Wewe umejibu kwa kukurupuka.Kaoe kulingana na level zako,unaenda kuoa kwa watu wenye uwezo na wews huna unategemea nini?
Hata mimi sitokubali niletewe maskini na nimeona familia nyingi zinawakataa watu wa hivyo na kuwaponda..
Mwisho wa siku mwanaume anatakiwa kuwa msaada sio mzigo.
Nyie masikini ndo mnaendekeza kuoana kwa mahari kubwa , mnataka mkiozesha muwe kama mnauza kwa kudhani ndo mtaaga umaskini. Sisi kipato cha kati mahari sio kipaumbele, kipaumbele ni kuunganisha undugu na kuendelea kubebana ili kuleta unafuu kwenye maisha ya familia zetu.Tafuta pesa dogo
Mzee ana itikadi za kikoloni.Mzee wake ni lifala kubwa jinga ngja azalishwe bila ya kuolewa ndo atafuraHi uyo dingi zee la ajabu kbsa
20m inatosha kukuchukua mrembo?Wanaosema kupokea mahali ndogo ni ushamba wabaki hivyohivyo,
Mahali ndogo huchukui Binti yangu kwanza ni kipimo Utaweza kumlisha huko unapompeleka?
Ni IPO hivyo hata kwetu wazee wangu na shangazi zangu hawataki mba mba mba kama huna Hela kajipange tu.
Oiiiii...Mie ushauri wangu stick na upande wa baba mzazi. Utachukuliwaje kwa bei ya kabati bwana🤣🤣🤣🤣
Alafu ngoja nikupe siri, masuperwoman hawaolewi. Wanaoolewa ni wanawake wenye njaa
Aaaah Mimi alishaleta😊20m inatosha kukuchukua mrembo?
10M kibongobongo parefu sanaFamilia za kishua izo. 10M??
Naweza pia leta kwani mwanaume sii anaruhisiwa kumiliki wanawake wengi ata wewe mwanamke unaweza milikinwanaume wengi. Usiwe mnyonge bwana🤣🤣🤣🤣Aaaah Mimi alishaleta😊
Sio kidogo aisee. Majority hatuwezi afford. Maana hapo bado mazaga zaga kibao.10M kibongobongo parefu sana
Haya kamtolee wewe hiyo 10M uchukue chomboMie ushauri wangu stick na upande wa baba mzazi. Utachukuliwaje kwa bei ya kabati bwana🤣🤣🤣🤣
Alafu ngoja nikupe siri, masuperwoman hawaolewi. Wanaoolewa ni wanawake wenye njaa
Inategemea, je kama mdingi kasomesha mtoto wake ist? Acheni utani bwana mtoto anaondokaje nyumbani kwa bei ya kabati🤣🤣🤣🤣10M kibongobongo parefu sana
Wazazi wanasababisha ndoa nyingi sana kuvunjika siku hizi, beba mimba ya jamaa zaa hapo hapo homeHakuishia hapo akaanza kunilinganisha na kabati ambalo anadai limenizidi, kwamba yeye alilinunua kwa bei kubwa kuliko mahali yangu. Nililia sana maana hata mama yangu alikuwa upande wa baba kwa hiyo sikuwa na support yoyote.
Wazazi kama hawa ndio wanasababisha watoto wao wazekee nyumban imagin mzazi anasema mahari ndogo hakuna ndoa watakuja wengine hao wengine kashawatafuta? ujinga ujinga tuSio kidogo aisee. Majority hatuwezi afford. Maana hapo bado mazaga zaga kibao.
Hapo harusi itakuja kua mil 40-60 hivi.
Muhusika usijaribu kabisa huu ujinga. Tulizana kwa mzee ukule raha cha msingi mtu wakukuoelekea moto yupo basi hamna shida genye zikidizi unampelekea jamaa anakugegedaWazazi wanasababisha ndoa nyingi sana kuvunjika siku hizi, beba mimba ya jamaa zaa hapo hapo home