kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,423
- 3,414
Jamani please wazazi wakikulilia shida wasaidie hasa mama, siku nne zilizopita bimkubwa alifululiza kunipinga mizinga, juzi nikamkaushia, nikamwambia sina, ukweli nilikuwa nayo, nikaondoka zangu kwenda kwangu, kufika home nikasikia kunguru wanalia sana nyuma ya nyumba, kwenda kucheki kulikuwa na kenge.
Dah nikaokota jiwe kumpiga nalo, jiwe likaenda moja kwa moja kwenye kioo cha dirisha bwaaa kikavunjika, natoka kurudi kulikuwa na pipe ya maji sijui niliikanyaga, ikapasuka ikabidi nimuite fundi akala 15000, kioo 60000 zikanitoka, faster nikaenda kumtumia mother hela yaishe.
Dah nikaokota jiwe kumpiga nalo, jiwe likaenda moja kwa moja kwenye kioo cha dirisha bwaaa kikavunjika, natoka kurudi kulikuwa na pipe ya maji sijui niliikanyaga, ikapasuka ikabidi nimuite fundi akala 15000, kioo 60000 zikanitoka, faster nikaenda kumtumia mother hela yaishe.