Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Na mjukuu halali ni mtoto wa mwanao halali wa kike!Wanajielewa, kitanda hakizai haramu ndo maana mtoto ni wa mama.
Mjukuu wako wa mtoto wako halali wa kiume yaweza akawa si mjukuu wako halali kwa uwezekano kuwa mimba hiyo kubambikiziwa mwanao huyo wa kiume.