Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

Mimi nauguli taya upande wa kulia kuelekea sikioni. Mara ya kwanza nakutana nae kimwili nilitumia kinga lakini tuli dendeka fresh tu. Baadae jioni siku hiyo hiyo nilianza kusikia maumivu makali ya taya kutoka mdomoni kwenda sikioni.
Kadri muda ulivyozidi kuyoyoma ndivyo hata mdomo nikawa nashindwa kuufungua na kutafuna pia.
Nikashauriwa nitumie Amoxilin. Nilizitumia na baada ya siku kama tano nikawa fresh kabisa.
Kwa kipindi chote hicho sikujua infection hiyo niliipatajepataje.
Sasa majuzi tena nikarudia show na huyo bidada. As usual tukatumia kinga lakini kudendeka ni palepale. Sasa tulipoachana tu nikaanza kuona meno ya upande wa kulia yanaaza kuuma na mdomo kua mzito. Maumivu yanapanda tena kwenda sikioni na kufungua mdomo inaanza kua shida. Yaa
Ni tatizo limerudi tena. Sasa kwa utafiti wangu naona huyu dada ndie chanzo na anashida kinywani kwake.
Nimeanza doz ya amoxilin tena
Nenda hospital wewe usije ukawa unalifuga gonjwa ambalo unalituliza na dawa tu
 
Hivi mtu hadi unaingia kinyume na maumbile shida huwa ni nini aisee? [emoji848][emoji848]

Maana najaribu kuwaza ile sehemu kazi yake halafu unakwenda kuchomeka uume wako kule iwe na condom au bila condom huwa kuna raha gani aisee?

Kimsingi huwa naona ni uchafu usio mithirika. Imagine njia ya haja kubwa wewe unakwenda chomeka uume wako hivi kweli usipatwe na maradhi?

Na hawa wanawake wa siku hizi aisee ni hatari sana. Unaweza kutana na binti mdogo ukasema huyu katulia hebu nimuonje kumbe anaingiliwa kinyume na maumbile.

Na jambo baya zaidi ni kuwa mwanamke anayeingiliwa kinyume na maumbile huwa anahamishia uchafu mwingi sana kutoka njia ya haja kubwa kuingia ukeni na kuweka makoloni ya bakteria wakali kuwahi kuwaona.

Na hatari mbaya zaidi ni namna mtandao wa ngono wa sasa ulivyo binti m'moja anaweza lala na wanaume hata sita kwa siku moja, na hawa wanaume pia wanaweza lala na wanawake tofauti nje ya huyo binti na hivyo kutengeneza mazingira ya kusambaza magonjwa ya zinaa kwa kasi kubwa.

Inafikirisha sana haya mahusiano ya miaka hii aisee. Hatari ya kupata magonjwa ambukizi ni kubwa sana aisee kadiri ya namna utajihusisha na wanawake wengi zaidi maana wanawake hawapo makini na afya zao hata kidogo.

Wengine watafanya ngono huku kalewa so hatajua anafanya nini kwa wakati huo. Mwanaume kachomeka dudu huko njia ya haja kubwa halafu atamuwekea binti mdomoni alinyonye. Binti anatoka huko anakuja kunyonyana ulimi na wewe unashangaa unapata maambukizi kwenye koo lako unapata madonda.

Aiseee vijana tuwe makini sana na kurukaruka na hawa mabinti wa kisasa.

Tutafute namna ya kujifurahisha ila tuwe makini sana.
Je wanaochomeka mdomoni mbona umewasahau? Usiwe mbaguzi
 
Aisee Kuna Nini mwezi huu,
Vijana wengi nnaowajua wameugua gono[emoji848]

Hii kitu ni kama upepo,

Ulitapakaa miaka minne iliyopita! Vijana wengi walitibu gono sugu huponi bila sindano!! Sasa hivi kuna haka kagono kepesi Azuma inakaondoa!!

Mwenyewe nimeona wengi sana na kuna jamaa yangu ni daktari kanipa tahadhari pia wanapokea wagonjwa wengi wa gono!!
 
Mwisho mwa wiki iliyopita nilipatana na huyu dada ambaye baadae nilikuja kugundua ni mke wa mtu sasa wakati tumekutana nilibeba zana na nilitumia kwenye bao la kwanza baadaye aliniambia nikanunue mafuta ili nipige nyama kwa nyama kuepuka michubuano bila ubishi nilinunua wese na ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho kutumia kinga huu ni udhaifu na ujinga niliofanya kimsingi milango yote niliingia tena peku.

Siku ya leo baada ya kuvua boxer na kuona ina alama ya uchafu ulioganda nikashtuka nikajaribu kujibinya uume naona uchafu wa maziwa unatoka ikabidi nifanye maamuzi ya kwenda dispensary kupima majibu ni kuwa nina gonorrhea ikabidi haraka niulize wajuzi wa mambo ipi dawa sahihi ya kutibu hii changomoto wakaniambia Azuma nishaanza dozi.

Gonorrhea naweza kupona vipi kuhusu ukimwi sina wa kumlaumu zaidi ya nafsi yangu na tamaa zangu za mwili aliyeniambukiza nishampa taarifa yupo kimya kama hakijatokea kitu.

Wazee magonjwa ya zinaa bado yapo usipime kwa macho, chukua tahadhari.
mke wa mtu ana gono?
 
Mwanamke mwenye infection yoyote ile kuna harufu ambayo si ya kawaida utaifeel..

Sie wengine kabla ya kutumbukiza hazina yetu huwa tunaingiza kidole na kukinusa kwa kuzuga.. tunapata approval ya kuingia au kutoingia.
Hii imani ondoa kabisa mkuu, nyingine ni safi kabisa well shaved hakuna harufu ila ziko infected
 
hivi inakuaje hiyo gono haimuumizi mwanamke na anaweza asijue kabisa ila mwanaime ni siku mbili tena sometime kina maumivu na usaha unatoka
 
Mwanamke mwenye infection yoyote ile kuna harufu ambayo si ya kawaida utaifeel..

Sie wengine kabla ya kutumbukiza hazina yetu huwa tunaingiza kidole na kukinusa kwa kuzuga.. tunapata approval ya kuingia au kutoingia.
Hahaha
 
Back
Top Bottom