Wazee naombeni ushauri

Wazee naombeni ushauri

Wazee mm kuna demu namkula ila ni mke wa mtuu lakini mumewe ni mzee wa 72 years sasa huyuu mazi ameniganda sanaa nifanyajee wakuuu
Ni nchi ya ujamaa(kutumia vyetu vyote kwa umoja) na kujitegemea.Kula tu mwanangu.
NB;Historia ya huyo "kijana wa zamani wa miaka 72,inasemaje?Hajawahi kuua,kubaka au hata kuloga mtu?
 
Ujinga wa kulawitiwa hakupotezi maana hata ikiwa aliekulawiti ana miaka 72 na hajengi hema vizuri, as long as kichwa kimegusa huko nyuma kwako, kitakwimu ushalawitiwa. Sasa endelea kula vya wenzio huku ukijitaarisha kupakwa mafuta ya nazi na kikongwe.

Soon demu wako atakuwa mke mwenzio pale babu akiku babu seya.
 
Ni nchi ya ujamaa(kutumia vyetu vyote kwa umoja) na kujitegemea.Kula tu mwanangu.
NB;Historia ya huyo "kijana wa zamani wa miaka 72,inasemaje?Hajawahi kuua,kubaka au hata kuloga mtu?
Sijajuia course mzee ameishi sana USA
 
Naona kijana umevuka mpaka kama maji....

Mapigo mengi na laana kwa wengi yamefungwa hapo kwenye amri ya sita. Na uwe na uhakika, kwa umri wa huyo mzee hata mfanye kwa siri vipi ni tayari ameshajua. Subiria tu tamko lake..
 
Naona kijana umevuka mpaka kama maji....

Mapigo mengi na laana kwa wengi yamefungwa hapo kwenye amri ya sita. Na uwe na uhakika, kwa umri wa huyo mzee hata mfanye kwa siri vipi ni tayari ameshajua. Subiria tu tamko lake..
😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom