Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 850
- 2,019
Kila mzazi anachukizwa na tabia ya watoto kujiingiza kwenye mahusiano ya kimapenz shueni. Watoto wawapo shuleni hasa kizaz hiki wanakuwa na wapenzi wao. Wengine wanakuwa ile kimakuzi tu ni mpenz na wanashare chakula, na upendo ila si kimahaba kama ilivyo miaka hii. Hivi sasa watoto kwanza wana simu. Wanawasiliana na wanakutana kuzanghambuana kwenye vichaka.
Ni wakati ambao watoto wanapoteza usichana wao wawapo shuleni. Tena watoto wa kike wanataka wenyewe.
Mambo yanayoendelea masculinity ni mambo ya ajabu sana, kwamb kila mtoto hakosi kavulana na walimu wanajitahidi kukata mahusiano hayo inashindikana ktk mazingira ya nyumbn wazaz tunakuwa busy watoto wanazanghambuana majumbani mwetu.
Serikali yangu tukufu ifanye jambo...na isipofanya jambo kizazi kitazama kitatokea jamii ya ajabu kuwahi kutokea hapa ulimwenguni.
Kama serikali ilivyoweka sheria kali kwa wabakaji wa watoto na kufungwa miaka 30. Watoto wa kiume wawekewe sheria kali zaidi ya miaka 30.
Watoto wanasex wao kwa wao na watoto wa kike hawako salama wawapo shuleni.
Ndugu wazazi wenzangu watoto wanatengeneza pair boyfriend na girl friend shuleni and then anasingiziwa walimu kumbe watoto wanadinyana kwa 190% wao kwa wao. Hii jambo lipo kwa kias na linafanyika kwa kasi ya umeme. Watoto wetu asilimia 100 wanaosoma boarding washanajisiwa. Wapo ambao wanafanyana kinyume ili kuepusha kuondoa usichana, wanathubutu kutumia njia ya haja kubwa ili alinde uke wake..hii ni hatari sana. Amkeni amkeni amkeni ndg wazazi na wasamalia wema. Shule zote zote nchini zipo katika dimbwi hili la ngomo shuleni
Ni wakati ambao watoto wanapoteza usichana wao wawapo shuleni. Tena watoto wa kike wanataka wenyewe.
Mambo yanayoendelea masculinity ni mambo ya ajabu sana, kwamb kila mtoto hakosi kavulana na walimu wanajitahidi kukata mahusiano hayo inashindikana ktk mazingira ya nyumbn wazaz tunakuwa busy watoto wanazanghambuana majumbani mwetu.
Serikali yangu tukufu ifanye jambo...na isipofanya jambo kizazi kitazama kitatokea jamii ya ajabu kuwahi kutokea hapa ulimwenguni.
Kama serikali ilivyoweka sheria kali kwa wabakaji wa watoto na kufungwa miaka 30. Watoto wa kiume wawekewe sheria kali zaidi ya miaka 30.
Watoto wanasex wao kwa wao na watoto wa kike hawako salama wawapo shuleni.
Ndugu wazazi wenzangu watoto wanatengeneza pair boyfriend na girl friend shuleni and then anasingiziwa walimu kumbe watoto wanadinyana kwa 190% wao kwa wao. Hii jambo lipo kwa kias na linafanyika kwa kasi ya umeme. Watoto wetu asilimia 100 wanaosoma boarding washanajisiwa. Wapo ambao wanafanyana kinyume ili kuepusha kuondoa usichana, wanathubutu kutumia njia ya haja kubwa ili alinde uke wake..hii ni hatari sana. Amkeni amkeni amkeni ndg wazazi na wasamalia wema. Shule zote zote nchini zipo katika dimbwi hili la ngomo shuleni