Uchaguzi 2020 Wazazi wenzangu kama mnawatakia watoto wenu maisha mazuri mchagueni Lissu

Uchaguzi 2020 Wazazi wenzangu kama mnawatakia watoto wenu maisha mazuri mchagueni Lissu

Mkuu, na wewe hayo ni mawazo yako, ni lazima yaheshimiwe!!

Ni kweli serikali haiwezi kuwaajili wahitimu wote!!

Lakini, serikali ndio yenye wajibu wa kutengeneza ajira kwa wote, kwa namna mbalimbali!!

Mfano, serikali inaweza ikatengeneza mazingira mazuri kwa taasisi binafsi, na kuunda sheria maridhawa zitakazo tokeza ajira kwa wengi na kuwafanya wengi waajiriwe na hivyo kuifurahia nchi yao!!

Ni mawazo tu!!
Mkuu hiyo ndiyo hoja Sasa, Lakini Tatizo la ajira si kwa Tanzania pekee wala nchi yoyote inyoendelea, Tatizo hili lipo hata kwa mataifa yaliyoendelea, Maadam tuamue kubadili mifumo yetu ya Elimu kwa ujumla.
 
Mimi nawaambieni msije mkasema sikuwambia, kama kweli unajijua wewe ni mzazi mwenye kipato cha kawaida na watoto wako bado wanasoma tafadhali usije kufanya kosa, ukipeleka kura yako kwa JPM ndio utakua unamtengenezea maisha ya kutangatanga hivyo mtoto wako.

Magufuli hana habari na kuajiri watoto wetu kama alivyofanya Kikwete.

Mimi nawaambieni tena huyu Rais wa sasa hana muda na maendeleo ya watu yeye anaangalia vitu tu, angalia sasa hivi vijana wetu wanavyosota mitaani, mitaani penyewe pagumu sana.

Vijana wetu wahitimu wa JKT sa hivi wako kitaa tu! Nawaambia kama kweli mnawapenda watoto wenu msifanye kosa, twende tukamchague Lissu.
Umenena mkuu
 
Mimi nawaambieni msije mkasema sikuwambia, kama kweli unajijua wewe ni mzazi mwenye kipato cha kawaida na watoto wako bado wanasoma tafadhali usije kufanya kosa, ukipeleka kura yako kwa JPM ndio utakua unamtengenezea maisha ya kutangatanga hivyo mtoto wako.

Magufuli hana habari na kuajiri watoto wetu kama alivyofanya Kikwete.

Mimi nawaambieni tena huyu Rais wa sasa hana muda na maendeleo ya watu yeye anaangalia vitu tu, angalia sasa hivi vijana wetu wanavyosota mitaani, mitaani penyewe pagumu sana.

Vijana wetu wahitimu wa JKT sa hivi wako kitaa tu! Nawaambia kama kweli mnawapenda watoto wenu msifanye kosa, twende tukamchague Lissu.
Maendeleo ya vitu ndiyo yanatengeneza ajira!
Shule _ajira
Hosptali _ ajira
Barabara _ watu wanapita kwenda kuuza mazao yao
Train
Ndege
Umeme
Na vyote hivyo Kuna ufundi kwa watanzania unatumika
Huyo Lisu wako hata ajira ya kudumu hana!
Umelogwa???????
 
Mkuu, japokuwa umetumia lugha kali lakini Tundu Lissu ni wakala wa watu weupe si mtu wa kumpa dhamana ya kuongoza nchi hii, Vinginevyo watanzania tuamue kuuza nchi yetu wenyewe kwa kumpa kura Tundu Lissu
Huko ulaya kwa watu weupe mlisababisha nyie na risasi zenu aende. Mlitaka abaki bongo mumwue?
 
nI SUALA LA APPROACH ALIYOTUMIA ex-RC Makonda. Huitaji kuwasaka na kuwafanyia vitimbi, unachotakiwa kufanya ni kutoa elimu kwa jamii na siyo kuwapa KIBALI waendelee na UJINGA HUU kama anavyotetea huyo mpuuzi wenu kama alivyo elekezwa na wanaomlipa.
james delicious sini shoga kabisa na anajitangaza kwenye mitandao ya kijamii? Serikali imemchukulia hatua gani?
 
Maendeleo ya vitu ndiyo yanatengeneza ajira!
Shule _ajira
Hosptali _ ajira
Barabara _ watu wanapita kwenda kuuza mazao yao
Train
Ndege
Umeme
Na vyote hivyo Kuna ufundi kwa watanzania unatumika
Huyo Lisu wako hata ajira ya kudumu hana!
Umelogwa???????

vijijini kuna zahananati ambazo unakuta muhudumu ni mmoja tu,
hizo ajira zilizoletwa na vitu ziko wapi?
 
vijijini kuna zahananati ambazo unakuta muhudumu ni mmoja tu,
hizo ajira zilizoletwa na vitu ziko wapi?
Hiyo moja ndio AJIRA yenyewe! Lazima uwe na mahali pa kuanzia siyo kupinga pinga kila jitihada za Serikali, vinginevyo ni shida tu!
 
Asiwadanganye! Huyu Lissu ni wakala wa kutetea na pupromoti ushoga, ulawiti na usagaji na mambo mengine machafu kama hayo chini ya kisingizio cha HAKI ZA BINADAMU. Hivyo nawashauri kama mnawapenda watoto wenu na kama ninyi watoto mnajipenda, ACHANENI NA LISSU na mawakala wake. Anzeni na Mungu na malizeni na Mungu katika hili.
Kwani shoga akiliwa ww inakuuma nn. Dhana potofu tu. Ushoga kashindwa kuuzuia Yesu ataweza Magu. Magu yupo madarakani je watu hawaliwi mtaani.
 
Hii si hoja ni KIOJA na ni dalili za kutokuwa na hoja na uvumilivu na ukosefu wa weledi. You are a typical example of watukanaji humu JF na hamlitendei haki hili JUKWAA.
kwaiyo kukwambia ukweli nimekutukana?

Nimekutukanaje?
 
Back
Top Bottom