Wazazi wa mchumba wa MC pilipili kataeni anayofanyiwa mtoto wenu

Wazazi wa mchumba wa MC pilipili kataeni anayofanyiwa mtoto wenu

Ujue kuna mambo ya ajabu sijawahi kuona ni upuuzi na unyanyasaji kwa mwanamke...
Mc pilipili mwanamke hujamuoa,kumtembeza kwenye media anamaanisha nn?
Hivi what if wakimwagana unadhani huyu mwanamke atakuwa kwenye mazingira gani?
Ninachakishangaa wazazi wa huyu mwanamke wako wapi wakati mtoto wao anatembezwa kwenye radio...wanakubali vp MTU hajaoa anamtembeza mwanamke km mke wake!?
Lengo la media tour ni nini? Wao wasanii?
Wanajinasibu wao walokole hivi ulokole gani unaoruhusu upuuzi km huo?
Eti wanadai hawajasex ni urongo kabisa mazingira yote yanaonyesha wanafanya mapenzi..
Wanaume wa dar wana matatizo sana...
Eti anajinadi nimelipa mahari mil5 !!!!! Wakati mwanamke ni wa watu sio bikra ujinga tu...angekuwa bikra ingekuwaje


Sent using Jamii Forums mobile app
MC Pilipili ni Celebrate . usijlinganishe nae. Afu badala ya kuwashauri wazazi umeishia kumwaga nyongo tu. Wazazi washakula chao kilichobaki ni maisha ya MC Pilipili na mchumba wake. Kausha.
 
Pilipili ya MC imemuwasha mleta post..

Amepizi akimfikiria mchumba wa mc pilipili
 
Wanaume wa dar hawapo hivyo Leo nawatetea, huyo ni mshamba mmoja kutoka idodomya
 
Ujue kuna mambo ya ajabu sijawahi kuona ni upuuzi na unyanyasaji kwa mwanamke...
Mc pilipili mwanamke hujamuoa,kumtembeza kwenye media anamaanisha nn?
Hivi what if wakimwagana unadhani huyu mwanamke atakuwa kwenye mazingira gani?
Ninachakishangaa wazazi wa huyu mwanamke wako wapi wakati mtoto wao anatembezwa kwenye radio...wanakubali vp MTU hajaoa anamtembeza mwanamke km mke wake!?
Lengo la media tour ni nini? Wao wasanii?
Wanajinasibu wao walokole hivi ulokole gani unaoruhusu upuuzi km huo?
Eti wanadai hawajasex ni urongo kabisa mazingira yote yanaonyesha wanafanya mapenzi..
Wanaume wa dar wana matatizo sana...
Eti anajinadi nimelipa mahari mil5 !!!!! Wakati mwanamke ni wa watu sio bikra ujinga tu...angekuwa bikra ingekuwaje


Sent using Jamii Forums mobile app
Wazazi wapo zao ziwani huko Sengerema hawajui hata kinachoendelea huku mjini!

Ila MC pilipili nae mshambaa sana, kukaa kote DAR hakujamtoa tongotongo za Dodoma!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafadhali Mc pilipili si wa Dar ni wakuja kama wewe tu yule .
Wanaume wa mikona mkiona vituko vya wenzenu wakivifanyia Dar basi mnawakana kimtindo na kuwabatiza uwana Daslam!
Yule ndugu yenu yule mchukukueni tu mkatete nae !

Sent using Jamii Forums mobile app
Haaahaaa[emoji1787][emoji1787]...nakazia

Wagogo pure limbukeni kinomazz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lkn jaman tuache matani hata ukisoma novels za wazungu zinazohusu mahusiano, ukweli utaona mke analazimika Sana kuwa mtu wa staha,wenye haiba, asiye penda show off, mwenye hekima ya kusoma nyakati na kuucheka. mke hatakiwi kuwa limbukeni, mtu wa tabia zenye ukakasi, mtu wa kuacha mwanya wa kusemwasemwa na mbaya zaidi mtu wa kuonekana Sana.

Sasa ukiona mke umepata mume/mchumba anakusababisha kuwa mtu wa kuonekana Sana, mtu wa kusemwasemwa, mtu wa kupewa majina majina Basi huyo mume ana shida Sana.

Yawezekana kbs huyo mke/ mchumba ni bikra but why should we know about her virginity? Why should we know about her dowry?

Kwann anatoa upenyo wa mkewe kuongelewa? Tayar Kesha deprive her privacy. Manake wanna duu hawa duu... Do we have to care? Na yy kajuaje Kama bikra Kama hawajawah kuduu?

Basi tuu nimechukia
Hilo li MC hoho limesoma na bro wangu...Basi brotha anakwambia jamaa full kiherehere, mdomo juu kama demu, afuu mbea hataree...ukikaa nae dk 5 ni nyingi full kuboa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Let them live their life, ndio namna waliyoamua wao kuendesha maisha yao, it's up to them.
 
Huyu jamaa ni mshamba nakumbuka kuna kikao fulani cha harusi nilhudhuria mjumbe mmoja akampemdekeza jina daaah kikao kiliahirishwa kwa yaliyotokea
 
Magufuli kasema akiondoka mtamkumbuka 😂😂😂
 
Back
Top Bottom