Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Sababu hasa ilikua nn mpk kupotezwa??Alimpoteza kama alivyofanya kwa Ben na alivyojaribu kwa Lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu hasa ilikua nn mpk kupotezwa??Alimpoteza kama alivyofanya kwa Ben na alivyojaribu kwa Lissu
Ok ,okSerikali siku zote imeshindwa, ila Mwananchi alianza kwenda kukusanya ripoti, hata kabla serikali wala jeshi halijaingilia kati.
Obvious, Mwananchi awajibike kuwapa chochote hawa wazee. Serikali ifatilie imeshindwa miaka yte iliyopita 3 yrs waweze leo?.
Sometimes muwe mnasoma nakuelewa sio mnapinga tu kila comment.
Jamaa alifanya nn hasa mpk yakamkuta?Ni Mpambavu tu hawezi jua uhusika wake.
Aliandika yaliyomchukiza dikteta uchwaraSababu hasa ilikua nn mpk kupotezwa??
Serikali siku zote imeshindwa, ila Mwananchi alianza kwenda kukusanya ripoti, hata kabla serikali wala jeshi halijaingilia kati.
Obvious, Mwananchi awajibike kuwapa chochote hawa wazee. Serikali ifatilie imeshindwa miaka yte iliyopita 3 yrs waweze leo?.
Sometimes muwe mnasoma nakuelewa sio mnapinga tu kila comment.
Prof: wa majalalani anajua lililompata Azory....Wazazi hao wamedai kwamba kupotea kwa Azory Gwanda , mtu pekee aliyekuwa tegemeo lao , kumewafanya waishi maisha ya dhiki na ufukara mkubwa
View attachment 2818764
Wameomba Rais ambaye ndiye mkuu wa vikosi vyote awasaidie kupatikana kwa mtoto wao ili aendelee kuwatunza .
CHADEMA + UAMSHOSource?
NikumbusheUnakumbuka aliyekuwa Waziri wa mambo ya ndani wakati huo!?
Azory Gwanda aliuliwa na magaidi baada ya kusalitiwa na magazeti ya Kenya. Mnakumbuka alikuwa freelance journalist mtaalamu wa breakingnews magazeti ya Kenya. Kila UAMSHO wakimuua kada wa CCM au polisi, Azorygwanda analipwa nono na magazeti ya Kenya, huku ukumbuke kuwa CUF na CHADEMA walikuwa hawauliwi hata kama ni madiwani. Ndipo Mbunge Mnyika akasema "CCM wamejitakia". Baada ya kamanda mmoja wa polisi kusema "sasa basi, polisi hatutakufa tena", ndipo magazeti ya Kenya yakaanza kuwasaliti magaidi na kuwataja majina yao polisi ndipo azorygwanda akauliwa. Hapa wa kuulizwa ni CHADEMA (Mnyika) alikuwa ana maana gani kusema CCM walijitakia, na magazeti ya Kenya kwa kuwalipua magaidi kwa polisi.Alimpoteza kama alivyofanya kwa Ben na alivyojaribu kwa Lissu
Bashite, msimamizi wa kile kikosi cha watekaji bado yupo. Huyu alistahili kukamatwa aeleze watu wote waliowateka wapo wapi. Kama waliwaua, mufupa yao iko wapi?Kazi chafu za Magufuli hizo. Alidhani yeye ataishi milele
Alchukuliwa na watu waliojitambulisha kwake kuwa ni polisi. Aliondoka kwa kuambatana nao, hakuonekana mpaka leo.Alikuwa mwandishi wa Habari wa Mwanachi. Alipotea wakati akiwa kwenye shamba Leke huko Mkiru.
Kama Bashite siku hizi anaitwa fisi, ni sawa. Kosa la Azory, kama ilivyokuwa kwa Ben, ni kukosoa watawala.hakuliwa nafisi kweli?
Hayo ndiyo mafanikio makubwa anayojivunia Bashite wakati wa utawala wa JPM, kuongoza kikosi cha watekaji na wauaji wa wote wote waliokuwa wanakosoa watawala.Alaniwe Jiwe na wote aliokuwa anawatuma.
Aliandika makala ya kiuchunguzi kuonesha jinsi watu walivyokuwa wakiuawa hovyo huko Kibiti kwa kuhisiwa tu kuwa ni magaidi.alikuwa mchochezi au?
Moja wa maprofesa wapuuzi kuwahi kutokea duniani"Dissapeared and dead"
Hii ni kauli nyepesi hasa kwa uhai wa mtu kupotea, uhai haulinganishwi na chochote.
Professor huyo tapeli ndio aliahidi juisi waliyoifuata na ndege ya serikali kule Antananarivo ,ni kuwa kule rais anagawa mwenyewe na itaingia mtaani ikishafanyiwa majaribio badala yake akaishia kunywa yeye mwenyewe na walioongozana nae.
Kila mmoja akiwa na mawazo ya kutaka rais afanye kazi ya kuwatafutia ndugu au wapendwa wao waliopotea huoni kama ni upuuzi huo?Wazazi hao wamedai kwamba kupotea kwa Azory Gwanda , mtu pekee aliyekuwa tegemeo lao , kumewafanya waishi maisha ya dhiki na ufukara mkubwa
View attachment 2818764
Wameomba Rais ambaye ndiye mkuu wa vikosi vyote awasaidie kupatikana kwa mtoto wao ili aendelee kuwatunza .
Ni hatari sana kuingia JF ukiwa umelewaKila mmoja akiwa na mawazo ya kutaka rais afanye kazi ya kuwatafutia ndugu au wapendwa wao waliopotea huoni kama ni upuuzi huo?
Wazee wamechoka sana nyumba mbovu wanayoishi,inaonekana Azori Ngwanda alikuwa hawajali wazazi wake
Nikiangalia Jumba la kifahari alilojenga MBOWE kwa ruzuku zisizohojiwa angethubutu kutoa 0.5% ya fedha alizojengea hilo Jumba akawajengea hao wazee ingekuwa njema sana,lakini GAIDI MBOWE hana habari wewe mwandishi wake na chawa mkuu unaogopa kumgusia hilo
Kazi chafu za Magufuli hizo. Alidhani yeye ataishi milele