Wazee Bukoba: Kumaliza udhia, makelele ya kutaka Mkoa, Geita sasa iitwe mkoa wa Chato

Wazee Bukoba: Kumaliza udhia, makelele ya kutaka Mkoa, Geita sasa iitwe mkoa wa Chato

View attachment 1995673

Nawapenda ndugu zangu wahaya wa Bukoba , wana akili sana!
Wanasema hii kadhia ya makelele ya kutaka mkoa wa Chato, kumaliza udhia, mkoa wa Geita uitwe mkoa wa Chato, kesi kwisha!
Hivi wewe huwaga unatumia akili kweli?

Watu wa chato wanahitaji kupatiwa hadhi ya mkoa.

Wewe unakuja na mirohojo ya kubadili jina!
Ccm wana watu wa ajabu sana kama wewe.
 
Tatizo letu ni ujanja wa uwepo wa mwanadamu haumo tu kwa kuishi, bali pia katika kujua kile mtu anaishi.
 
Hivi wewe huwaga unatumia akili kweli?

Watu wa chato wanahitaji kupatiwa hadhi ya mkoa.

Wewe unakuja na mirohojo ya kubadili jina!
Ccm wana watu wa ajabu sana kama wewe.
Huwaga nyie mijitu ya mwendazake mna ukosefu wa vitamin ya kuwasaidia kufikiri.
Tazama tena clip uielewe kwanza.
Ndugu zangu kina nshomire wamesaidia sana kufikiri.
 
Hivi wewe huwaga unatumia akili kweli?

Watu wa chato wanahitaji kupatiwa hadhi ya mkoa.

Wewe unakuja na mirohojo ya kubadili jina!
Ccm wana watu wa ajabu sana kama wewe.
Mwenyewe alitaka mikoa iongezwe Ili vijiji vigeuke kuwa mjini na maendeleo ya vijijini yapatikane kirahisi Sasa sijui kwanini wapingane naye? Maana wapinzani wake walitaka serikali ya majimbo na ndo wengi walipenda lakini yeye akapinga akasema ataongeza mikoa na wilaya Ili maendeleo yasife kijijini na pia alionyesha kwa mfano kugeuza kijiji kuwa na maendeleo kama mjini hivyo wakiongeza huo mkoa litakuwa jambo jema kwa kuanzia huko kuongeza mikoa Ili vijiji vipewe maendeleo na wengi wafurahie kuzungukia Nchi maana Kila sehemu patakuwa mjini.
 
Mwenyewe alitaka mikoa iongezwe Ili vijiji vigeuke kuwa mjini na maendeleo ya vijijini yapatikane kirahisi Sasa sijui kwanini wapingane naye? Maana wapinzani wake walitaka serikali ya majimbo na ndo wengi walipenda lakini yeye akapinga akasema ataongeza mikoa na wilaya Ili maendeleo yasife kijijini na pia alionyesha kwa mfano kugeuza kijiji kuwa na maendeleo kama mjini hivyo wakiongeza huo mkoa litakuwa jambo jema kwa kuanzia huko kuongeza mikoa Ili vijiji vipewe maendeleo na wengi wafurahie kuzungukia Nchi maana Kila sehemu patakuwa mjini.
Huo mkoa labda utaongezwa kupitia ndotoni tu.
 
Hapo inabidi Geita,Simiyu,Mwanza,Shinyanga, na Chato ifanyiwe reshuffle itokee mikoa 3 tu maana Geita mkoa mpya tena ugawanywe wakati kuna mikoa mikubwa kijiografia kama Tabora au Morogoro haijagawanywa miaka 60 ya uhuru sasa!!

Embu tuwe serious,
 
Wahaya si huwa mnawabagua watu wa Ngara, Biharamulo na Chato, leo imekuwaje wanataka kupewa mkoa wamekuwa watamu eeee ? Mmechelewa, Chato inakwenda kuwa mkoa ili Kagera mbaki nyie wahaya na wanyambo tu. Full stop.
 
Mwenyewe alitaka mikoa iongezwe Ili vijiji vigeuke kuwa mjini na maendeleo ya vijijini yapatikane kirahisi Sasa sijui kwanini wapingane naye? Maana wapinzani wake walitaka serikali ya majimbo na ndo wengi walipenda lakini yeye akapinga akasema ataongeza mikoa na wilaya Ili maendeleo yasife kijijini na pia alionyesha kwa mfano kugeuza kijiji kuwa na maendeleo kama mjini hivyo wakiongeza huo mkoa litakuwa jambo jema kwa kuanzia huko kuongeza mikoa Ili vijiji vipewe maendeleo na wengi wafurahie kuzungukia Nchi maana Kila sehemu patakuwa mjini.
Ukiipandisha hadhi kisiasa wilaya mkoa ndo inapata maendeleo? Wazo muflisi kabisa.
 
Wahaya si huwa mnawabagua watu wa Ngara, Biharamulo na Chato, leo imekuwaje wanataka kupewa mkoa wamekuwa watamu eeee ? Mmechelewa, Chato inakwenda kuwa mkoa ili Kagera mbaki nyie wahaya na wanyambo tu. Full stop.
Huu ndio ukabila alioutaka Magufuli.
Mwalimu alisema kiongozi mkabila karne hii ni mufilisi kichwani.
 
Mwenyewe alitaka mikoa iongezwe Ili vijiji vigeuke kuwa mjini na maendeleo ya vijijini yapatikane kirahisi Sasa sijui kwanini wapingane naye? Maana wapinzani wake walitaka serikali ya majimbo na ndo wengi walipenda lakini yeye akapinga akasema ataongeza mikoa na wilaya Ili maendeleo yasife kijijini na pia alionyesha kwa mfano kugeuza kijiji kuwa na maendeleo kama mjini hivyo wakiongeza huo mkoa litakuwa jambo jema kwa kuanzia huko kuongeza mikoa Ili vijiji vipewe maendeleo na wengi wafurahie kuzungukia Nchi maana Kila sehemu patakuwa mjini.
Chato International airport imesaidia nini au ndo upotevu wa pesa tu
 
Jamaa alikuwa na akili ya kibagizi sana.

Hivi mtu wa mwisho kutekwa au kuuwawa alikuwa nani?

Tujikumbushe haya kabla ya kusheherekea hapo 17/03/2022
 
Kiukweli Chato haitakiwi kuwa mkoa hilo wala halihitaji shahada liko wazi. Enzi za ibilisi joka kuu zimepita.
 
Chato International airport imesaidia nini au ndo upotevu wa pesa tu
Imesaidia wanaotumia na kuongeza ajira kwa wewe usiyetumia haiwezi kukusaidia, umejiangalia wewe tu kama hujasaidiwa wakati wengine imetusaidia.
 
Back
Top Bottom