Wazazi wakataa sadaka ya kuchinja iliyotolewa na Waarabu, wakidai watoto wao watatolewa kafara

Hao watu walikuja pia shule ya msingi Kimandolu jirani na hiyo ya baraa, walimu wakaita wazazi wakawaambia wazazi waende shule kipikwe chakula na hizo nyama wale woote pamoja na wanafunzi hapo hapo shule.

Wazazi wa kimandolu kwanza wakashangaa why ngombe na km sadaka wangewapa hata daftari na sio kuchinja wakagoma ndo wakaenda huko baraa

Na kuhusu kula shuleni hapo kimandolu watoto wanachanga kila mwezi elfu 10 so wanakula mchana.
 
Wamesema hawataki nyama, wanataka ukuta

Waache imani potofu. Hiyo kusema wanatolewa kafara si afya kwa mustakabali wa nchi yetu.

Hiyo taasisi ina vibali vyote kutoka Serikalini vya kufanya shughuli za kijamii ndani ya Tanzania. Wao taasisi yao inajihusisha na sadaka ya kulisha watoto mashuleni, kwani wao wanaamini ni ibada na watalipwa malipo na Mwenyezi Mungu. Hawajihusishi namna yoyote na ujenzi wa kuta/madarasa/vyoo.

Pia kwa hesabu za haraka, hiyo mifugo 130+ pamoja na vitu vingine vyote vimenunuliwa hapa Tanzania hivyo hapo imeingia si chini ya 50,000 USD kwenye uchumi wa Tanzania , si ajabu bidhaa zimenunuliwa wilaya hiyo hiyo na hivyo uwezekano wafaidika ni hao hao wanaopiga Kelele.

N.B: Hakuna aliyekatazwa kusaidia ujenzi wa ukuta ila sio lazima wajenge wao maana taasisi yao haijihusishi na misaada ya aina hiyo.
 

Bado kuna washamba wengi mno Afrika 😁😁 sasa nyama ina shida gani!!! Wa2 wanashida wanakula mlo mmoja kwa siku wao wanaringa, Wanafikiri wamekuja kwa nia mbaya, kuna watu wana imani potofu dahh.


Ndugu zetu wamisry wawe makini sanaa kwa hawa viumbe, iyo mboga wanawapa lakinii nahofia wasiende kuitupa.
 

Bado kuna washamba wengi mno Afrika 😁😁 sasa nyama ina shida gani!!! Wa2 wanashida wanakula mlo mmoja kwa siku wao wanaringa, Wanafikiri wamekuja kwa nia mbaya, kuna watu wana imani potofu dahh.


Ndugu ze2 wamisry wawe makini sanaa kwa hawa viumbe wacojierewa, iyo mboga wanawapa lakinii nahofia wasiende kuitupa tuuu.
 
Kaka wamekula siku moja wameenda toilet kesho nani atawapa tena nyama ya mbuzi? Ungekua ni msaada endelevu hata kwa miaka5 sawa.
Ukuta unakaa miaka mia kaka,hao wazazi wanawaza mbali

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana mlikimbia shule, Nani ana shida na nyama ya msaada?
 
Nyie akili hamna, Leo hii 2022 bado mnahangaika na nyama ya msaada? Kwa nini msijenge madarasa? Ndio maana hamna akili
 
Kaka wamekula siku moja wameenda toilet kesho nani atawapa tena nyama ya mbuzi? Ungekua ni msaada endelevu hata kwa miaka5 sawa.
Ukuta unakaa miaka mia kaka,hao wazazi wanawaza mbali

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hao wenzako wanajali sana kulakula, wanafundishwa hadi namna ya kufinyanga tonge.
Miaka nenda rudi hawana akili
Leo hii 2022 unaenda eti kutoa msaada wa nyama? Nyama?
Watu wanataka wajengewe madarasa, wapewe madawati. Hizo nyama watakula majumbani mwao
 
Wangekula usingekuja kutema povu humu, hizo nyama si mpeleke madrassa mle vizuri?
Kesho asubuhi tunapeleka ngamia 50 kuchinjwa pale shule ya msingi baraa watoto wale nyama ya ngamia na pilau. Karibu sana acha wivu mkuu
 
Nyie akili hamna, Leo hii 2022 bado mnahangaika na nyama ya msaada? Kwa nini msijenge madarasa? Ndio maana hamna akili

Wewe huna shida, lakinii kuna watu wanashida mtu anakula nyama mara moja kwa mwezi/mwaka. Ivyo acha kulalamika.

Waturuki, waaarabu wanatoa sana misaada kila mwaka,, na co arusha tuu, kanda ya ziwa, pwani n.k lakinii hawajakataa misaada iyo,,,,,ungelikuwa muisilamu ungeelewa nini maana ya msaada,,,,lakini ata nikikuelewesha kazi bure tuu hutaelewa.
 
Ndio maana mlikimbia shule, Nani ana shida na nyama ya msaada?

Labda wewe tuu huna shida, but kuna wengine wanashida na hicho unachokidharau,,,. Kuhusu kukimbia shule, kithibitisho tosha kwa marais wetu wakiislamu jinsi wanavyoonyesha uhodari na umakini wao,nchi imetulia na maendeleo yanaonekana,,,hao waco waisilamu wameifanyia nini nchi ye2!!!!!
 
Nahis shida hapo ni matumizi ya neno "SADAKA" ndio limewachanganya watu.
 

Nenda wewe kawajengee hayo madarasa acha kulialia bwana


Hawatakuwa radhi juu yako Mayahudi wala Wakristo mpaka ufuate mila zao" (2:120)
 
kwanini hizo mbuzi zisitolewe nzima nzima kwa hiyo shule na shule ikawa na mradi wake wa kufuga mbuzi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…