Wazazi wamkataa mchumba wangu kisa mahari ni ndogo

Wazazi wamkataa mchumba wangu kisa mahari ni ndogo

Kaoe kulingana na level zako,unaenda kuoa kwa watu wenye uwezo na wews huna unategemea nini?

Hata mimi sitokubali niletewe maskini na nimeona familia nyingi zinawakataa watu wa hivyo na kuwaponda..

Mwisho wa siku mwanaume anatakiwa kuwa msaada sio mzigo.
Mkuu umeuelewa Uzi lakini? Analalamika hapa ni Dada kuwa wazazi wake wamempangia mahari kubwa mpenzi wake sasa yeye anaona hicho ni kitendo Cha kumkomoa ili asiolewe
 
Mm sio pisi kali..Mm ni binadamu sitaki kuuzwa
Hapa ndio tatizo linapoanzia. Nani kakwambia kuwa baba yako anakuuza? Hiyo nintoken of appreciation bwana wewe. Yaani nyie watoto mnajidai wajuaji sana kumbe hamna lolote. Huyo mwanaume unayetaka kuolewa nae laziama aheshimu uwepo wa wazazi na matakwa ya wazazi. Wee utaendelea kuwa mtoto tuu na baba ana best interest at heart.

Usidanganyike na de libolo la boifrend wako ohh utakuja kulilia kwa choo. We men are dogs, forget the pretenders. Mchepuko atakuwa nao na varangati kibao zitakuwepo so usijidai kichwa ngumu mbele ya wazazi. Utaolewa tuu wala usipate presha. Wengi wao humu hasa wanawake wanakuonea gele tuu kwamba u have a father that cares and cherish u. Usifuate ushauri wao.

Narudia tena usijidanganye kubeba mimba utakuja kujuta.
 
Kwakweli nimesikitishwa sana na kumuonea huruma huyu Binti wa watu.

Kumlinganisha thamani na kabsti sio busara hata kidogo, inamaana Binti yake anathamani ya 10M?

Kuna mahali huyu Mzee vitu haviko sawa, hata mahusiano yake na watu wengine yanawezakuwa na ukakasi.
kabisa halafu hana adabu kumwambia mwanae sawa na kabati duuuuh! tatzo la watoto wa kibongo kuogopa maisha utaletewa mchumba kisa baba kasema, kama umemuelewa njemba wako amsha ndugu watakua wanao
 
Million 10 alafu baada ya mwaka mkibwagana watairudisha au itakuaje?

Wanakuuza mazima hio si Biashara kabisa yaan ukienda umeenda au mimi nimewaelewa vibaya?

Ndio maana Jamaa wengine wakishaua na wao wanachukua maamuzi ya kujiua nishajua tatizo linaanzia wapi kumbe tatizo ni wazazi, umelipishwa mimahari mikubwa alafu mtu unakaa nae ndani analianzisha mnavurugana mara anaganda muachane unaanza kuwaza ile 10M si bora ningeenda kigamboni nikachukua plot sehemu nijenge

Haya ni mawazo yangu binafsi yasikuchanganye kichwa ila wazazi wako mleta mada watakua na shida pahala wanataka uzeekee kwenu usiolewe na yoyote mentality zao zinawaambia mapenzi ni utajiri na sio umasikini

Endelea kutafuta matajiri wenzio

Pro J ft J Nature - Zali la Mentali

Ntarudi tena baadae...
 
Umuhimu wa DINI YA KIISLAM unazidi kuonekana.
MAHALI NI HAKI YA ANAYEOLEWA NA HUTAMKWA AU HUTAJWA NA YULE ANAYEOLEWA NA SI WAZAZI WAKE.
Licha ya hivyo mkuu,na imesisitizwa iwe ndogo ili watu wafunge ndoa na kuachana na machafu.

Sasa huyo Mzee hapo, Kwa kutaka mahari kubwa, anamzuia binti kuolewa na matokeo yake akizini Baba atawajibika pia Kwa hayo madhambi.

Kwako binti nakushauri kama walivyosema wengine tafuta watu ambao Baba yako anawaheshimu na waongee nae.

Ila usifanye maamuzi ya kuolewa bila kuwashirikisha wazazi wako, kuna Leo na kesho, pamoja na matatizo ya wazazi wako lakini wataendelea kuwa wazazi Tu.

Kila la kheri
 
Kaoe kulingana na level zako,unaenda kuoa kwa watu wenye uwezo na wews huna unategemea nini?

Hata mimi sitokubali niletewe maskini na nimeona familia nyingi zinawakataa watu wa hivyo na kuwaponda..

Mwisho wa siku mwanaume anatakiwa kuwa msaada sio mzigo.
Haya ndio maneno ya watu wenye busara. Matatizo tunaleta kwa kutaka kuoa watu ambao sio level zetu.

Tuache ujinga hapa oh sijui tumependana. Hamna kitu kma hicho watu wapo kwenye ndoa kupata huduma period.
 
Mimi sijui wewe ni dini gani, lakini, kwa sisi Wakristo imeandikwa, "waheshimu baba yako na mama yako". Hii ni Amri ya MUNGU na haina mjadala!

Tena maandiko yanasema "baba" anamamlaka ya kuamua mahari na ana mamlaka ya kumuoza binti yake kwa mtu yeyote anayemtaka baba. Soma, Kutoka 22:16-17.

Kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu, baba wa binti ana mamlaka ya kuamua binti yake anaolewa na nani na kwa mahari ya kiasi gani. Baba amepewa mamlaka ya kuamua ni nani amuoe binti yake.

Kupingana na maamuzi ya baba kwenye suala la kumuoza binti yake ni sawa na kupingana na maamuzi ya MUNGU.

Maagizo na maelekezo ya MUNGU yana busara na hekima kuu kwetu sisi Wanadamu lakini mara zote tumekuwa tukipingana na maagizo ya MUNGU

Mimi sijui wewe ni dini gani, lakini, kwa sisi Wakristo imeandikwa, "waheshimu baba yako na mama yako". Hii ni Amri ya MUNGU na haina mjadala!

Tena maandiko yanasema "baba" anamamlaka ya kuamua mahari na ana mamlaka ya kumuoza binti yake kwa mtu yeyote anayemtaka baba. Soma, Kutoka 22:16-17.

Kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu, baba wa binti ana mamlaka ya kuamua binti yake anaolewa na nani na kwa mahari ya kiasi gani. Baba amepewa mamlaka ya kuamua ni nani amuoe binti yake.

Kupingana na maamuzi ya baba kwenye suala la kumuoza binti yake ni sawa na kupingana na maamuzi ya MUNGU.

Maagizo na maelekezo ya MUNGU yana busara na hekima kuu kwetu sisi Wanadamu lakini mara zote tumekuwa tukipingana na maagizo ya MUNGU.
Mtaachana lini kutumia maandiko vibaya!?
 
unataka pesa mingi tena kwa kelele mbele ya mkweo anaenda kutafuta hela anamchukua maana ukumbuke ushammbadilisha akili ulivomtolea nnje anamuangalia mwanao kama bidhaa
Huu ni mtizano wakifalaaa sana. Yaani mzazi amuone mtoto wake kama bidhaa...toka lini? Ingekuwa hivyo sii amngeshamtomber yeye mwenyewe🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu umeuelewa Uzi lakini? Analalamika hapa ni Dada kuwa wazazi wake wamempangia mahari kubwa mpenzi wake sasa yeye anaona hicho ni kitendo Cha kumkomoa ili asiolewe
Mahari kubwa ndio mahari kiasi gani? Ona kulingana na level zako,kama huwezi kulipa unapotezea au lipa kiasi kingine utaendelea kulipa mdogo mdogo..

Hakunaga mahali kubwa Wala ndogo.
 
kabisa halafu hana adabu kumwambia mwanae sawa na kabati duuuuh! tatzo la watoto wa kibongo kuogopa maisha utaletewa mchumba kisa baba kasema,,,,,kama umemuelewa njemba wako amsha ndugu watakua wanao

Kuna Kila dalili huyo Mzee ni mtata.
Ukiona mtu anajiapiza Mara nikifa usikanyage kaburini au wewe sio mwanangu Kwa mambo ya hivyohivyo Kaa nae Kwa umakini.
 
NISOME KWA MAKINI NAKUJIBU KWA MUJIBU WA SHERIA YA KIISLAAM...

KWANZA SHERIA YA KIISLAAM INATAMBUA MPANGA MAHARI NI MUOLEWAJI SI MZAZI WAKE. YEYE NDIYE ANAYEKUBALI AU ANAYEKATAA...

PILI MZAZI YEYE HASA BABA... NI MUOZESHAJI TU... AKIKATAA KUOZESHA KWA SABABU ZISIZO ZA MSINGI ZA KISHERIA KAMA HIYO YA UJINGA... HAKI HIYO INADONDOKA... INAENDA KWA BABU YAKO MZAA BABA KAMA YUPO... KAMA HAYUPO INAMFUATA KAKA YAKO BABA MMOJA MAMA MMOJA... KAKA HUYO HAYUPO... ANAFUATA KAKA WA BABA MMOJA... NAYE KAMA HATAKI... HAKI INAANGUKIA KWA BABA MDOGO AU BABA MKUBWA... NA YEYE KAMA HATAKI NENDA KWA IMAM.

NA NDOA YAKO ITAFUNGWA... MAHARI YAKO UTAICHUKUA WEWE MWENYEWE... TUMIA MWENYEWE KWA MAPENZI YAKO NI YAKO SIO YA WAZAZI AU MUOZESHAJI...

NA WALA HIZO LAANA ZAKE HAZIFIKI... ZAIDI ZITAMRUDIA MWENYEWE... NA VILEVILE ANAPATA DHAMBI... muombee tu MSAMAHA KWA MOLA WAKO... HAJUI ALITENDALO...
Bahati mbaya nadhani sio Muislamu
 
Nyie masikini ndo mnaendekeza kuoana kwa mahari kubwa , mnataka mkiozesha muwe kama mnauza kwa kudhani ndo mtaaga umaskini. Sisi kipato cha kati mahari sio kipaumbele, kipaumbele ni kuunganisha undugu na kuendelea kubebana ili kuleta unafuu kwenye maisha ya familia zetu.
Hujalazimishwa hutak acha..

Hakuna mtu anataka maskini,kama unazo toa kama huna pita kule au kaoe dada yako bila mahari
 
Mzee ni tajiri sana kwahiyo hizo 3m anaona ndogo. Itakuwa ni wale wazee wenye akili za kuuza mabinti wao.
 
Mzee wetu wa ukoo(mchaga)...alifukuza vijana kama wa 4 waliokuja na vi mahari vyao vya uchwara...
Binti yake alimsomesha Russia akahitimu udaktari bingwa wa kichwa(ubongo)
Mzee wa ukoo alikua anataka mahari si chini ya mil 12 na zaidi.
Mmoja wapo akajifanya mwamba akampa ujauzito ili iwe nyepesi
emoji23.png
...mzee presha na sukari ikapanda
Baada ya kujifungua yule mtoto akaitwa jina la babu yake..kuanzia jina la mwanzo lakati na la mwisho yotee upande wetu...
Mwamba akaenda kufungua kesi...kesi (ikaendaa)..sijui ikwaje mzee akashinda
emoji2.png

Sasahizi binti yupo(wanaishi) denmkark na alishaolewa na mwanaume mwengine ambae ni (mshozi) ila dogo yupo(kabaki) kwa babu yake""
("Mzee alikua anasema alitumia pesa nyingi sana kumsomesha uko nje so hataki mahari ya ajabu ajabu"

""DADA kama unajiona una iyo thaman ya mil 10 basi tulia...watakuja tuu wenye uwo uwezo""

Mimi sijui wewe ni dini gani, lakini, kwa sisi Wakristo imeandikwa, "waheshimu baba yako na mama yako". Hii ni Amri ya MUNGU na haina mjadala!

Tena maandiko yanasema "baba" anamamlaka ya kuamua mahari na ana mamlaka ya kumuoza binti yake kwa mtu yeyote anayemtaka baba. Soma, Kutoka 22:16-17.

Kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu, baba wa binti ana mamlaka ya kuamua binti yake anaolewa na nani na kwa mahari ya kiasi gani. Baba amepewa mamlaka ya kuamua ni nani amuoe binti yake.

Kupingana na maamuzi ya baba kwenye suala la kumuoza binti yake ni sawa na kupingana na maamuzi ya MUNGU.

Maagizo na maelekezo ya MUNGU yana busara na hekima kuu kwetu sisi Wanadamu lakini mara zote tumekuwa tukipingana na maagizo ya MUNGU.
kwa io imeandikwa baba akuchagulie mume..Kama huna ushauri tulia
Mimi sijui wewe ni dini gani, lakini, kwa sisi Wakristo imeandikwa, "waheshimu baba yako na mama yako". Hii ni Amri ya MUNGU na haina mjadala!

Tena maandiko yanasema "baba" anamamlaka ya kuamua mahari na ana mamlaka ya kumuoza binti yake kwa mtu yeyote anayemtaka baba. Soma, Kutoka 22:16-17.

Kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu, baba wa binti ana mamlaka ya kuamua binti yake anaolewa na nani na kwa mahari ya kiasi gani. Baba amepewa mamlaka ya kuamua ni nani amuoe binti yake.

Kupingana na maamuzi ya baba kwenye suala la kumuoza binti yake ni sawa na kupingana na maamuzi ya MUNGU.

Maagizo na maelekezo ya MUNGU yana busara na hekima kuu kwetu sisi Wanadamu lakini mara zote tumekuwa tukipingana na maagizo ya MUNGU.
Nionyeshe ni wapi iliandikwa baba anaweza kukutafutia mume..Tumieni vizur maandiko sio kupotosha watu
 
Back
Top Bottom