Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

We Miso Missondo umepigaje hapo? [emoji1787]
 
mshahara wa dhambi ni mauti acha uzinzi
 
Teh teh teh teh teh teh mi nimesema tu kushuka kijahidin.
Nilikumbana nalo Kanda ya Ziwa huko.
Ila nilikwenda hospitali wakanicheki, ndio wakaja na hayo majibu.

Halafu nikapewa mavidonge sjui ya nini ila nikinywa nguvu zinaisha papo kwa papo.

Kwa muda wa mwezi mzima, full hallucinations.

Nilivyorudi kwa mke wangu, full heshima na ndani sitoki.

Kazini ndani, bia nakunywa sebureni kumbe hakujua yaliyonikuta huko safarini nilipoenda.
 
Najiuliza inakuwaje mke wa mtu anakuwa na Gono? Mumewe kasafiri muda mrefu sana?
Mke wa mtu ukitumwa utamleta? Sema mke wa watu. Atakwambia ohhh nilitumia choo public sokoni,mara ohh, kuna chupi mtumba nilivaa sikuifua vizuri.
Kikubwa tu zoeeni. Kuliwa vyako au wewe kula vya wenzako. Tatizo tu ni moja. Umhifadhi kwako,kama umepanga bili zote ulipie wewe, agongwe huko weee,af aje akwambie anataka nguo au lotion. Nyambafuuuu
 
Hahahahahahah hivi vitu acheni aise.
Mengine yanakufukuzia yenyewe. Ya sasa hivi, hela tu. Af mwisho wa siku likwambie ohhh,nina miaka karibia 6 sijakutana na mwanaume,nimekuona nikajisikia mabadiliko,niko vizuri dadeeeki. Kumbe limeshaisha na kuisha kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…