Wazazi wamkataa mchumba wangu kisa mahari ni ndogo

Wazazi wamkataa mchumba wangu kisa mahari ni ndogo

Kaoe kulingana na level zako,unaenda kuoa kwa watu wenye uwezo na wews huna unategemea nini?

Hata mimi sitokubali niletewe maskini na nimeona familia nyingi zinawakataa watu wa hivyo na kuwaponda..

Mwisho wa siku mwanaume anatakiwa kuwa msaada sio mzigo.
Wewe umejibu kwa kukurupuka.
Mleta mada ni msichana....haya mjibu tena!
 
Mie ushauri wangu stick na upande wa baba mzazi. Utachukuliwaje kwa bei ya kabati bwana🤣🤣🤣🤣

Halafu ngoja nikupe siri, masuperwoman hawaolewi. Wanaoolewa ni wanawake wenye njaa
 
Wanaosema kupokea mahali ndogo ni ushamba wabaki hivyohivyo,
Mahali ndogo huchukui Binti yangu kwanza ni kipimo Utaweza kumlisha huko unapompeleka?
Ni IPO hivyo hata kwetu wazee wangu na shangazi zangu hawataki mba mba mba kama huna Hela kajipange tu.
20m inatosha kukuchukua mrembo?
 
Mie ushauri wangu stick na upande wa baba mzazi. Utachukuliwaje kwa bei ya kabati bwana🤣🤣🤣🤣
Alafu ngoja nikupe siri, masuperwoman hawaolewi. Wanaoolewa ni wanawake wenye njaa
Oiiiii...
 
Hakuishia hapo akaanza kunilinganisha na kabati ambalo anadai limenizidi, kwamba yeye alilinunua kwa bei kubwa kuliko mahali yangu. Nililia sana maana hata mama yangu alikuwa upande wa baba kwa hiyo sikuwa na support yoyote.
Wazazi wanasababisha ndoa nyingi sana kuvunjika siku hizi, beba mimba ya jamaa zaa hapo hapo home
 
Sio kidogo aisee. Majority hatuwezi afford. Maana hapo bado mazaga zaga kibao.

Hapo harusi itakuja kua mil 40-60 hivi.
Wazazi kama hawa ndio wanasababisha watoto wao wazekee nyumban imagin mzazi anasema mahari ndogo hakuna ndoa watakuja wengine hao wengine kashawatafuta? ujinga ujinga tu
 
Wazazi wanasababisha ndoa nyingi sana kuvunjika siku hizi, beba mimba ya jamaa zaa hapo hapo home
Muhusika usijaribu kabisa huu ujinga. Tulizana kwa mzee ukule raha cha msingi mtu wakukuoelekea moto yupo basi hamna shida genye zikidizi unampelekea jamaa anakugegeda
 
Back
Top Bottom