Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ukitoka mje hapa kwa mangi tuzitumie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walioenda kuangalia mishahara kwenye ATM ya Minjingu wameiona, ila ukienda ATMs nyingine haionekani.Haya wazee wa mshahara leo ni siku yetu ambayo tunatumaini itafunika miaka 7 yote iliyopita.
Vipi huko ishasoma?
Unajua yote hayo[emoji848]we ni mtumishi bhana acha izo za kuzuga.. jf kla mtu mfanyabiasharaHio itasoma alhamisi au ijumaa kisingizio cha adjustment mjipange nyie tumbili wa mishahara, ondokeni huko nyie ngedere
Isipofika tar 28 huoni hata mia 😁kama hupo kitengo chenye maokoto umekwishaaMzee sio poa 😅
Hv kumbe pale minjingu pana ATM....hua napitaga tuWalioenda kuangalia mishahara kwenye ATM ya Minjingu wameiona, ila ukienda ATMs nyingine haionekani.
Ona kenge hiiSi mmewakataa dpw pambaneni na hali zenu.
Wengi tia maji tia maji bana situnao ndugu, humu tunawasoma na mitaani wapo.Kakuambia nani wanaishi kwa shida?
Yes. AugustHuo ni mshahara wa mwezi wa ngapi? Wa 8 au
Kuna wengine wanaendekeza tamaa sanaWengi tia maji tia maji bana situnao ndugu, humu tunawasoma na mitaani wapo.
Ila kuna event zanzibar jmos la amref per diem kama 300 hivIsipofika tar 28 huoni hata mia 😁kama hupo kitengo chenye maokoto umekwishaa
Mnajifariji endeleeni sisi tunachua pesa zetu mshahara mtajuana na bibi yenuUnajua yote hayo[emoji848]we ni mtumishi bhana acha izo za kuzuga.. jf kla mtu mfanyabiashara
Mi nlipo maokoto yapo yapo nkikaa vzr kimkakati 30k per day sikosi siku za kawaida naishia 12k & 13k ila mshahara haubadiliki😁😁Ila kuna event zanzibar jmos la amref per diem kama 300 hiv
Private sector now Zina Hali mbaya. Watu tunashindia mikate huku tumetinga suti za laki 2. Mim nimeamua kujiongeza na biashara mana mpaka mda huu imebaki elf 16 tu mpaka utoke mwingineMi nlipo maokoto yapo yapo nkikaa vzr kimkakati 30k per day sikosi siku za kawaida naishia 12k & 13k ila mshahara haubadiliki😁😁
HahahaPrivate sector now Zina Hali mbaya. Watu tunashindia mikate huku tumetinga suti za laki 2. Mim nimeamua kujiongeza na biashara mana mpaka mda huu imebaki elf 16 tu mpaka utoke mwingine
Babe nikopee basiBAYPORT TAYARI
Njia ya mwongo ni fupi! Ila inaweza kuongezeka buku mbili, tayari mtu keshatimiza ahadi hapo!!Mkuu Suchack siku hazigandii ...Hivi ndio walisema wataongeza august eeh??? Ngoja tuone!
Kama unapata mda biashara ni mkomboziPrivate sector now Zina Hali mbaya. Watu tunashindia mikate huku tumetinga suti za laki 2. Mim nimeamua kujiongeza na biashara mana mpaka mda huu imebaki elf 16 tu mpaka utoke mwingine
Bado,nchi nzima gizaHivi kwani huko umeme umekuja?