Wazazi wakataa sadaka ya kuchinja iliyotolewa na Waarabu, wakidai watoto wao watatolewa kafara

Wajinga tu

Pigine wali nyama nyie ujinga uwatoke

Huko makwenu mnawalisha wanennu ugali maharage ndio maana wana akili duni
 
Wajinga tu

Pigine wali nyama nyie ujinga uwatoke

Huko makwenu mnawalisha wanennu ugali maharage ndio maana wana akili duni
Wameombwa msaada wajenge ukuta wa shule, nyama kila mtu atakula kwake.
Ila africa Kuna mijitu mijinga sana, Yani unatoa msaada wa nyama? Ukila unaenda chooni kuitoa? Kwa nini wasijenge ukuta au madarasa yatayodumu miaka mingi?
 
Wangepeleka kwenye shule za kiislamu au taaisi za dini ya kiislamu zenye uhitaji ili kuondoa utata

Otherwise ni wazo zuri kubadilisha hao mifugo kuwa pesa na wajenge ukuta au wanunue vifaa va kuwafundishia watoto
 
Changieni chakula cha wanafunzi sasa.
Kwani siku zote watoto wameishije? Wapo sahihi. Bora wangesema misaada ila unapewa sadaka. Unajua wamenenea nini? Hata mimi ninhekataza wanangu kila hiyo. Sadaka huwa inaendana na madhabahu. Unataka unganisha watu na majini ya kiarabu alafu unalazimisha. Kama wana nia ya dhati wangetoa pesa watoto wanunuliwe chakula sio kondoo, mbuzi na ngamia. Niliona Morogoro hiyo, watu wameshtuka hawataki ungamanishwa na mapepo.
 
Hiki kitu hata Mimi sijakielewa, ni msaada au ni sadaka?

Kama ni msaada lazima ulenge mahitaji ya wahusika, je nyama ndio hitaji Lao hapo shuleni? Hawana changamoto zinazowakabili?

Kama ni sadaka huwa imebeba maagano fulani ya kiroho, hao wanaopelekewa sadaka wameshirikishwa kikamilifu kwenye hayo maagano ya iyo sadaka?
 
Safi sana wazazi endeleeni kukataa misaada ya hawa makabachori..leo hii wanajifanya na huruma na sisi wakati waliua na kutesa babu na bibi zetu...tangu lini mwarabu akampenda mwafrika kama sio kuna kitu wanatafuta kwa maslahi yao.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…