Wazazi wenye Wachezaji hawa wafuatao wa Yanga SC waonyeni wasikubali kubebeshwa ' Hirizi ' mtawakosa

Wazazi wenye Wachezaji hawa wafuatao wa Yanga SC waonyeni wasikubali kubebeshwa ' Hirizi ' mtawakosa

Kwa taarifa za ndani kabisa ambazo nimehangaika mno kuzinyaka / kuzipata kutoka katika Klabu ya Yanga zinasema kwamba kuna Wachezaji Watatu ambao ni Wakristo inasemekana wanalazimishwa ili wabebe ' Hirizi ' kuweza kuisaidia Yanga SC katika mechi yake na Simba SC tarehe 29 April 2018 kutokana na ' Nyota ' zao Kung'aa.

Wachezaji hao ni:

  1. Kelvin Yondan
  2. Raphael Daud
  3. Gadiel Michael
Nikiwa kama mmoja wa Watu ambao tumeamua kuingia ' chimbo ' ili kuweza kuisaidia Simba SC ishinde siku hiyo natoa ' ONYO ' mapema kwa Wazazi wa hawa Wachezaji tajwa hapo juu kwamba wawawahi na wawazuie kutumika na Yanga SC kubeba ' Hirizi ' kwani kwa tulichokifanya Simba SC hasa Kamati yetu ya Ufundi ( Ushirikina )kuna uwezekano hawa Wachezaji kama kweli wakibeba tusiwe nao tena Ulimwenguni.

Nimetoa ONYO mapema na tusije tukalaumiana tafadhali. Ukiona mpaka GENTAMYCINE najitoa mhanga na kuwa mbele Kukesha kwa Mchina / Uwanja wa Taifa na kufanya mambo ya ' Kufuru ' kwa ajili ya kuipigania Simba SC yangu jua ya kwamba safari hii nimeamua kweli na kilichofanyika kuna Watu hiyo tarehe 29 April 2018 hawataamini kitakachowatokea na si ajabu wanaweza hata wakaiomba TFF wasiwapangie tena kucheza na Simba SC na badala yake kila mechi yao ya Simba SC wakaiomba tu TFF iwape points zao Simba SC.

Kama umekaa hapo na unajishauri au bado hujapata Tiketi yako halafu ni mwana Simba SC fanya upesi / haraka sana wahi kajipatie Tiketi yako ili ushuhudie Kipigo cha ' Karne ' ambacho watakutana nacho Wazee wa Mafuriko na Uogeleaji kitakachowafanya hata wapigane na wafukuzane Klabuni Kwao.

Mpaka muda huu bado naziona Goli / Bao Saba ( 7 ) huku nikiona Wachezaji wawili wa Simba SC wanaoanzia na Majina yenye Herufi E, J na S wakifunga hayo magoli yote ambapo hao E na J watafunga ' hat trick ' na huyo S atafunga 1. Na kwa upande wa pili kwa Kikosi cha Mafuriko na Uogeleaji jijini Dar es Salaam naona Kadi Nyekundu moja kwa Mchezaji mwenye jina linaloanzia na herufi K au R na kuna uwezekano Watu zaidi ya 500 wakazimia Kesho wote wakitokea upande wa watakaofungwa hivyo nitoe tu RAI yangu mapema kwa Red Cross Tanzania kwamba waanze kupasha moto miili yao kwani hiyo Siku watakuwa na Kazi ya ziada kuwaokoa Watu pale kwa Mchina / Uwanja wa Taifa.

Nawasilisha.
UNAHANGAIKA NA YANGA KAMA MNAPATA MGAOO BAADA YA MECHI KHA..ZILEMECHII N MAPEPO YANASHINDAN WAACHENIWAFU WAZIKE WAFUWAOOO
 
Acha upuuzi we Gentamycine. Inaelekea una povu kichwani badala ya ubongo. Mbona muda wote unaongelea ushirikina tu badala ya mikakati ya kitaalamu ndani ya soka Aah it is too much comrade badili uelekeo wa post zako.
 
Kesho mabucha yote ya kuuza nyama itapatikana nyama ya simba, mshale mmoja utatosha kabisa kumuangamiza simba koko wa kufugwa
 
Mpira utachezwa uwanjani, wewe unabaki kuhangaika au ndio timu yako itapigwa 7 umeanza kuweweseka, subir dk90 zitaamua tu
 
Kwa uzoefu wangu mkubwa tu ni kwamba mara nyingi wale Watu ambao huwa wanasema wanachukia ushirikina / ulozi / fusho ndiyo huwa Wanachama wa Kutukuka wa hayo mambo Mkuu. Amini haya maneno yangu na ndiyo hata ukienda katika Nyumba za Ibada huwakosi ' Front Seats '.
Na kwenye mapambio huwa wanalia kabisa.
 
Cha kushangaza ni team hii hii imetoka kutolewa kombe la shirikisho barani africa dhidi ya Wamisri.


Kwa akili finyu za mleta mada mpira wa bongo hauwezi kukua kama si kuendelea.
 
Hehehe, hii mechi hkn mbinu za mfaransa wala mrundi ,ni mbinu za mganga tu ,mechi ikiisha kocha wala asijisifu kuwa mbinu zake zimesaidia timu kushinda
 
Acha upuuzi we Gentamycine. Inaelekea una povu kichwani badala ya ubongo. Mbona muda wote unaongelea ushirikina tu badala ya mikakati ya kitaalamu ndani ya soka Aah it is too much comrade badili uelekeo wa post zako.
Kweli kabisa..

Aina za post kama hizi kwa kweli ndiyo zinazo katisha tamaa watu kwenda uwanjani..na aina ya watu ambao wanakatisha tamaa watu wasi shabikie soka la Tanzania..
 
Kwa taarifa za ndani kabisa ambazo nimehangaika mno kuzinyaka / kuzipata kutoka katika Klabu ya Yanga zinasema kwamba kuna Wachezaji Watatu ambao ni Wakristo inasemekana wanalazimishwa ili wabebe ' Hirizi ' kuweza kuisaidia Yanga SC katika mechi yake na Simba SC tarehe 29 April 2018 kutokana na ' Nyota ' zao Kung'aa.

Wachezaji hao ni:

  1. Kelvin Yondan
  2. Raphael Daud
  3. Gadiel Michael
Nikiwa kama mmoja wa Watu ambao tumeamua kuingia ' chimbo ' ili kuweza kuisaidia Simba SC ishinde siku hiyo natoa ' ONYO ' mapema kwa Wazazi wa hawa Wachezaji tajwa hapo juu kwamba wawawahi na wawazuie kutumika na Yanga SC kubeba ' Hirizi ' kwani kwa tulichokifanya Simba SC hasa Kamati yetu ya Ufundi ( Ushirikina )kuna uwezekano hawa Wachezaji kama kweli wakibeba tusiwe nao tena Ulimwenguni.

Nimetoa ONYO mapema na tusije tukalaumiana tafadhali. Ukiona mpaka GENTAMYCINE najitoa mhanga na kuwa mbele Kukesha kwa Mchina / Uwanja wa Taifa na kufanya mambo ya ' Kufuru ' kwa ajili ya kuipigania Simba SC yangu jua ya kwamba safari hii nimeamua kweli na kilichofanyika kuna Watu hiyo tarehe 29 April 2018 hawataamini kitakachowatokea na si ajabu wanaweza hata wakaiomba TFF wasiwapangie tena kucheza na Simba SC na badala yake kila mechi yao ya Simba SC wakaiomba tu TFF iwape points zao Simba SC.

Kama umekaa hapo na unajishauri au bado hujapata Tiketi yako halafu ni mwana Simba SC fanya upesi / haraka sana wahi kajipatie Tiketi yako ili ushuhudie Kipigo cha ' Karne ' ambacho watakutana nacho Wazee wa Mafuriko na Uogeleaji kitakachowafanya hata wapigane na wafukuzane Klabuni Kwao.

Mpaka muda huu bado naziona Goli / Bao Saba ( 7 ) huku nikiona Wachezaji wawili wa Simba SC wanaoanzia na Majina yenye Herufi E, J na S wakifunga hayo magoli yote ambapo hao E na J watafunga ' hat trick ' na huyo S atafunga 1. Na kwa upande wa pili kwa Kikosi cha Mafuriko na Uogeleaji jijini Dar es Salaam naona Kadi Nyekundu moja kwa Mchezaji mwenye jina linaloanzia na herufi K au R na kuna uwezekano Watu zaidi ya 500 wakazimia Kesho wote wakitokea upande wa watakaofungwa hivyo nitoe tu RAI yangu mapema kwa Red Cross Tanzania kwamba waanze kupasha moto miili yao kwani hiyo Siku watakuwa na Kazi ya ziada kuwaokoa Watu pale kwa Mchina / Uwanja wa Taifa.

Nawasilisha.
Simba mnaanza kuwashwawashwa. Tulieni dawa itawaingia vizuri kesho.
 
Kwa taarifa za ndani kabisa ambazo nimehangaika mno kuzinyaka / kuzipata kutoka katika Klabu ya Yanga zinasema kwamba kuna Wachezaji Watatu ambao ni Wakristo inasemekana wanalazimishwa ili wabebe ' Hirizi ' kuweza kuisaidia Yanga SC katika mechi yake na Simba SC tarehe 29 April 2018 kutokana na ' Nyota ' zao Kung'aa.

Wachezaji hao ni:

  1. Kelvin Yondan
  2. Raphael Daud
  3. Gadiel Michael
Nikiwa kama mmoja wa Watu ambao tumeamua kuingia ' chimbo ' ili kuweza kuisaidia Simba SC ishinde siku hiyo natoa ' ONYO ' mapema kwa Wazazi wa hawa Wachezaji tajwa hapo juu kwamba wawawahi na wawazuie kutumika na Yanga SC kubeba ' Hirizi ' kwani kwa tulichokifanya Simba SC hasa Kamati yetu ya Ufundi ( Ushirikina )kuna uwezekano hawa Wachezaji kama kweli wakibeba tusiwe nao tena Ulimwenguni.

Nimetoa ONYO mapema na tusije tukalaumiana tafadhali. Ukiona mpaka GENTAMYCINE najitoa mhanga na kuwa mbele Kukesha kwa Mchina / Uwanja wa Taifa na kufanya mambo ya ' Kufuru ' kwa ajili ya kuipigania Simba SC yangu jua ya kwamba safari hii nimeamua kweli na kilichofanyika kuna Watu hiyo tarehe 29 April 2018 hawataamini kitakachowatokea na si ajabu wanaweza hata wakaiomba TFF wasiwapangie tena kucheza na Simba SC na badala yake kila mechi yao ya Simba SC wakaiomba tu TFF iwape points zao Simba SC.

Kama umekaa hapo na unajishauri au bado hujapata Tiketi yako halafu ni mwana Simba SC fanya upesi / haraka sana wahi kajipatie Tiketi yako ili ushuhudie Kipigo cha ' Karne ' ambacho watakutana nacho Wazee wa Mafuriko na Uogeleaji kitakachowafanya hata wapigane na wafukuzane Klabuni Kwao.

Mpaka muda huu bado naziona Goli / Bao Saba ( 7 ) huku nikiona Wachezaji wawili wa Simba SC wanaoanzia na Majina yenye Herufi E, J na S wakifunga hayo magoli yote ambapo hao E na J watafunga ' hat trick ' na huyo S atafunga 1. Na kwa upande wa pili kwa Kikosi cha Mafuriko na Uogeleaji jijini Dar es Salaam naona Kadi Nyekundu moja kwa Mchezaji mwenye jina linaloanzia na herufi K au R na kuna uwezekano Watu zaidi ya 500 wakazimia Kesho wote wakitokea upande wa watakaofungwa hivyo nitoe tu RAI yangu mapema kwa Red Cross Tanzania kwamba waanze kupasha moto miili yao kwani hiyo Siku watakuwa na Kazi ya ziada kuwaokoa Watu pale kwa Mchina / Uwanja wa Taifa.

Nawasilisha.
Ndugu yako huyu
04-28-2018%2016-02-19.PNG
 
Back
Top Bottom