Wazee hii ya kuishi na demu mjamzito imekaaje.

Utafikiri una miaka 12
 
Kwao sijulikani na mtu hata mmoja kwa sura zaidi ya dada yake tu ambaye tunawasiliana kwa simu kama mtu na shemejiye basi.
Unatafuta mazingira ya kumtelekeza au sio

Cha pili...... nitashindwa kupiga show vile nataka kutokana na hali yake ya ujauzito hivyo nampiga sound hizo ili muda uzidi kwenda ajifungulie huko huko maana ndugu zake wengi wapo huko kama alivyoniambia hapo awali.
Uhuni utakuua kijana lea matokeo ya kojo lako.

Wapuuzi kama nyie ndo mnatengeneza ma single mothers af mnakuja kuwakashfu humu pumbaf
 
°Huyu jamaa chief kumbyambya ndio muasisi wa No Fap humu JF aka Semen retention, Jamaa katutelekeza kumbe kaenda kutia mimba
Ukiskia wahuni sio watu ndio uelewe 🤣🤣🤣 mwamba anapiga mbunye 5 kwa week ila kawanyawisha masela eti ye NoFap. Unafanya masihara na ngunga nini 😀😀😀? NGUNGA hazivumiliki
 
Kuna anae zaliwa na uzoefu unao hofia?
 
Ukiskia wahuni sio watu ndio uelewe 🤣🤣🤣 mwamba anapiga mbunye 5 kwa week ila kawanyawisha masela eti ye NoFap. Unafanya masihara na ngunga nini 😀😀😀? NGUNGA hazivumiliki
°jamaa kani- disappoint Sana Yani alishapata wafuasi kibao kule kwenye Uzi wake wa No Fap, kumbe jamaa anagonga kama kawaida
 
Wewe kwa nn ulikijolea ndani?
Au condom zilikua zinakubana??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…