Wazazi tunapitia magumu mno katika malezi, watoto wana mbinu ovu

Wazazi tunapitia magumu mno katika malezi, watoto wana mbinu ovu

Utawafanyaje hormone zishawapanda na wamepevuka?
Kikubwa ni kuwapa elimu ya ngono salama na elimu ya maadili.
Hakuna anaependa ila shida ni mazingira na mlundikano wa hormone mwilini unawapelekesha.mtu asie na elimu anaweza kudhani wanajiendekeza,ila sio kweli.

Kikubwa kama una mtoto anabalehe kaa nae.mpe msimamo wako kama mzazi.mwambie Fulani umri wako halali wa kuanza kujihusisha na mapenzi ni ukifika miaka 18.maybe atakutii
Huu ni uongo kwa hiyo waliozaliwa zamani walikuwa hawana homoni???,tatizo hapa ni kwenye sheria wasimamizi wa sheria ndio tatizo.
 
Tatizo linaanzia hapa Wazazi mnawaona watoto ni wadogo Sana kujifunza kumuogopa Mungu.

Mtoto anamiaka mitatu minne ajifunze kuhusu Mungu na sala ndogo ndogo.Lakini itakapoonekana ni upuuzi kufanya hivyo Shetani haangali ni mtoto, kipindi wewe unasema yeye ni mdogo bado Shetani atamfundisha mambo ya mapenzi na Ushoga kupitia Katuni na wanafunzi wengine anaokutana nao mashuleni.

Huo umri unaousubiri afike Ili umkuze kwenye Imani ukifika tayari Shetani ameshamkomaza kwenye maovu.
Nilimwambia mwanangu ukisex utakufa ..bas anaogopa sana
 
Dada wa kazi akajifislcha akasex na jirani mwanangu akasema alimkuta dada anasex...mwez sasa mbona hafi?


Nisaidieni niweke maneno gani hapo asistukie
 
Kumfikisha mtoto utu uzima hadi ajitambue inahitaji kujitoa mno. Sacrifice yake sio ya kitoto. Nilipokuwa kwenye early 20s nilishangaa sana Uncle wangu alipoacha kazi nzuri nje ya nchi iliyokuwa inampa zaidi ya 20m kwa mwezi ili arudi kukaa karibu na mwanae wa kwanza wa kiume aliyekuwa teenager. Yule dogo alishaanza kuwa hatari na mama alishamshindwa. Uncle alipambana sana hadi mwanae akamaliza chuo kikuu. Kwa sasa katulia ni mtu mzima.

Kuhusu watoto kupenda mapenzi kiukweli ni suala gumu pia. Tulipokuwa O - level kuna wenzetu tukiwa kwenye mtihani mtu anajikuta anapiga bao. Yaani kasheshe. Enzi za balehe mnara unakuwa wima hovyo hovyo mno. Tuliwekewa sana mafuta taa kwenye maharage ili kupunguza ukubwa wa tatizo.
 
Kulingana na maisha ya sasa baba na mama wote ni watafutaji muda wa kuwa na watoto haupo mabint wa kazi kadhalka ni mtihani

Na tukipewa mashtaka ya wanetu tunaona wanasemwa vibaya bila kuchunguza mtoto anaona wazazi wapo upande wangu majirani wataacha kukuambia hata wakimuona anafanya mambo ya tofauti.

Watoto wa sasa ukisema umfukuze jua wapo watakao mpokea siyo zamani mtu akiambiwa anafukuzwa analia sana maana hajui nani atampokea kwakuwa jamii yote inapinga anachokifanya
Pia watoto wa sasa ni wadadisi ukiwaambia jambo nikama umemwambia akalifanye

Kwakweli mambo na sababu za maadili kushuka kwa wanetu ninyingi na nyingine zinatuhusu wazazi maana sisi ndiyo tunawataka mabint washule
Kiujumla jamii yote imeharibika

Yote kwa yote jamii iungane tuwe na kampeni ya mambo ya kimaadili tukisema hili hapana liwe hapana kwa wote siyo hapana kwangu ili kwako ndiyo hapo ndiyo ukimkataza wewe atakuambua baba/mama mbona fulani wazazi wake wanamruhusu kuhusu jambo hilo ukimfukuza ataenda huko anapoona imekuwa ndiyo
So jamii kama jamii kwa ujumla wetu tushikamane wazazi kwa walezi, majirani kwa wapita njia kulingania maadili ya jamii kwa ujumla.
 
Kila mzazi anachukizwa na tabia ya watoto kujiingiza kwenye mahusiano ya kimapenz shueni. Watoto wawapo shuleni hasa kizaz hiki wanakuwa na wapenzi wao. Wengine wanakuwa ile kimakuzi tu ni mpenz na wanashare chakula, na upendo ila si kimahaba kama ilivyo miaka hii. Hivi sasa watoto kwanza wana simu. Wanawasiliana na wanakutana kuzanghambuana kwenye vichaka.
View attachment 3141127

Ni wakati ambao watoto wanapoteza usichana wao wawapo shuleni. Tena watoto wa kike wanataka wenyewe.

Mambo yanayoendelea masculinity ni mambo ya ajabu sana, kwamb kila mtoto hakosi kavulana na walimu wanajitahidi kukata mahusiano hayo inashindikana ktk mazingira ya nyumbn wazaz tunakuwa busy watoto wanazanghambuana majumbani mwetu.


Serikali yangu tukufu ifanye jambo...na isipofanya jambo kizazi kitazama kitatokea jamii ya ajabu kuwahi kutokea hapa ulimwenguni.

Kama serikali ilivyoweka sheria kali kwa wabakaji wa watoto na kufungwa miaka 30. Watoto wa kiume wawekewe sheria kali zaidi ya miaka 30.

Watoto wanasex wao kwa wao na watoto wa kike hawako salama wawapo shuleni.

Ndugu wazazi wenzangu watoto wanatengeneza pair boyfriend na girl friend shuleni and then anasingiziwa walimu kumbe watoto wanadinyana kwa 190% wao kwa wao. Hii jambo lipo kwa kias na linafanyika kwa kasi ya umeme. Watoto wetu asilimia 100 wanaosoma boarding washanajisiwa. Wapo ambao wanafanyana kinyume ili kuepusha kuondoa usichana, wanathubutu kutumia njia ya haja kubwa ili alinde uke wake..hii ni hatari sana. Amkeni amkeni amkeni ndg wazazi na wasamalia wema. Shule zote zote nchini zipo katika dimbwi hili la ngomo shuleni
Kama tunachukizwa na kuumizwa na haya tuungane kwapamoja kulaani na kukataa kwa pamoja tuwe na kauli moja juu ya malezi ya jamii
 
Kila mzazi anachukizwa na tabia ya watoto kujiingiza kwenye mahusiano ya kimapenz shueni. Watoto wawapo shuleni hasa kizaz hiki wanakuwa na wapenzi wao. Wengine wanakuwa ile kimakuzi tu ni mpenz na wanashare chakula, na upendo ila si kimahaba kama ilivyo miaka hii. Hivi sasa watoto kwanza wana simu. Wanawasiliana na wanakutana kuzanghambuana kwenye vichaka.
View attachment 3141127

Ni wakati ambao watoto wanapoteza usichana wao wawapo shuleni. Tena watoto wa kike wanataka wenyewe.

Mambo yanayoendelea masculinity ni mambo ya ajabu sana, kwamb kila mtoto hakosi kavulana na walimu wanajitahidi kukata mahusiano hayo inashindikana ktk mazingira ya nyumbn wazaz tunakuwa busy watoto wanazanghambuana majumbani mwetu.


Serikali yangu tukufu ifanye jambo...na isipofanya jambo kizazi kitazama kitatokea jamii ya ajabu kuwahi kutokea hapa ulimwenguni.

Kama serikali ilivyoweka sheria kali kwa wabakaji wa watoto na kufungwa miaka 30. Watoto wa kiume wawekewe sheria kali zaidi ya miaka 30.

Watoto wanasex wao kwa wao na watoto wa kike hawako salama wawapo shuleni.

Ndugu wazazi wenzangu watoto wanatengeneza pair boyfriend na girl friend shuleni and then anasingiziwa walimu kumbe watoto wanadinyana kwa 190% wao kwa wao. Hii jambo lipo kwa kias na linafanyika kwa kasi ya umeme. Watoto wetu asilimia 100 wanaosoma boarding washanajisiwa. Wapo ambao wanafanyana kinyume ili kuepusha kuondoa usichana, wanathubutu kutumia njia ya haja kubwa ili alinde uke wake..hii ni hatari sana. Amkeni amkeni amkeni ndg wazazi na wasamalia wema. Shule zote zote nchini zipo katika dimbwi hili la ngomo shuleni
Ndio maana mnaambiwa acheni kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto wenu kwenye shule za EMs
 
We unashaurije? Nitembee natangaza kuwa nna HIV hivo nahitaji mwenyewe HIV mwenzangu ili tusex?
Tumia kinga usimuambukize mtoto wa watu, acha uuaji. Kwanza huo ni ubakaji kutembea na mtoto mdogo
 
Kuna mwalimu mmoja alikuwaga anaingia form three kipindi tupo form three eti anawapiga biti wasichana anasema msichana atakae tongozwa aje aseme kwake amseme aliyemtongoza.
 
Mama Edina wewe hauna mtoto wa kiume?
Utajisikiaje mtoto wako wa form 2 akihukumiwa kufungwa jela miaka 30 kwa kumpea mimba msichana anaesoma nae?
 
Back
Top Bottom