Wazazi waambieni ukweli watoto wenu kuhusu uchumi na mahusiano!

Wazazi waambieni ukweli watoto wenu kuhusu uchumi na mahusiano!

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Wazazi wakiafrika ni kama mmezubaa sana, mfumo wa uchumi ni zaidi ya kumsomesha mtoto na angojee ajira!.
Kuna jitihada fulani lazima zifanyike pia ndani ya familia kuhusu watoto wako na maswala ya uchumi.
kutokupata elimu ya uchumi walau kwa uchache inapelekea vijana waingie kwenye vitu vya hovyo ama pia kuchelewa kufikia malengo yake!. unakuta mtu bado ni limbukeni wa pesa mtu anafanikiwa kupata pesa leo kesho yote kwisha huku haijafanya kitu chochote!, Nafasi ya kumfundisha mtoto kuhusu uchumi ianzie ngazi ya familia tuache mchezo.

Mtu anajipata akianza kuingiza mshahara tu hata wa laki tano basi anajiona amemaliza!, pombe, shisha na starehe za kila namna huyu atakuja kufika nafasi yake ya mafanikio lini..?
starehe sio tabu, tabu starehe inatakiwa unaitumia pesa ambayo hata ikitoka haileti tafrani!.

Baba kafanikiwa kwa baishara akifa leo familia inayumba kwasababu hakuna hata mtu mmoja anaejua mzee alikuwa anapita njia zipi kufanikisha biashara yake iwe kwenye mafanikio!. Ndio maana kwenye jamii yetu zinaibuka nadharia za hovyo mara uchawi watu wanahisi wameshikiliwa nyota zao kumbe ni elimu tu ya uchumi kidogo ndo haipo!.
Mtu hata kujinyima mwezi mmoja ili afanikishe jambo fulani anashindwa!, unakuta mtoto anakuja kujufunza haya tayari ameshaingia kwenye mfumo na amejitengenezea majukumu ambayo hawezi kuyaruka na kipato chake bado kichanga!.

Kuna uhusiano mkubwa sana hapa pesa anazoanza kuzalisha mtoto wako na vitu atakavyoanza kutumia!.

Vilevile kuhusu mahusiano sio swala la kukurupukia!, tunajua ni ugumu kiasi gani kupambana na mihemko ya kihisia pale mtu anapopevuka lakini hilo sio sababu yakukosa elimu ya ujinsia!.
Mahusiano yanachanganya sana vijana, inaathiri mpaka maswala yao ya uchumi!.. waambieni ukweli ukifanya hivi kitatokea hichi maswala yakuoneana aibu yaishe maisha yanataka umakini, Ukute mzazi hujawahi hata kukaa na mwanao kumfundisha kuhusu me na ke unategemea aje ajifunze kwenye jamii ambayo nayo haijafunza watoto wao!!.

Siwezi kuwafundisha muwafundishe vipi kila mtu ananjia zake na welevu wake lakini zingatieni Mahusiano na Uchumi ni vitu basics mwanao kuvijua.
 
Nje na mada yako kidogo tu.

Jamaa yangu kayakanyanga kamnunulilia mwanane wa kike chupi na tight na ped kwa ajiri ya kwenda nazo shule
Mke ni wale wa mama wa zama zetu zile. kamhoji maswali magumu hadi akaja kunambia.

Nikamwambia nia yako ilikuwa njema lkn kulingana na jamii hasa kwa mkeo tu umeona alivyochukulia negative ? Uwe unampa yeye hela au binti yako mpe ajiununulie mwenyewe.

Maswali aliyoulizwa kwenye mahitaji yake alikuwa ameandika hizo nguo? Jibu hapana
Size ya kiuno ulijua vipi? Kimyaaa

Hii kaulizwa wakiwa chumbani. nimemwambia acha ukisasa mkuu wanawake huwa wanawivu wa ajabu ajabu tu hata kwa mwanae wewe akimnunulia kijana wenu boxer wala huwezi kuhoji maswali ya kijinga hivi.

Nimecheka sana
 
Nje na mada yako kidogo tu.

Jamaa yangu kayakanyanga kamnunulilia mwanane wa kike chupi na tight na ped kwa ajiri ya kwenda nazo shule
Mke ni wale wa mama wa zama zetu zile. kamhoji maswali magumu hadi akaja kunambia.

Nikamwambia nia yako ilikuwa njema lkn kulingana na jamii hasa kwa mkeo tu umeona alivyochukulia negative ? Uwe unampa yeye hela au binti yako mpe ajiununulie mwenyewe.

Maswali aliyoulizwa kwenye mahitaji yake alikuwa ameandika hizo nguo? Jibu hapana
Size ya kiuno ulijua vipi? Kimyaaa

Hii kaulizwa wakiwa chumbani. nimemwambia acha ukisasa mkuu wanawake huwa wanawivu wa ajabu ajabu tu hata kwa mwanae wewe akimnunulia kijana wenu boxer wala huwezi kuhoji maswali ya kijinga hivi.

Nimecheka sana
Jamaa anataka kula kuku nankifaranga chake 🤣🤣🤣🤣
 
Nje na mada yako kidogo tu.

Jamaa yangu kayakanyanga kamnunulilia mwanane wa kike chupi na tight na ped kwa ajiri ya kwenda nazo shule
Mke ni wale wa mama wa zama zetu zile. kamhoji maswali magumu hadi akaja kunambia.

Nikamwambia nia yako ilikuwa njema lkn kulingana na jamii hasa kwa mkeo tu umeona alivyochukulia negative ? Uwe unampa yeye hela au binti yako mpe ajiununulie mwenyewe.

Maswali aliyoulizwa kwenye mahitaji yake alikuwa ameandika hizo nguo? Jibu hapana
Size ya kiuno ulijua vipi? Kimyaaa

Hii kaulizwa wakiwa chumbani. nimemwambia acha ukisasa mkuu wanawake huwa wanawivu wa ajabu ajabu tu hata kwa mwanae wewe akimnunulia kijana wenu boxer wala huwezi kuhoji maswali ya kijinga hivi.

Nimecheka sana
🤣🤣🤣🤣 Sijajua kwanini Mama kakaza fuvu namna hiyo au ndiyo km ulvyosema ni Mama wa kizamani. Binafsi binti yngu kakuwa juzi kati tu na akaanza maswala ya boarding na Mr katika vitu vya kununua vya shule na mahitaji ya binti anamnunulia binti yake pads,chupi etc japo zinafikia kwanza kwangu nami namkabidhi binti yetu ikiwemo na kumchimba bit kdg kwenye usafi wa nguo za ndani na utunzaji wa vitu vyake kwa ujumla na sioni shda na Mimi ndiye nayeandika na tunashauriana(Mr yeye shughuli zake ni za mjini na anajicho la kuchagua vitu vizuri hata simfikii) japo dunia imeharibika ila Siyo wababa wote ni washenzi bdo wapo wababa wenye hofu ya Mungu ndani yao. Ila hata namimi nimecheka sana 😁😁😁😁
 
Nje na mada yako kidogo tu.

Jamaa yangu kayakanyanga kamnunulilia mwanane wa kike chupi na tight na ped kwa ajiri ya kwenda nazo shule
Mke ni wale wa mama wa zama zetu zile. kamhoji maswali magumu hadi akaja kunambia.

Nikamwambia nia yako ilikuwa njema lkn kulingana na jamii hasa kwa mkeo tu umeona alivyochukulia negative ? Uwe unampa yeye hela au binti yako mpe ajiununulie mwenyewe.

Maswali aliyoulizwa kwenye mahitaji yake alikuwa ameandika hizo nguo? Jibu hapana
Size ya kiuno ulijua vipi? Kimyaaa

Hii kaulizwa wakiwa chumbani. nimemwambia acha ukisasa mkuu wanawake huwa wanawivu wa ajabu ajabu tu hata kwa mwanae wewe akimnunulia kijana wenu boxer wala huwezi kuhoji maswali ya kijinga hivi.

Nimecheka sana
Hapana mama yupo sahihi,wanaume wa siku hizi hamuaminiki...wazazi wa kike tunatakiwa kuongeza umakini kwenye malezi hii ni kutokana na matukio tofauti kwenye jamii
 
Hapana mama yupo sahihi,wanaume wa siku hizi hamuaminiki...wazazi wa kike tunatakiwa kuongeza umakini kwenye malezi hii ni kutokana na matukio tofauti kwenye jamii
Kama angekuwa na nia ovu angefanya kwa kificho.Moyo wa mtu kichaka siwezi jua but nadhani nilimshauri vizuri kuwa awe anampa hela ananunua mwenyewe sio yeye kununua chupi
 
🤣🤣🤣🤣 Sijajua kwanini Mama kakaza fuvu namna hiyo au ndiyo km ulvyosema ni Mama wa kizamani. Binafsi binti yngu kakuwa juzi kati tu na akaanza maswala ya boarding na Mr katika vitu vya kununua vya shule na mahitaji ya binti anamnunulia binti yake pads,chupi etc japo zinafikia kwangu nami namkabidhi binti yetu ikiwemo na kumchimba bit kdg kwenye usafi wa nguo za ndani na utunzaji wa vitu vyake kwa ujumla na sioni shda na Mimi ndiye nayeandika na tunashauriana(shughuli zake ni za mjini na anajicho la kuchagua vitu vizuri hata simfikii) japo dunia imehatibika ila Siyo wababa wote ni washenzi bdo wapo wababa wenye hofu ya Mungu ndani yao. Japo namimi nimecheka sana 😁😁😁😁
Umeshasema wewe ndio unaandika matumizi na vinafikia kwako that's why una uwezo wa kucheka....wababa wa siku hizi usikae kizembe utapigwa tukio moja utajua haujui
 
🤣🤣🤣🤣 Sijajua kwanini Mama kakaza fuvu namna hiyo au ndiyo km ulvyosema ni Mama wa kizamani. Binafsi binti yngu kakuwa juzi kati tu na akaanza maswala ya boarding na Mr katika vitu vya kununua vya shule na mahitaji ya binti anamnunulia binti yake pads,chupi etc japo zinafikia kwanza kwangu nami namkabidhi binti yetu ikiwemo na kumchimba bit kdg kwenye usafi wa nguo za ndani na utunzaji wa vitu vyake kwa ujumla na sioni shda na Mimi ndiye nayeandika na tunashauriana(Mr yeye shughuli zake ni za mjini na anajicho la kuchagua vitu vizuri hata simfikii) japo dunia imeharibika ila Siyo wababa wote ni washenzi bdo wapo wababa wenye hofu ya Mungu ndani yao. Ila hata namimi nimecheka sana 😁😁😁😁
Hata yeye kanunua akafikishikia kwa mke wake mara akageukwa.Anasema hasira zilipanda kidogo ashushe kipigo kwa wife wake
 
nimeipenda, asilimia kubwa ya sisi wazazi wa sasa ilikua hakuna kuambiwa chochote wewe umeona kitu hutaki ni either ukitumie au uache kwenye elimu ya mahusiano mzazi wa kike ni nadra kukaa na bintie kumwelekeza hata namna ya kua makini nayo wewe unaabiwa tu juujuu ole wako nikukute na vitoto vya kiume utaelewa kama maharage ni mboga au chakula, mzaz kumwambia mwanae hongera,jitahidi,kazana, safi, umefanya vizur, happ unekosea ulitakiwa ufanye hivi, hiki ukifanya kitaleta matokeo haya, ni nadra wewe ukifeli mboko ukiwa wa pili unaulizwa huyo wa kwanza anasoma darada gani? ukijibu tunasoma wote unaulizwa yeye ana walimu wake na wewe una wako? yan hatuna muda wa kukaa na watoto unatafuta hela its okay, lakini ukipata chance kaa na wanao ujue wanapitia changamoto gan na uwaelemishe kuhusu ulimwegu na ghasia zake nanjia za kuenenda
 
Ndio maana kwenye jamii yetu zinaibuka nadharia za hovyo mara uchawi watu wanahisi wameshikiliwa nyota zao kumbe ni elimu tu ya uchumi kidogo ndo haipo!.
Watu wanaoshikiliwa nyota zao wanakuwa wanajishughulisha na kazi au biashara lakini bila mafanikio. Kwa hiyo wanakuwa wanafanya kile ambacho umeeleza wazazi wawafundishe watoto wao, ila sasa faida au wateha hawapatikani. Yaani kuchukuliwa nyota na kujua au kutojua mambo ya uchumi ni viti viwili tofauti
 
Watu wanaoshikiliwa nyota zao wanakuwa wanajishughulisha na kazi au biashara lakini bila mafanikio. Kwa hiyo wanakuwa wanafanya kile ambacho umeeleza wazazi wawafundishe watoto wao, ila sasa faida au wateha hawapatikani. Yaani kuchukuliwa nyota na kujua au kutojua mambo ya uchumi ni viti viwili tofauti
Imani potofu hizo!
 
Back
Top Bottom