Wazazi wetu walikuwa hawaeleweki wanataka nini.
*Mgeni akifika halafu mtoto akawa anamuangalia, anapigwa.
*Akiwa anakwepa kumuangalia mgeni (anaangalia chini), anapigwa.
*Mgeni akitengewa chakula halafu mtoto akamuangalia wakati anakula, anapigwa.
*Mtoto akipigwa akalia, anapigwa.
*Na akipigwa asipolia, anapigwa.
Sasa sijui walitaka mtoto afenyeje?
Lkn hivi Sasa hawa akina junior, wanalia halafu mzazi anageuka kuwa mtumwa kumbembeleza.
*Mgeni akifika halafu mtoto akawa anamuangalia, anapigwa.
*Akiwa anakwepa kumuangalia mgeni (anaangalia chini), anapigwa.
*Mgeni akitengewa chakula halafu mtoto akamuangalia wakati anakula, anapigwa.
*Mtoto akipigwa akalia, anapigwa.
*Na akipigwa asipolia, anapigwa.
Sasa sijui walitaka mtoto afenyeje?
Lkn hivi Sasa hawa akina junior, wanalia halafu mzazi anageuka kuwa mtumwa kumbembeleza.