Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

Kuumwa gono mkuu c kupata ukimwi Cha msingi zingatia dozi ya gono upone ,,mm mwenzio Toka nijuee mbususu nimepata gono mara 11 na Moja na nimepima ukimwi cna ,na juzi tu Tena nimepima ngoma npo poa sanaa ,ilaa nimeachaa kula kavu cku hz na mlango wa nyuma Kwakwel cfunguagi kbs japo nishakutana na madem wanataka kufunguliwa lkn nawakemea Kwa jina la yesu[emoji1787][emoji1787] nawaambiaga nafanya dhambi ya uzinzi hapa na Bado Tena uniingize na dhambi ya ufir**j[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwisho mwa wiki iliyopita nilipatana na huyu dada ambaye baadae nilikuja kugundua ni mke wa mtu sasa wakati tumekutana nilibeba zana na nilitumia kwenye bao la kwanza baadaye aliniambia nikanunue mafuta ili nipige nyama kwa nyama kuepuka michubuano bila ubishi nilinunua wese na ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho kutumia kinga huu ni udhaifu na ujinga niliofanya kimsingi milango yote niliingia tena peku.

Siku ya leo baada ya kuvua boxer na kuona ina alama ya uchafu ulioganda nikashtuka nikajaribu kujibinya uume naona uchafu wa maziwa unatoka ikabidi nifanye maamuzi ya kwenda dispensary kupima majibu ni kuwa nina gonorrhea ikabidi haraka niulize wajuzi wa mambo ipi dawa sahihi ya kutibu hii changomoto wakaniambia Azuma nishaanza dozi.

Gonorrhea naweza kupona vipi kuhusu ukimwi sina wa kumlaumu zaidi ya nafsi yangu na tamaa zangu za mwili aliyeniambukiza nishampa taarifa yupo kimya kama hakijatokea kitu.

Wazee magonjwa ya zinaa bado yapo usipime kwa macho chukua tahadhari.
Umeyakanyaga hata ngoma ushaipata
 
Tiba ya gono haipo hivyo kila siku wanaenda kuangalia mishipa inayoonekana wanakudunga sindano siku tano
Mimi kitu kitakachonifanya nitulie na mke wangu ni hizo sindano jamani. Naogopa sindano vibaya mnoo!! Yani sindano hata nikiiona kwenye picha nasisimka mwili mzima. 💉 Hivi hakuna dawa nyingine za hayo magonjwa zaidi ya masindano 🙄
 
Powercef

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Wewe ndiyo utawamaliza kabsaa
Power cef ndiyo dawa gan

Daaah wabongo kwa kujifanya madaktari hawajambo

Mtu hujui chochote kuhusu afya kisa ulichomwa hizo sindano unataka mwenzako achomwe

Mnajua taratibu za kuchoma sindano badala ya dawa?

Mmetengeneza usugu wa dawa hatariiii miaka mitano nyuma hiyo unayoita power cef ilikua haitoki bila kibali cha daktar leo hii zinaunzwa kama karanga maduka ya Dawa hii ni hatariiii

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mimi kitu kitakachonifanya nitulie na mke wangu ni hizo sindano jamani. Naogopa sindano vibaya mnoo!! Yani sindano hata nikiiona kwenye picha nasisimka mwili mzima. [emoji382] Hivi hakuna dawa nyingine za hayo magonjwa zaidi ya masindano [emoji849]
Zilikuwepo ila saivi hazina nguvu tena zishakua sugu

Sasa hivi sindano ndiyo kidogo zinanguvu ya kumtikisha Nesseria gonorrhea kuna rafik yake anaitwa Chlamydia ooh huyu ni msumbufu balaaa ila anakiboko yake kombora moja tuu chaliii

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Zilikuwepo ila saivi hazina nguvu tena zishakua sugu

Sasa hivi sindano ndiyo kidogo zinanguvu ya kumtikisha Nesseria gonorrhea kuna rafik yake anaitwa Chlamydia ooh huyu ni msumbufu balaaa ila anakiboko yake kombora moja tuu chaliii

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na ni lazima hizo sindano zidungwe kwenye kalio? Hakuna sehemu nyingine?
 
Back
Top Bottom