Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
KIBONG'OTO hospital, Sanya Juu, amelazwa ana dozi ya miezi 6.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KIBONG'OTO hospital, Sanya Juu, amelazwa ana dozi ya miezi 6.
Wazee, Husna wa Corner Bar yupo wapi?
ataweza kufanya mazoezi mpaka awe kimodo?Huyo alishika mawe haoni analazimisha pendo.. ye badala abebe vitu vitakavyo mfanya me avutike ya ndo kwanza kabeba mawe..😅
Akatafute ambacho hana sio abebe mawe komamanga mkubwa huyo
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] nimegusa penyewe eeeeh? Hebu relaaaaaaxTulia wewe
We bado mtoto mambo ya kikubwa huyaweziMmmmmmmh Dunia ina makubwa yaan hadi majina ya makahaba mnayajua, na undani wake, hapanaaa kwa kweli
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mkuu huyo Esta alikua anakaa tabata?Kulikuwa na changudoa mmoja anaitwa Esta alikuwa ananipenda mwnyw ananipa bure kbs enzi mwaka 2009...mama watoto alikuwa mjamzito shida zangu nlikuwa namalizoa kwake yani mpk bia ananinunulia...siku hizi yupo china huko
Anaenda kituo cha afya lkn kupata zile dawaYupo hoi kitandani,Ukimwi unamkula.
Mmmmh mtakuja kuteketea kwa magonjwa lolWe bado mtoto mambo ya kikubwa huyawezi