Uchaguzi 2020 Wazazi wenzangu kama mnawatakia watoto wenu maisha mazuri mchagueni Lissu

Uchaguzi 2020 Wazazi wenzangu kama mnawatakia watoto wenu maisha mazuri mchagueni Lissu

Unazijua mila na desturi za ulaya alizokuja nazo.

Kuna chochote kinachoendelea ulaya na sehemu nyingine za dunia bado hukijui mpaka Lissu aje kukisema??

Kama ni ushoga na usagaji, mbona upo hapa nchini na hamjaukomesha? Watu wengine mna akili za kujua kuoga, kwenda chooni, kudeki nyumba na kusengenya tu! Mambo mengine ni makubwa kuliko uwezo wa akili zenu!!
 
nI SUALA LA APPROACH ALIYOTUMIA ex-RC Makonda. Huitaji kuwasaka na kuwafanyia vitimbi, unachotakiwa kufanya ni kutoa elimu kwa jamii na siyo kuwapa KIBALI waendelee na UJINGA HUU kama anavyotetea huyo mpuuzi wenu kama alivyo elekezwa na wanaomlipa.
Kwa maana ya wazi ni kwamba TAL na huyu mdau wake wataliacha liendelee ili wasipingane na haki za binadam. Yani ndio imekaa hivyo mkuu. Huyu TAL alinipoteza kama mdau wake ile siku aliyoongea alichokiongea. Alishindwa kuwa balozi wa ustaarabu wa kiafrika katika masuala ya uhusiano wa kijinsia. Huku kujikombakomba kwake kunanikera na maombi yangu ni abadilike aache ushenzi

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Mimi nawaambieni msije mkasema sikuwambia, kama kweli unajijua wewe ni mzazi mwenye kipato cha kawaida na watoto wako bado wanasoma tafadhali usije kufanya kosa, ukipeleka kura yako kwa JPM ndio utakua unamtengenezea maisha ya kutangatanga hivyo mtoto wako.

Magufuli hana habari na kuajiri watoto wetu kama alivyofanya Kikwete.

Mimi nawaambieni tena huyu Rais wa sasa hana muda na maendeleo ya watu yeye anaangalia vitu tu, angalia sasa hivi vijana wetu wanavyosota mitaani, mitaani penyewe pagumu sana.

Vijana wetu wahitimu wa JKT sa hivi wako kitaa tu! Nawaambia kama kweli mnawapenda watoto wenu msifanye kosa, twende tukamchague Lissu.
Huyu Tundu anayesomesha watoto wake ubelgiji?
 
acha mambo ya ushoga ww
ZILTAN, Japhet Karibu kakuuliza swali tu. Weye unaibuka na maneno ya matusi! Ni nini hiki mbona nyie JF -Expert Members wa humu JF unaishushia hadhi hiyo nafasi yenu? Nendeni kwa hoja jamani ili muwe mfano kwa sisi wengine.
 
Mimi nawaambieni msije mkasema sikuwambia, kama kweli unajijua wewe ni mzazi mwenye kipato cha kawaida na watoto wako bado wanasoma tafadhali usije kufanya kosa, ukipeleka kura yako kwa JPM ndio utakua unamtengenezea maisha ya kutangatanga hivyo mtoto wako.

Magufuli hana habari na kuajiri watoto wetu kama alivyofanya Kikwete.

Mimi nawaambieni tena huyu Rais wa sasa hana muda na maendeleo ya watu yeye anaangalia vitu tu, angalia sasa hivi vijana wetu wanavyosota mitaani, mitaani penyewe pagumu sana.

Vijana wetu wahitimu wa JKT sa hivi wako kitaa tu! Nawaambia kama kweli mnawapenda watoto wenu msifanye kosa, twende tukamchague Lissu.
Nenda kwanza Singida ukawaulize wazazi wenzio ikiwa hayo maisha bora kwa watoto wao walipata kwa kuchagua Mbeligiji mwenye asili ya Kenya
 
Mimi nawaambieni msije mkasema sikuwambia, kama kweli unajijua wewe ni mzazi mwenye kipato cha kawaida na watoto wako bado wanasoma tafadhali usije kufanya kosa, ukipeleka kura yako kwa JPM ndio utakua unamtengenezea maisha ya kutangatanga hivyo mtoto wako.

Magufuli hana habari na kuajiri watoto wetu kama alivyofanya Kikwete.

Mimi nawaambieni tena huyu Rais wa sasa hana muda na maendeleo ya watu yeye anaangalia vitu tu, angalia sasa hivi vijana wetu wanavyosota mitaani, mitaani penyewe pagumu sana.

Vijana wetu wahitimu wa JKT sa hivi wako kitaa tu! Nawaambia kama kweli mnawapenda watoto wenu msifanye kosa, twende tukamchague Lissu.
Mwananzengo;

1. Tuambie ni nchi gani ambayo haijakumbwa na tatizo la ajira Mkuu katika Afrika ya Mashariki na Kati na Afrika kwa ujumla?

2. Maendeleo ya vitu hiyo ni tafsiri yenu ninyi na ufinyu wenu wa uelewa.

New Mv Victoria *Hapa kazi tu* imeshisha bei ya kusafirisha tani moja toka 127,000/- hadi 27,000/- nadhani umeona kitu kilivyogusa watu.

Treni toka Dar - Arusha unadhani itaokoa uchakavu wa Barabara kwa kiasi gani achilia mbali punguzo la usafirishaji wa mizigo.

"Anchoring" Kati ya vitu na watu ndicho mnachokosa katika siasa zenu ambacho iwapo hamtakifanyia kazi kitawagharimu BIG TIME"
 
Back
Top Bottom