Walimu wetu wanatumia mda mwingi Sana kutuandalia kesho ya watoto wetu, vipato vyao havitoshi kumudu mahitaji yao.
Viongozi wa dini wanalishwa na waumini wao lengo kuu Ili wasiwaze watakula nini. Maana huwezi mtumikia Mungu na mali yaani uhudumie kiroho huku ukafanye vibarua Ili familia iishi, thus jukumu la kula ni la waumini.
SAsa kwa walimu wetu wanaotufundishia kesho ya watoto, kwann tusiamaue kutoa kiasi mchango kila mwezi shuleni anaposoma mtoto wako Ili kumpunguzia Mwalimu mzigo wa maisha.
Kuliko awaze kufundisha huku anawaza sambusa zake hazijanunuliwa hii ya kuuza vitu madarasani udhalilisha Sana walimu.
Kama tunaweza wachangia pesa mitume na manabii wa uongo wanaishi kifahari kwann tusiwachangie walimu wetu pia? Mbona ushuru wa taka, ulinzi sijui nini tunalipa? Tuache ubinafsi Watanzania.
Kila mzazi mwenye mwanafunzi awajibike kutoa angalau si chini ya sh elf 2000 ambayo itagawanywa kwa walimu wote wa shule husika kama posho wabakie na wazo moja tu la kufundisha na sio mawazo mengine.
Walimu wanapiga hadi bodaboda, asubui darasani wakitoka shule watoto anakula vichwa hadi Saa nne usiku huyu atajiandaa vipi na masomo ya kesho?
Tuache ubinafsi watz. Elimu bure hii siasa tu na sio hali halisi.
Viongozi wa dini wanalishwa na waumini wao lengo kuu Ili wasiwaze watakula nini. Maana huwezi mtumikia Mungu na mali yaani uhudumie kiroho huku ukafanye vibarua Ili familia iishi, thus jukumu la kula ni la waumini.
SAsa kwa walimu wetu wanaotufundishia kesho ya watoto, kwann tusiamaue kutoa kiasi mchango kila mwezi shuleni anaposoma mtoto wako Ili kumpunguzia Mwalimu mzigo wa maisha.
Kuliko awaze kufundisha huku anawaza sambusa zake hazijanunuliwa hii ya kuuza vitu madarasani udhalilisha Sana walimu.
Kama tunaweza wachangia pesa mitume na manabii wa uongo wanaishi kifahari kwann tusiwachangie walimu wetu pia? Mbona ushuru wa taka, ulinzi sijui nini tunalipa? Tuache ubinafsi Watanzania.
Kila mzazi mwenye mwanafunzi awajibike kutoa angalau si chini ya sh elf 2000 ambayo itagawanywa kwa walimu wote wa shule husika kama posho wabakie na wazo moja tu la kufundisha na sio mawazo mengine.
Walimu wanapiga hadi bodaboda, asubui darasani wakitoka shule watoto anakula vichwa hadi Saa nne usiku huyu atajiandaa vipi na masomo ya kesho?
Tuache ubinafsi watz. Elimu bure hii siasa tu na sio hali halisi.