Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

Mwisho mwa wiki iliyopita nilipatana na huyu dada ambaye baadae nilikuja kugundua ni mke wa mtu sasa wakati tumekutana nilibeba zana na nilitumia kwenye bao la kwanza baadaye aliniambia nikanunue mafuta ili nipige nyama kwa nyama kuepuka michubuano bila ubishi nilinunua wese na ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho kutumia kinga huu ni udhaifu na ujinga niliofanya kimsingi milango yote niliingia tena peku.

Siku ya leo baada ya kuvua boxer na kuona ina alama ya uchafu ulioganda nikashtuka nikajaribu kujibinya uume naona uchafu wa maziwa unatoka ikabidi nifanye maamuzi ya kwenda dispensary kupima majibu ni kuwa nina gonorrhea ikabidi haraka niulize wajuzi wa mambo ipi dawa sahihi ya kutibu hii changomoto wakaniambia Azuma nishaanza dozi.

Gonorrhea naweza kupona vipi kuhusu ukimwi sina wa kumlaumu zaidi ya nafsi yangu na tamaa zangu za mwili aliyeniambukiza nishampa taarifa yupo kimya kama hakijatokea kitu.

Wazee magonjwa ya zinaa bado yapo usipime kwa macho chukua tahadhari.
Kmmk pole sana... Raha ya dk kadhaa imekuponza mwanetu...
 
Mwanamke mwenye infection yoyote ile kuna harufu ambayo si ya kawaida utaifeel..

Sie wengine kabla ya kutumbukiza hazina yetu huwa tunaingiza kidole na kukinusa kwa kuzuga.. tunapata approval ya kuingia au kutoingia.
Gono, chylamidia na syphilis hazina harufu mara nyingi
Bacterial vaginosis ndo zina harufu. Muhimu punguza wapenzi wengi na tumia condom
 
Mwisho mwa wiki iliyopita nilipatana na huyu dada ambaye baadae nilikuja kugundua ni mke wa mtu sasa wakati tumekutana nilibeba zana na nilitumia kwenye bao la kwanza baadaye aliniambia nikanunue mafuta ili nipige nyama kwa nyama kuepuka michubuano bila ubishi nilinunua wese na ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho kutumia kinga huu ni udhaifu na ujinga niliofanya kimsingi milango yote niliingia tena peku.

Siku ya leo baada ya kuvua boxer na kuona ina alama ya uchafu ulioganda nikashtuka nikajaribu kujibinya uume naona uchafu wa maziwa unatoka ikabidi nifanye maamuzi ya kwenda dispensary kupima majibu ni kuwa nina gonorrhea ikabidi haraka niulize wajuzi wa mambo ipi dawa sahihi ya kutibu hii changomoto wakaniambia Azuma nishaanza dozi.

Gonorrhea naweza kupona vipi kuhusu ukimwi sina wa kumlaumu zaidi ya nafsi yangu na tamaa zangu za mwili aliyeniambukiza nishampa taarifa yupo kimya kama hakijatokea kitu.

Wazee magonjwa ya zinaa bado yapo usipime kwa macho chukua tahadhari.
Mkuu,

Fanya uende hospitali upimwe vizuri upewe dozi ya uhakika, hizi habari za kumeza dawa kwa kuambiwa na washkaji, matokeo yake unakunywa dawa bila kufuata dozi ya kitaalamu, wadudu wanakufa nusu, halafu unatengeneza "super gonorrhea" ambalo halisikii dawa tena.

Pia, kapime na ngoma kabisa, ujue hali yako.
 
Mwisho mwa wiki iliyopita nilipatana na huyu dada ambaye baadae nilikuja kugundua ni mke wa mtu sasa wakati tumekutana nilibeba zana na nilitumia kwenye bao la kwanza baadaye aliniambia nikanunue mafuta ili nipige nyama kwa nyama kuepuka michubuano bila ubishi nilinunua wese na ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho kutumia kinga huu ni udhaifu na ujinga niliofanya kimsingi milango yote niliingia tena peku.

Siku ya leo baada ya kuvua boxer na kuona ina alama ya uchafu ulioganda nikashtuka nikajaribu kujibinya uume naona uchafu wa maziwa unatoka ikabidi nifanye maamuzi ya kwenda dispensary kupima majibu ni kuwa nina gonorrhea ikabidi haraka niulize wajuzi wa mambo ipi dawa sahihi ya kutibu hii changomoto wakaniambia Azuma nishaanza dozi.

Gonorrhea naweza kupona vipi kuhusu ukimwi sina wa kumlaumu zaidi ya nafsi yangu na tamaa zangu za mwili aliyeniambukiza nishampa taarifa yupo kimya kama hakijatokea kitu.

Wazee magonjwa ya zinaa bado yapo usipime kwa macho chukua tahadhari.
Hongera sana, jitahidi ili upate kaswende pia uje utueleze madhara yale.
 
Mimi kitu kitakachonifanya nitulie na mke wangu ni hizo sindano jamani. Naogopa sindano vibaya mnoo!! Yani sindano hata nikiiona kwenye picha nasisimka mwili mzima. [emoji382] Hivi hakuna dawa nyingine za hayo magonjwa zaidi ya masindano [emoji849]
Alafu ukidungwa Yale masindano mishipa inapotea.
Wanaanza ya kuchoma kwenye mikono kudadeki zake
 
Unaweza kuta ulijichanganya sehemu ila yeue ikawa ni trigger action tu. Au chooni and sometimes mataulo ya lodge hayapo sanitized vzr.

Ishu ni harufu jamani... ukiona chuma kinatema harufu haieleweki kimbia.
Na mwenye Virusi vya ukimwi nae uke wake unatoa hsrufu?.Vijana tuache kubeti afya zetu.Majuto ni mjukuu.MTAJI WA KWANZA NI AFYA
 
Back
Top Bottom