top Bottom