Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

Nenda hospital wewe usije ukawa unalifuga gonjwa ambalo unalituliza na dawa tu
 
Je wanaochomeka mdomoni mbona umewasahau? Usiwe mbaguzi
 
Aisee Kuna Nini mwezi huu,
Vijana wengi nnaowajua wameugua gono[emoji848]

Hii kitu ni kama upepo,

Ulitapakaa miaka minne iliyopita! Vijana wengi walitibu gono sugu huponi bila sindano!! Sasa hivi kuna haka kagono kepesi Azuma inakaondoa!!

Mwenyewe nimeona wengi sana na kuna jamaa yangu ni daktari kanipa tahadhari pia wanapokea wagonjwa wengi wa gono!!
 
mke wa mtu ana gono?
 
Mwanamke mwenye infection yoyote ile kuna harufu ambayo si ya kawaida utaifeel..

Sie wengine kabla ya kutumbukiza hazina yetu huwa tunaingiza kidole na kukinusa kwa kuzuga.. tunapata approval ya kuingia au kutoingia.
Hii imani ondoa kabisa mkuu, nyingine ni safi kabisa well shaved hakuna harufu ila ziko infected
 
hivi inakuaje hiyo gono haimuumizi mwanamke na anaweza asijue kabisa ila mwanaime ni siku mbili tena sometime kina maumivu na usaha unatoka
 
Mwanamke mwenye infection yoyote ile kuna harufu ambayo si ya kawaida utaifeel..

Sie wengine kabla ya kutumbukiza hazina yetu huwa tunaingiza kidole na kukinusa kwa kuzuga.. tunapata approval ya kuingia au kutoingia.
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…