Wazee hii ya kuishi na demu mjamzito imekaaje.

Wazee hii ya kuishi na demu mjamzito imekaaje.

Huyu si yule jamaa wa no fap challenge

Sema wahuni tunasalitiana sana yaani una encourage wahuni wasile mzigo wakati we unatia mimba huko


Pambana na balaa lako na sisi tunakukataa
 
Nimepokea kwa mshtuko mkubwa Taarifa za uzi huu.
[emoji3]
Yaani angalia usilaaniwe na uzao wako. Huyo mtoto akipata shida nuksi itakurudia wew. So long umeshaonywa.

Unataka uzoefu wa aina gani? Na ulitaka kwao wakutambue kama nani? Waziri mkuu ama Mkurugenz mkuu??
 
fanya juu chini ujitambulishe na mahali. huko mbele wezi jua maana kwenye kujifungua linaweza tokea lolote na ukaona dunia chungu.
 
Back
Top Bottom