financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Aisee unampima mtu kwa kumwangalia, shauri yako unayemuona pisi huenda hayuko salama, tumia kinga tu uwe salamaSasa kama wewe hapo nakukulaje na ndom potelea pote kavu inahusika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee unampima mtu kwa kumwangalia, shauri yako unayemuona pisi huenda hayuko salama, tumia kinga tu uwe salamaSasa kama wewe hapo nakukulaje na ndom potelea pote kavu inahusika
Kmmk pole sana... Raha ya dk kadhaa imekuponza mwanetu...Mwisho mwa wiki iliyopita nilipatana na huyu dada ambaye baadae nilikuja kugundua ni mke wa mtu sasa wakati tumekutana nilibeba zana na nilitumia kwenye bao la kwanza baadaye aliniambia nikanunue mafuta ili nipige nyama kwa nyama kuepuka michubuano bila ubishi nilinunua wese na ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho kutumia kinga huu ni udhaifu na ujinga niliofanya kimsingi milango yote niliingia tena peku.
Siku ya leo baada ya kuvua boxer na kuona ina alama ya uchafu ulioganda nikashtuka nikajaribu kujibinya uume naona uchafu wa maziwa unatoka ikabidi nifanye maamuzi ya kwenda dispensary kupima majibu ni kuwa nina gonorrhea ikabidi haraka niulize wajuzi wa mambo ipi dawa sahihi ya kutibu hii changomoto wakaniambia Azuma nishaanza dozi.
Gonorrhea naweza kupona vipi kuhusu ukimwi sina wa kumlaumu zaidi ya nafsi yangu na tamaa zangu za mwili aliyeniambukiza nishampa taarifa yupo kimya kama hakijatokea kitu.
Wazee magonjwa ya zinaa bado yapo usipime kwa macho chukua tahadhari.
mlango wa nyuma kuna kaswendeMlango wa nyuma kuingia peku ndo kisanga kimeanzia hapo usirudie
Gono la nyuma usishangae hata azuma zikadunda
We tnTumeaswa kuwa STDs bado zipo
Kalizoa gonjwa 🤣🤣mlango wa nyuma kuna kaswende
🤣🤣🤣🤣Embu ngoja kwanza,,hiyo milango yote uliyoingia peku ni ipi
nadhan ule alioingilia yanga kwa mkapa🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Kila ikifika ijumaaa wanachafua Hali ya hewa umu Jfnadhan ule alioingilia yanga kwa mkapa
Kusikia kwa kenge...
Gono, chylamidia na syphilis hazina harufu mara nyingiMwanamke mwenye infection yoyote ile kuna harufu ambayo si ya kawaida utaifeel..
Sie wengine kabla ya kutumbukiza hazina yetu huwa tunaingiza kidole na kukinusa kwa kuzuga.. tunapata approval ya kuingia au kutoingia.
Nina mpenz mmoj tu.. kondom hapana.Gono, chylamidia na syphilis hazina harufu mara nyingi
Bacterial vaginosis ndo zina harufu. Muhimu punguza wapenzi wengi na tumia condom
hizi habari zimezidi nando wanawatia wengine hamu yakutumia huo mlango[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kila ikifika ijumaaa wanachafua Hali ya hewa umu Jf
Mkuu,Mwisho mwa wiki iliyopita nilipatana na huyu dada ambaye baadae nilikuja kugundua ni mke wa mtu sasa wakati tumekutana nilibeba zana na nilitumia kwenye bao la kwanza baadaye aliniambia nikanunue mafuta ili nipige nyama kwa nyama kuepuka michubuano bila ubishi nilinunua wese na ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho kutumia kinga huu ni udhaifu na ujinga niliofanya kimsingi milango yote niliingia tena peku.
Siku ya leo baada ya kuvua boxer na kuona ina alama ya uchafu ulioganda nikashtuka nikajaribu kujibinya uume naona uchafu wa maziwa unatoka ikabidi nifanye maamuzi ya kwenda dispensary kupima majibu ni kuwa nina gonorrhea ikabidi haraka niulize wajuzi wa mambo ipi dawa sahihi ya kutibu hii changomoto wakaniambia Azuma nishaanza dozi.
Gonorrhea naweza kupona vipi kuhusu ukimwi sina wa kumlaumu zaidi ya nafsi yangu na tamaa zangu za mwili aliyeniambukiza nishampa taarifa yupo kimya kama hakijatokea kitu.
Wazee magonjwa ya zinaa bado yapo usipime kwa macho chukua tahadhari.
Hongera sana, jitahidi ili upate kaswende pia uje utueleze madhara yale.Mwisho mwa wiki iliyopita nilipatana na huyu dada ambaye baadae nilikuja kugundua ni mke wa mtu sasa wakati tumekutana nilibeba zana na nilitumia kwenye bao la kwanza baadaye aliniambia nikanunue mafuta ili nipige nyama kwa nyama kuepuka michubuano bila ubishi nilinunua wese na ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho kutumia kinga huu ni udhaifu na ujinga niliofanya kimsingi milango yote niliingia tena peku.
Siku ya leo baada ya kuvua boxer na kuona ina alama ya uchafu ulioganda nikashtuka nikajaribu kujibinya uume naona uchafu wa maziwa unatoka ikabidi nifanye maamuzi ya kwenda dispensary kupima majibu ni kuwa nina gonorrhea ikabidi haraka niulize wajuzi wa mambo ipi dawa sahihi ya kutibu hii changomoto wakaniambia Azuma nishaanza dozi.
Gonorrhea naweza kupona vipi kuhusu ukimwi sina wa kumlaumu zaidi ya nafsi yangu na tamaa zangu za mwili aliyeniambukiza nishampa taarifa yupo kimya kama hakijatokea kitu.
Wazee magonjwa ya zinaa bado yapo usipime kwa macho chukua tahadhari.
Alafu ukidungwa Yale masindano mishipa inapotea.Mimi kitu kitakachonifanya nitulie na mke wangu ni hizo sindano jamani. Naogopa sindano vibaya mnoo!! Yani sindano hata nikiiona kwenye picha nasisimka mwili mzima. [emoji382] Hivi hakuna dawa nyingine za hayo magonjwa zaidi ya masindano [emoji849]
Na mwenye Virusi vya ukimwi nae uke wake unatoa hsrufu?.Vijana tuache kubeti afya zetu.Majuto ni mjukuu.MTAJI WA KWANZA NI AFYAUnaweza kuta ulijichanganya sehemu ila yeue ikawa ni trigger action tu. Au chooni and sometimes mataulo ya lodge hayapo sanitized vzr.
Ishu ni harufu jamani... ukiona chuma kinatema harufu haieleweki kimbia.