Ni nchi ya ujamaa(kutumia vyetu vyote kwa umoja) na kujitegemea.Kula tu mwanangu.Wazee mm kuna demu namkula ila ni mke wa mtuu lakini mumewe ni mzee wa 72 years sasa huyuu mazi ameniganda sanaa nifanyajee wakuuu
Achana nae mdogo wanguYeye ako na 28
Kula mwanangu kumbe mzee ndo mbakaji. Jitahidi maombi ili laana zisikupateYeye ako na 28
Mzee wa 72 ameshaishiwa uroto miguuni hawezi kumzibua huyo, jisevie tu.Yaaan tunachat mpaka usikuu sana
Daaaaah sawa nduguUjinga wa kulawitiwa hakupotezi maana hata ikiwa aliekulawiti ana miaka 72. Sasa endelea kula vya wenzio huku ukijitaarisha kupakwa mafuta ya nazi na kikongwe.
Soon demu wako atakuwa mke mwenzio pale babu akiku babu seya.
πππππNaona kijana umevuka mpaka kama maji....
Mapigo mengi na laana kwa wengi yamefungwa hapo kwenye amri ya sita. Na uwe na uhakika, kwa umri wa huyo mzee hata mfanye kwa siri vipi ni tayari ameshajua. Subiria tu tamko lake..