Atii msaada wa nyooko.
Hakuna cha bure dunian, haswa toka kwa haya majitu ya pande zile, ni bora msaada wa beberu la magharibi anakupa bila kujali imani yako, lkn hawa ndugu zenu waarabu uchwara wa kimisri wao wanaona ni bora kumshirikisha kila mtu ktk hizo ibada zao?
Ndio shida ya hawa wenzenu wa imani ya bwana yule, yaan wao huona kuwa jamii zote zinaimani sawa na wao, kuamini kinyume na wao, wanaona si sawa.
Huo msaada ungekuwa bora sana kama usingehusisha imani, kama vip hizo pesa wangechanga badara ya kununua hayo mamifugo et waje watoe sadaka.
Atleast Waafrika wanaanza kufungua akili kwa kukataa hizi imani uchwara za wageni, mwisho wasiku mnaunganishwa na maimani msiyoyajua, mamizimu ya ajabu ajabu, why hiyo misaada isipelekwe kwa wenzao wanaofuata imani za dini hiyo.
Kwisha habar, na hata wakitokea mapadri sjui walokole na wachungaji, Msimamo uwe huo huo hakuna kushiriki ibada za Miungu migeni...
View attachment 2120369