Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani sisi haina haja ya kumpa mama pesa. Labda tu tujipendekezeHajasahau sisi tunaotoa maji visimani na mtoni
Tusaidie wazazi, baraka zao muhimu sana kwenye maisha ya watoto wao. Haijalishi unasaidia mara ngapi Kwa mzazi.Jamani please wazazi wakikulilia shida wasaidie hasa mama, siku nne zilizopita bimkubwa alifululiza kunipinga mizinga, juzi nikamkaushia, nikamwambia sina, ukweli nilikuwa nayo, nikaondoka zangu kwenda kwangu, kufika home nikasikia kunguru wanalia sana nyuma ya nyumba, kwenda kucheki kulikuwa na kenge.
Dah nikaokota jiwe kumpiga nalo, jiwe likaenda moja kwa moja kwenye kioo cha dirisha bwaaa kikavunjika, natoka kurudi kulikuwa na pipe ya maji sijui niliikanyaga, ikapasuka ikabidi nimuite fundi akala 15000, kioo 60000 zikanitoka, faster nikaenda kumtumia mother hela yaishe.