Wazazi wenza...!

Lizzy hubby ana demand huku ngoja nikapalilie ndoa hakikisha umemusomesha na kumuelewesha The Boss...

Haahhahah...nenda nenda mpenzi...usisahau kumwagia maji bustani ya ndoa isije ikanyauka!!Huyu hata private classes ikibidi!
 

Mmmh kina nani imewazidi umri?!

Nwy kuhusu baba kukubali binafsi hua na amini mtoto yeyote mdogo ni vyema akalelewa na mama yake mzazi kama uwezekano huo upo kwasababu baba wa kambo tofauti na mama wa kambo hatokua responsible sana na mtoto!!
 

Hhhahhaha...kesho utaniambia hiyo pivh ikoje!!

BtT...hizo hua ni chuki za kutojiamini!!Ndo maana mimi hata kumpeleka mwanangu akakae na mama wa kambi likizo itakua ugomvi...japo sio wote ni wabaya ila naamini mimi mwenyewe ndo naaeweza kumtreat vile nitakavyo atreatiwe!!!
 

Ucjal ntakutumia uone, ndo hv hv unasikia mtu akipenda avator, sijui mwandiko hahahah

Ngoja nilale nisijeambiwa..."chagua jf au mm"
 
natafuta button ya groan hapa siioni....

Hhahhah...kumbe unapenda kujigawa kwa wengi ila hutaki wengi wako wajigawe kwa wengine eehhhh?!Sasa ndo ujue hamna raha kwenye kushea mapenzi...mtu akishageuka wetu sio wangu tena kwahiyo nachapa mwendo!!
 
Hhahhah...kumbe unapenda kujigawa kwa wengi ila hutaki wengi wako wajigawe kwa wengine eehhhh?!Sasa ndo ujue hamna raha kwenye kushea mapenzi...mtu akishageuka wetu sio wangu tena kwahiyo nachapa mwendo!!

and u will give up all the power to enjoy?????

lol ha ha haaa
 

Kwa kweli inasikitisha.
 
kuna jamaa mmoja mlinzi amepanga chumba kimoja halafu ana wake wawili.
Inapofikia zamu ya mwanamke yeyote kulala na mumewe, anamchukua mkewe wanaenda kulala lindoni.


huko sasa ni kudimba dimba....
 
<br />


Sawa Bwana,Mm mtu mzima,naona Umenipiga kibuti kistaarabu,nimekuelewa,ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!! Seriously nawapenda sana Watoto wangu ingawa mm sijawahi kuuhisi Upendo wa baba hata kwa dakika tano,yeye alipanda mbegu tu halafu akatambaa,yupo yupo tu kivyake mpaka leo!!
Nimekuzwa kwa Upendo wa Mama Tu!! Watoto tu ndiyo wanaonipa sababu ya kuwa "muangalifu" katika njia zangu za kuishi!!
Kutoka kwenye Uvungu wa Moyo wangu nashukuru kwa Muda wako Lizzy,Ana heri Mumeo Mtarajiwa!
 
This challenge face men from time to time, however, you should be strong enough to call a spade a spade! If you drop a woman, mother of your childern for another woman then there is a reason,..... hakuna haja ya kuwekeana visasi na kudia UMENIPOTEZEA MUDA!
 
Boss!!!! Do you suggest that Hawara hana talaka???? Kemea kwa nguvu zote na shetani ashindwe!
 

Hhahhaah...nafurahi na mwenyewe umekipokea vizuri!Lolz!!Mume mtarajiwa ehhhh?mmh haya asante!!

Kwakweli unastahili hongera...kuna watu wao sababu hawakupata mapenzi ya baba hua wanalipizia kwa kutojali watoto wao!!Endelea hivyo hivyo na Mungu atakubariki na yul atakayekufaa!!
 
Nampenda because he is one of the writers ambao wananifanya nielewe men's mind zaidi...

sijawahi kumsoma mario puzzo,umeni inspire ngoja nitafute kitabu chake,vinahusu nini umafia kama ninavyoujua mie?
 
Nyumba kubwa,hapo kwenye red hapo,hiyo tembelea tembelea hiyo,mwisho ex wako atakuandalia dinner with a glass of wine and then....well....welll...mtaishia kuzaa mtoto mwingine.Besides hivi huyo ex kama naye ameolewa/ana bwana unadhani bwanake/mmewe atakubali ex wako awe anakuja kukutembelea kisa eti kuwaona watoto?Pana ugumu dear.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…