Wazee, Husna wa Corner Bar yupo wapi?

Huyo alishika mawe haoni analazimisha pendo.. ye badala abebe vitu vitakavyo mfanya me avutike ya ndo kwanza kabeba mawe..😅
Akatafute ambacho hana sio abebe mawe komamanga mkubwa huyo
 
Huyo alishika mawe haoni analazimisha pendo.. ye badala abebe vitu vitakavyo mfanya me avutike ya ndo kwanza kabeba mawe..😅
Akatafute ambacho hana sio abebe mawe komamanga mkubwa huyo
ataweza kufanya mazoezi mpaka awe kimodo?
hakuna mtu anataka mabonge nyanya
 
Makahaba wanapewa plattform lol. Dunia simama nishuke
 
Kulikuwa na changudoa mmoja anaitwa Esta alikuwa ananipenda mwnyw ananipa bure kbs enzi mwaka 2009...mama watoto alikuwa mjamzito shida zangu nlikuwa namalizoa kwake yani mpk bia ananinunulia...siku hizi yupo china huko
Mkuu huyo Esta alikua anakaa tabata?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…