Uchaguzi 2020 Wazazi wenzangu kama mnawatakia watoto wenu maisha mazuri mchagueni Lissu

Uchaguzi 2020 Wazazi wenzangu kama mnawatakia watoto wenu maisha mazuri mchagueni Lissu

Mimi nawaambieni msije mkasema sikuwambia, kama kweli unajijua wewe ni mzazi mwenye kipato cha kawaida na watoto wako bado wanasoma tafadhali usije kufanya kosa, ukipeleka kura yako kwa JPM ndio utakua unamtengenezea maisha ya kutangatanga hivyo mtoto wako...
Watoto gani?

Hata wa kiume?
 
Asiwadanganye! Huyu Lissu ni wakala wa kutetea na pupromoti ushoga, ulawiti na usagaji na mambo mengine machafu kama hayo chini ya kisingizio cha HAKI ZA BINADAMU. Hivyo nawashauri kama mnawapenda watoto wenu na kama ninyi watoto mnajipenda, ACHANENI NA LISSU na mawakala wake. Anzeni na Mungu na malizeni na Mungu katika hili.
 
Idadi ya wahitimu ni kubwa kuliko matakwa ya ajira, hivi ni vitu vidogo sana kuvitambua haihitaji cheti, stashahada au shahada, Kila siku mnaelekezwa leteni hoja zenye changamoto mpewe kura, hakuna mtanzania anayeweza kukupigia kura kwa hoja Kama hizi. Wasomi wenyewe wanatambua kuwa number ya products ya vyuo ni kubwa kuliko mahitaji ya ajira.
 
Asiwadanganye! Huyu Lissu ni wakala wa kutetea na pupromoti ushoga, ulawiti na usagaji na mambo mengine machafu kama hayo chini ya kisingizio cha HAKI ZA BINADAMU. Hivyo nawashauri kama mnawapenda watoto wenu na kama ninyi watoto mnajipenda, ACHANENI NA LISSU na mawakala wake. Anzeni na Mungu na malizeni na Mungu katika hili.
Mkuu, japokuwa umetumia lugha kali lakini Tundu Lissu ni wakala wa watu weupe si mtu wa kumpa dhamana ya kuongoza nchi hii, Vinginevyo watanzania tuamue kuuza nchi yetu wenyewe kwa kumpa kura Tundu Lissu
 
Mkuu, japokuwa umetumia lugha kali lakini Tundu Lissu ni wakala wa watu weupe si mtu wa kumpa dhamana ya kuongoza nchi hii, Vinginevyo watanzania tuamue kuuza nchi yetu wenyewe kwa kumpa kura Tundu Lissu
naona Lumumba buku saba, mnapeana faraja
 
Mkuu, japokuwa umetumia lugha kali lakini Tundu Lissu ni wakala wa watu weupe si mtu wa kumpa dhamana ya kuongoza nchi hii, Vinginevyo watanzania tuamue kuuza nchi yetu wenyewe kwa kumpa kura Tundu Lissu
Nimetumia maneno aliyo kuwa akiyasema Lissu huko Ulaya na US alipokuwa akiwatumikia. Kwa kweli mimi nimem - quote kwani kwa weledi wangu siwezi kusema maneno kama hayo.
 
nimekuuliza swali nijibu, sasa hivi Tz kuna ushoga au haupo?
Wapo! Ila Serikali hii pamoja na zote zilizopita HAZIUNGI MKONO HOJA hizi za kishetani wala haiwezi kuwatambua eti wapewe haki zao kama huko Ulaya au US. Haiwezekani.
 
suala la ajira sio serikalini tu wengine watafute kazi za kufanya.inamaana kila mzazi mtt wake afanye kazi serikalin kama serikali ikikwama maisha hakuna...Huu ni upuuzi mimi sina ajira serikalin lakin naishi na enjoy maisha
 
Idadi ya wahitimu ni kubwa kuliko matakwa ya ajira, hivi ni vitu vidogo sana kuvitambua haihitaji cheti, stashahada au shahada, Kila siku mnaelekezwa leteni hoja zenye changamoto mpewe kura, hakuna mtanzania anayeweza kukupigia kura kwa hoja Kama hizi. Wasomi wenyewe wanatambua kuwa number ya products ya vyuo ni kubwa kuliko mahitaji ya ajira.
Mkuu, na wewe hayo ni mawazo yako, ni lazima yaheshimiwe!!

Ni kweli serikali haiwezi kuwaajili wahitimu wote!!

Lakini, serikali ndio yenye wajibu wa kutengeneza ajira kwa wote, kwa namna mbalimbali!!

Mfano, serikali inaweza ikatengeneza mazingira mazuri kwa taasisi binafsi, na kuunda sheria maridhawa zitakazo tokeza ajira kwa wengi na kuwafanya wengi waajiriwe na hivyo kuifurahia nchi yao!!

Ni mawazo tu!!
 
Nimetumia maneno aliyo kuwa akiyasema Lissu huko Ulaya na US alipokuwa akiwatumikia. Kwa kweli mimi nimem - quote kwani kwa weledi wangu siwezi kusema maneno kama hayo.
Inasikitisha, mtu mwenye bland Kama Lissu kukubali kutumiwa na mabeberu, Tundu Lissu angekuwa chachu ya Maendeleo ya Tanzania na si kukubali kuiuza Tanzania.
 
Kwakweli huyu mtu sio wa kechekea, nina wahitimu watatu wa degree hapa nyumbani wote wananiangalia tu.
Nami pia ni mhanga wa jiwe. Yeye anaangalia wachina na kuwapa kazi. Hana hata muda wa kuwaza hivi vyuo wanafunzi wanaohitimu wanaenda wapi?.
Si hilo tu, mabinti zetu tulio wazaa hawawezi kuolewa kwasababu waoaji hawana ajira.
Vijana wakiume wamepoteza dira wakiamka asubuhi ni kuvaa suluhali mlegezo na kuingia salun kukali nywere. Matokeoo yake Jamii imepotea.
 
Back
Top Bottom