Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Kwan kumention kuwa mimi sijaolewa ilikua na mahusiano gani??Rafiki kuna mahala huwa unafeli pakubwa sanaHow is that relevant🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan kumention kuwa mimi sijaolewa ilikua na mahusiano gani??Rafiki kuna mahala huwa unafeli pakubwa sanaHow is that relevant🤣🤣🤣🤣
Kiingereza kabisaHow is that relevant🤣🤣🤣🤣
Familia za kishua izo. 10M??
Aliwe kiboga inakujaje tena hapa. Mbona nyie watu mnapenda sana story za kulana tigoakienda akianza kuliwa kiboga mtamsaidia maana vitu vzuri gharama na yeye ashamuelewa msela wake
Ashirikishe Viongozi wa Dini piaUkizaliwa Africa haswa bongo basi ni tabu unakuwa mtumwa wa wazazi wako ...hapo binti ana sauti kabisa na ndoa hakuna Tamaa mbaya
Huyu kuna muda huwa anaandika vitu kuchangamsha tu genge sidhani kama anakua seriousUshauri wako kama nguvu za Giza
Ile ili jokes bwana wewe, dah hutaniwi.Kwan kumention kuwa mimi sijaolewa ilikua na mahusiano gani??Rafiki kuna mahala huwa unafeli pakubwa sana
It is important to establish the basis of her argumentKiingereza kabisa
Eti kadhia ya miaka 14 ILI Rahel awe mke wake!!! Wewe una amini kuhusu hiyo story ya kutunga? Mwanaume anaweza kufanya upuuzi kama huo?🤔🤔🤔
Yeye baba yako alimuoa mama yako kwa mahari ya thamani gani miaka hiyo?
Lengo haswa la hiyo million ni ili apate pesa ya kufanya mambo yake?
Au ni kupima uwezo wa mwanaume anayekuoa kama ana uwezo wa kukukutunza??
Au ni kumkataa huyo mwanaume kuoa kwenye familia yake???
Kuna wazazi wengine wanakataa watoto wao wasiolewe kwa sababu zao binafsi kisingizio kikiwa mahari, wengine wanakataa watoto wao wasiolewe kwa mwanaume wanayeona hafai kwa kumlima kiasi kikubwa cha mahari
Ila wewe usiwe na haraka, mwisho wa siku kama mwanaume anakupenda kweli kweli hakuachi! Atafanya kama yako alivyokubali kadhia ya miaka 14 mradi tuu Raheli awe mke wake
KabisaFamilia za kishua hazina huu ujinga kwenye mahari.
Ngoja awe single motherAshirikishe Viongozi wa Dini pia
Nashukuru sana..Mimi ngoja nikushauri direct, fanya liwezekanali huyo jamaa yako akupe mimba, then waamvie wazazi wako.una mimba yake tayari, then waambie mahali amekubali kulipa 3M ila kama kawaida ya mahali hailipwi yote, atalipa 70% tu na inayobaki itadaiwa polepole (wala hawataidai watasahau ukishaolewa)
Pia kaa chini na mama yako huyo ndio week point yako ya kuanzia, mueleweshe how life is, hao matajiri wengi wao walikua maskini tu kabla ila juhudi zao (sometimes wakishirikiana na wake zao waloanza nao maisha) ndio wakafikia hapo walipo, asitake mterezo wa kutaka uolewe na matajiri, mwambie wewe hujapata tajiri, kama wao wanataka uolewe na tajiri basi wakutaftie huyo tajiri akuoe. Pia muulize mama yako yeye alimkuta baba ako tajiri? atajiongeza.
Ila wazazi wako (hasa babako) ni mbulura kiukweli, yeye ndio alitakiwa ajue hali harisi kua maisha huanzia chini, ila yeye amekuona wewe kama ndio kitegauchumi chake, yani wanakuona kama ni mtaji wakuwakomboa[emoji34].
Mm sio pisi kali..Mm ni binadamu sitaki kuuzwaMtoa mada chonde chonde usisikilize ushauri wa kubeba mimba eti ili mzee atulie. Usifanye hivyo kabisa. Utajuta.
Alafu vyema ungeweka picha yako hapa maana hawa watu hawajui tuu jinsi ulivyo pisikali. Mie hata hiyo m10 kwa uzuri wako ni ndogo
Mimi sijui wewe ni dini gani, lakini, kwa sisi Wakristo imeandikwa, "waheshimu baba yako na mama yako". Hii ni Amri ya MUNGU na haina mjadala!Habari zenu wana JF,
Bila kuwachosha naenda moja kwa moja kwenye point. Nilikuwa na mchumba wangu tumejuana kwa muda wa mwaka mmoja na nusu mpaka sasa. Kwa hiyo mwaka huu huyo kaka nilimwambia aje home kujitambulisha, akasema haina shida.
Niliwataarifu wazazi wangu tarehe ambayo aliniambia anakuja wakasema aje kwetu.
Kama kawaida huyo kaka alikuja na mshenga wake pamoja na mjomba wake. Baba yangu alialika wenzake kama 6 hivi ili kujadiliana mahari. Kwa kweli ilikuwa tafrani, kwasababu baba yangu mzazi alishauriana na wenzake mahali iwe 10.5M kitu ambacho kilinishangaza sana.
Mjomba wake akasema hiyo hela hawana kwani hawanunui kiwanja. Baadae mjomba akasema wao wanaweza toa 2.5M baba akasema iongezeke japo 3M kwa shingo upande, kwamba hataki mahari ndogo akidai watakuja wengine.
Jioni yake akaniita mimi na mama akaanza kunifokea. Akaniambia mimi namdhalilisha kuleta mtu masikini na haeleweki kwa hiyo niachane naye, na nisipoachana naye mimi nitakuwa siyo mtoto wake na nikikubali kuolewa naye nisije kukanyaga kwake mpaka kaburi lake nisije kulisogelea.
Hakuishia hapo akaanza kunilinganisha na kabati ambalo anadai limenizidi, kwamba yeye alilinunua kwa bei kubwa kuliko mahali yangu. Nililia sana maana hata mama yangu alikuwa upande wa baba kwa hiyo sikuwa na support yoyote.
Aibu naipata mimi mtaani, naogopa hata kutoka kwenda sehemu kwa ajili ya wazazi wangu kunisambazia doa kubwa.
Naombeni ushauri katika huu wakati mgumu, kushauriwa kumuacha mtu uliyependana naye mkaendana siyo kitu rahisi. Japo huyo kaka hajaonesha dalili zozote za kuniacha, anawasiliana na mimi kama kawaida.
Ahsanteni sana. Napitia maoni yenu, wote nawakaribisha.
Kazi ya kueleweka anayo..N mhandisi wa masuala ya umeme.Lkn kwa sas mwenyez mungu hajajalia kupata kazi kwa ivo anajishikiza kweny mishe mbali mbali hata hio mahali hamna mtu kamchangia.Tambua hakuna mahali kama hiyo niliona tajiri ameoa kwa 1.5mil tu ...Tena alitoa tu hyo hapo anayofanyiwa jamaa yako ni obstacle tu labda ni kweli maskini...maana kwa kutafuta anaweza kuuza assets zake akapata ila je huku mbele itakuwaje?.
Angekuja tajiri hata bure ungeolewa tambua hilo ila huko mbele atakuja kwa kigezo ya kuja kusaidia familia yenu.
Anawezekana kwa appearance tu yuko ovyo hana kazi ya maana hii ndo dunia ya sasa ya kitu hupati thamani ..pole sana mdada .
Uzuri wa pesa inakupa heshima hata kama hutumii yapo wenye pesa wanaheshimika na watu hata hawajai kuwapa hata shilling 10.
Kabisa
Kwa io vijana wa hovyo wapige mimba wasepe..Ok okMaisha yamepanda gharama tuwe serious, huwezi kuchukua mtoto wa mtu kwa Tsh 2.5ml.
Pesa ambayo hata kiwanja cha maana hupati.
Sent using Jamii Forums mobile app