Wazazi wakataa sadaka ya kuchinja iliyotolewa na Waarabu, wakidai watoto wao watatolewa kafara

Kwanini msaada uje na makando kando ya dini?kwa nini waseme sadaka ya kuchinjwa!!!? Huu msaada ungetolewa Mtwara,Lindi,au Zenj,Wala hakuna shida jamii za huko ambazo ni waislam wengi,Wala zisingetaharuki,maana kwa imani ya dini zao ibada za kuchinja zipo.
Arusha ni mji wa kikristo zaidi,Hawa wa misri Wana ajenda ya Siri.
 
Hii habari Ina upotoshaji mkubwa sana. Mwandishi alizingatia kupotosha uma, na hakueleza ukweli.
Itoshe kusema baadhi ya waandishi habari wa Arusha wanaendekeza njaa ndogo ndogo, wanapaswa kujirekebisha.

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Alisema taratibu zao ni kununua mifugo na kuitoka sadaka ya nyama kwenye shule mbalimbali
Nadhani tatizo lipo hapa " sadaka ya nyama". Imekaa ki-kafara kafara kwa sisi wenye imani zetu
 
Mwelekezeni alete Dodoma huku yaani utachotaje maji kisimani ukaweke Baharini? Halafu utegemee bahari ikushukuru!!!
 
Acha jazba ndugu yangu, relax.

Ukipelekwa vitani front line unaweza kuuza nchi kwa kusababisha friendly attack.
Jipe muda kidogo usome vizuri nilicho andika.

Mimi mwenyewe nakiri moyoni na kutamka kwa ulimi kwamba

"Laaa ilaaha il la (A)llah, Muhammadan Rasuulullah" halafu unanipeleka kwa Mwamposa.
Au ndio wale "maostadh" (feki) wanaowabashiria wenzao Moto?
 

Nisamehe sana ustadhi wangu Makwega,,,nimekusoma. Allah akujaze kheri
 

Mnachekesha na kujiaibisha 😁 ungelijuwa Tanzania ina waislamu wengi kuliko wakristo wala usingeongea haya. Pwani yote waislamu ni wengi kuliko wakristo, kwanzia dar, tanga na pwani yote kwa ujumla waislamu ni wengi. Kanda ya ziwa, Shinyanga, bukoba na Mwanza pia kuna waislamu wengi, labda vijijini huko bado bado wako kwenye sehemu ya ujinga kwa maana still hawakuuona ukweli.

Ukija kanda ya magharibi, Tabora, kigoma ina waislamu wengi sana

Ukija Singida ni balaa, waislamu ni wengi sana


Huko machame nackia waislamu ni wengi mno, ndugu yangu katika imani ata2pa ukweli maana ni mtu wa huko machame kimsboy

Znz ndiyo ucseme asilimia zaidi ya 90% ni waislamu

Kwa hesabu ya haraka, waislamu ni zaidi ya asilimia 70%, wakifuatiwa na wakristu, kisha wapagani.




Hapo tatizo ni Waarabu tu. Parception ya watanzania wengi kwa waarabu ni negative.

Kweli kabisa, hapo tatizo ni waarabu,,,wangelikuwa wale makafiri wenzao wa ulaya wasingelalamika na kutokwa povu kiac hicho. Mungu awabariki sana waarabu, tuko nyuma yao kwa lolote dhidi ya hao wanaoupiga vita uislamu.
 
Hawa watu weupe bwana, wao wanaendeleza sadaka za kuchinja lakini sisi tukifanya matambiko yetu kwa kuchinja wanaita ni ushirikina.

Kumbuka ibada zote za kiislam na kikristu zilikuwa ni matambiko ya kijadi ya mababu zao na hata ukisoma hadidhi ya abraham kumtoa sadaka mwanaye kwenye vitabu vyote biblia na quran utaliona hilo.

Wao wameua matambiko yetu hasa watu wa kanisa na waislamu lakini ya kwao bado wanaendeleza

Usile nyama ya tambiko kama wewe sii muusika wa lile tambiko utabeba malaana na mabalaa yawatu. Yanahama kwao nyanahamia kwako
 
Ni mawazo na mitazamo Yao kuhusu hofu ya kuitumia sadaka wasioshiriki kuiandaa kuwa ni chakula kwa watoto wao. Ilipaswa kutolewa ufafanuzi mzuri kwa wanafunzi na wazazi wakaridhika, kwani mtu ni utu!
 
Chakula cha siku moja kitawafanya wafaulu?
 

Muisilamu gani mjinga ale minyamafu!!!! Hata wakristo wengi tu hawali nyamafu, mpaka achinje muisilamu ndiyo wanakulla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…