Wazazi wakikulilia shida wasaidie

Kutokumsaidia mzazi ni kujitakia laana tu
 
Wengine hatuna hao wazazi wa kuwapa hela,
Saidieni wazazi wenu inapobidi inawapa confidence na kuwaongezea siku za kuishi.
Unajisikiaje anaposema anajembe lake.
 
Tusaidie wazazi, baraka zao muhimu sana kwenye maisha ya watoto wao. Haijalishi unasaidia mara ngapi Kwa mzazi.
 
Mzazi inabidi uweke utaratibu wa kumpa kiasi fulani kila mwezi sio usubiri vinga,kama mambo madogo madogo hata laki au hamsini kila mwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…