Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ila nae alichangia hali hiyo, mzazi unamuacha mtoto anajizururia hovyo tu mtaani akiambiwa anasema wasimpangie maisha, mavuno kaanza kuyapata mapema sana.Hahaha pole Kwa huyo mama...hili ni balaa
Huu ni uongo kwa hiyo waliozaliwa zamani walikuwa hawana homoni???,tatizo hapa ni kwenye sheria wasimamizi wa sheria ndio tatizo.Utawafanyaje hormone zishawapanda na wamepevuka?
Kikubwa ni kuwapa elimu ya ngono salama na elimu ya maadili.
Hakuna anaependa ila shida ni mazingira na mlundikano wa hormone mwilini unawapelekesha.mtu asie na elimu anaweza kudhani wanajiendekeza,ila sio kweli.
Kikubwa kama una mtoto anabalehe kaa nae.mpe msimamo wako kama mzazi.mwambie Fulani umri wako halali wa kuanza kujihusisha na mapenzi ni ukifika miaka 18.maybe atakutii
Watoto wana sex wenyewe kwa wenyewe kuliko watunwazimaMama Edina kwamba watoto wa kiume wanafunzi ndiyo wawekewe Sheria ya kufungwa miaka 30?
Nilimwambia mwanangu ukisex utakufa ..bas anaogopa sanaTatizo linaanzia hapa Wazazi mnawaona watoto ni wadogo Sana kujifunza kumuogopa Mungu.
Mtoto anamiaka mitatu minne ajifunze kuhusu Mungu na sala ndogo ndogo.Lakini itakapoonekana ni upuuzi kufanya hivyo Shetani haangali ni mtoto, kipindi wewe unasema yeye ni mdogo bado Shetani atamfundisha mambo ya mapenzi na Ushoga kupitia Katuni na wanafunzi wengine anaokutana nao mashuleni.
Huo umri unaousubiri afike Ili umkuze kwenye Imani ukifika tayari Shetani ameshamkomaza kwenye maovu.
Kama tunachukizwa na kuumizwa na haya tuungane kwapamoja kulaani na kukataa kwa pamoja tuwe na kauli moja juu ya malezi ya jamiiKila mzazi anachukizwa na tabia ya watoto kujiingiza kwenye mahusiano ya kimapenz shueni. Watoto wawapo shuleni hasa kizaz hiki wanakuwa na wapenzi wao. Wengine wanakuwa ile kimakuzi tu ni mpenz na wanashare chakula, na upendo ila si kimahaba kama ilivyo miaka hii. Hivi sasa watoto kwanza wana simu. Wanawasiliana na wanakutana kuzanghambuana kwenye vichaka.
View attachment 3141127
Ni wakati ambao watoto wanapoteza usichana wao wawapo shuleni. Tena watoto wa kike wanataka wenyewe.
Mambo yanayoendelea masculinity ni mambo ya ajabu sana, kwamb kila mtoto hakosi kavulana na walimu wanajitahidi kukata mahusiano hayo inashindikana ktk mazingira ya nyumbn wazaz tunakuwa busy watoto wanazanghambuana majumbani mwetu.
Serikali yangu tukufu ifanye jambo...na isipofanya jambo kizazi kitazama kitatokea jamii ya ajabu kuwahi kutokea hapa ulimwenguni.
Kama serikali ilivyoweka sheria kali kwa wabakaji wa watoto na kufungwa miaka 30. Watoto wa kiume wawekewe sheria kali zaidi ya miaka 30.
Watoto wanasex wao kwa wao na watoto wa kike hawako salama wawapo shuleni.
Ndugu wazazi wenzangu watoto wanatengeneza pair boyfriend na girl friend shuleni and then anasingiziwa walimu kumbe watoto wanadinyana kwa 190% wao kwa wao. Hii jambo lipo kwa kias na linafanyika kwa kasi ya umeme. Watoto wetu asilimia 100 wanaosoma boarding washanajisiwa. Wapo ambao wanafanyana kinyume ili kuepusha kuondoa usichana, wanathubutu kutumia njia ya haja kubwa ili alinde uke wake..hii ni hatari sana. Amkeni amkeni amkeni ndg wazazi na wasamalia wema. Shule zote zote nchini zipo katika dimbwi hili la ngomo shuleni
Ndio maana mnaambiwa acheni kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto wenu kwenye shule za EMsKila mzazi anachukizwa na tabia ya watoto kujiingiza kwenye mahusiano ya kimapenz shueni. Watoto wawapo shuleni hasa kizaz hiki wanakuwa na wapenzi wao. Wengine wanakuwa ile kimakuzi tu ni mpenz na wanashare chakula, na upendo ila si kimahaba kama ilivyo miaka hii. Hivi sasa watoto kwanza wana simu. Wanawasiliana na wanakutana kuzanghambuana kwenye vichaka.
View attachment 3141127
Ni wakati ambao watoto wanapoteza usichana wao wawapo shuleni. Tena watoto wa kike wanataka wenyewe.
Mambo yanayoendelea masculinity ni mambo ya ajabu sana, kwamb kila mtoto hakosi kavulana na walimu wanajitahidi kukata mahusiano hayo inashindikana ktk mazingira ya nyumbn wazaz tunakuwa busy watoto wanazanghambuana majumbani mwetu.
Serikali yangu tukufu ifanye jambo...na isipofanya jambo kizazi kitazama kitatokea jamii ya ajabu kuwahi kutokea hapa ulimwenguni.
Kama serikali ilivyoweka sheria kali kwa wabakaji wa watoto na kufungwa miaka 30. Watoto wa kiume wawekewe sheria kali zaidi ya miaka 30.
Watoto wanasex wao kwa wao na watoto wa kike hawako salama wawapo shuleni.
Ndugu wazazi wenzangu watoto wanatengeneza pair boyfriend na girl friend shuleni and then anasingiziwa walimu kumbe watoto wanadinyana kwa 190% wao kwa wao. Hii jambo lipo kwa kias na linafanyika kwa kasi ya umeme. Watoto wetu asilimia 100 wanaosoma boarding washanajisiwa. Wapo ambao wanafanyana kinyume ili kuepusha kuondoa usichana, wanathubutu kutumia njia ya haja kubwa ili alinde uke wake..hii ni hatari sana. Amkeni amkeni amkeni ndg wazazi na wasamalia wema. Shule zote zote nchini zipo katika dimbwi hili la ngomo shuleni
Tumia kinga usimuambukize mtoto wa watu, acha uuaji. Kwanza huo ni ubakaji kutembea na mtoto mdogoWe unashaurije? Nitembee natangaza kuwa nna HIV hivo nahitaji mwenyewe HIV mwenzangu ili tusex?
Kweli madhara ni Makubwa SANATumia kinga usimuambukize mtoto wa watu, acha uuaji. Kwanza huo ni ubakaji kutembea na mtoto mdogo