Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
Kwahyo HIV inazuia mapenzi? Au ukipata HIV mnara hausomi?Witch hunter umewahi kutuambia wana-JF kwamba wewe ni HIV
positive.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo HIV inazuia mapenzi? Au ukipata HIV mnara hausomi?Witch hunter umewahi kutuambia wana-JF kwamba wewe ni HIV
positive.
Unamuambukiza huyo mwanamke makusudi.Kwahyo HIV inazuia mapenzi? Au ukipata HIV mnara hausomi?
We unashaurije? Nitembee natangaza kuwa nna HIV hivo nahitaji mwenyewe HIV mwenzangu ili tusex?Unamuambukiza huyo mwanamke makusudi.
Hapana aisee,Watoto wa kiume wawekewe sheria kali zaidi ya miaka 30.
Kwanini watoto wa kiume ndiò waadhibiwe?Kama serikali ilivyoweka sheria kali kwa wabakaji wa watoto na kufungwa miaka 30. Watoto wa kiume wawekewe sheria kali zaidi ya miaka 30.
Umenifanya neno kuwa gumu mno,ni kuzagamuana.....wanakutana kuzanghambuana kwenye vichaka
Habari mbaya tu ni wengi wao wanaishi na VVU.....watoto wetu hawapo salama.
Sheria inatambua kuwa mtu yoyote mwenye umri chini ya 18yrs hawezi kufanya maamuzi mwenyewe as bado hajawa mtu mzima. Hivyo tunaamini kuwa yoyote atakayefanya mapenzi na huyo mtu amemrubuni, amemlaghai na/au kumbaka. Hivyo yeye hana kosa bali yule aliyemrubuni.Kwanini watoto wa kiume ndiò waadhibiwe?
wanafunzi wa kike kwa tamaa zao wanaanzisha mahusiano na watu wazima, wanabeba mimba na bado wanarudi kusoma
ila wakiume ndio anaonekana muharifu anapelekwa jela
Inferiority complex bado inasumbua jamii yetu
Mbona kutishana mchana mchana VVU imeingiaje tena humu mwana JF ?Habari mbaya tu ni wengi wao wanaishi na VVU.....watoto wetu hawapo salama.
kwamba kufanya mapenzi ni haja ya mwanaume tu?Sheria inatambua kuwa mtu yoyote mwenye umri chini ya 18yrs hawezi kufanya maamuzi mwenyewe as bado hajawa mtu mzima. Hivyo tunaamini kuwa yoyote atakayefanya mapenzi na huyo mtu amemrubuni, amemlaghai na/au kumbaka. Hivyo yeye hana kosa bali yule aliyemrubuni.
Utaelewa tu.....Mbona kutishana mchana mchana VVU imeingiaje tena humu mwana JF ?
Niliona hiyo habari, kwa sasa kulingana na mabadiliko ya teknolojia na uhuru uliopo ni kuwaweka wazi tu wajue ila kizazi cha sasa ni korofi mno.Mungu atasaidia.kikubwa mpe elimu ya kujitambua.
Imagine mtoto ana smartphone anaweza kujiweka porno mda wote anaangalia,juzijuzi wamefukuzwa shule Fulani wanajipiga picha za uchi na kusambaza.malezi magumu.
Hahaha pole Kwa huyo mama...hili ni balaaNiliona hiyo habari, kwa sasa kulingana na mabadiliko ya teknolojia na uhuru uliopo ni kuwaweka wazi tu wajue ila kizazi cha sasa ni korofi mno.
Mwezi wa 6 kuna binti wa darasa la 7 alimshikia kisu mama yake kwa sababu alimfokea kwa kuchelewa kurudi nyumbani. Mtoto alirudi saa 5 usiku kaletwa na boda, inasikitisha sana.