Wazee Bukoba: Kumaliza udhia, makelele ya kutaka Mkoa, Geita sasa iitwe mkoa wa Chato

Wewe koma kabisa nani kakudanganya kwamba Geita ni mkoa mdogo ? Kumbuka iko kwenye kumi bora ya mikoa inayokusanya mapato zaidi. Na population karibu milioni mbili. Leo unasema mkoa mdogo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…