Wazazi wengi wa Mtwara wana tabia ya kubadilisha majina ya watoto kisa talaka

Wanajielewa, kitanda hakizai haramu ndo maana mtoto ni wa mama.
Na mjukuu halali ni mtoto wa mwanao halali wa kike!

Mjukuu wako wa mtoto wako halali wa kiume yaweza akawa si mjukuu wako halali kwa uwezekano kuwa mimba hiyo kubambikiziwa mwanao huyo wa kiume.
 
Siyo kusini tu %80 ya makabila yote ya Tz wanatumia utaratibu huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…