Nzagambaaa
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,135
- 1,826
Huwa sigongi demu bila kumpima HIV,haswaa mwenye Tako na kitambi lazima nimkague!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ndo malipo ya uzinzi dhidi ya wake za watu.Kaka last month nimekutana na demu uchi msafi na huna harufu guess nimetoka na gono tena mke wa mtu.
Kama hana tako na kitambi humpimi? Anakuwa hana UKIMWI si ndio?Huwa sigongi demu bila kumpima HIV,haswaa mwenye Tako na kitambi lazima nimkague!
Hujaona pep br?Azuma zikiondolewa madukani wengi mtakwisha
Sitongozagii wasio na Tako labda anibake.Kama hana tako na kitambi humpimi? Anakuwa hana UKIMWI si ndio?
Hyo sindano ya kutibu chlamydia inaitwaje mkuuZilikuwepo ila saivi hazina nguvu tena zishakua sugu
Sasa hivi sindano ndiyo kidogo zinanguvu ya kumtikisha Nesseria gonorrhea kuna rafik yake anaitwa Chlamydia ooh huyu ni msumbufu balaaa ila anakiboko yake kombora moja tuu chaliii
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Gono linaletwa na wapenzi wangapi?Nina mpenz mmoj tu.. kondom hapana.
Ahsante kwa somo.
Pakiwa safi lazima watu wale kavuMkuu ulichezea mavi pekupeku?? Una moyo kweli
Pole sanaa, smtms sex ni laanaMimi nauguli taya upande wa kulia kuelekea sikioni. Mara ya kwanza nakutana nae kimwili nilitumia kinga lakini tuli dendeka fresh tu. Baadae jioni siku hiyo hiyo nilianza kusikia maumivu makali ya taya kutoka mdomoni kwenda sikioni.
Kadri muda ulivyozidi kuyoyoma ndivyo hata mdomo nikawa nashindwa kuufungua na kutafuna pia.
Nikashauriwa nitumie Amoxilin. Nilizitumia na baada ya siku kama tano nikawa fresh kabisa.
Kwa kipindi chote hicho sikujua infection hiyo niliipatajepataje.
Sasa majuzi tena nikarudia show na huyo bidada. As usual tukatumia kinga lakini kudendeka ni palepale. Sasa tulipoachana tu nikaanza kuona meno ya upande wa kulia yanaaza kuuma na mdomo kua mzito. Maumivu yanapanda tena kwenda sikioni na kufungua mdomo inaanza kua shida. Yaa
Ni tatizo limerudi tena. Sasa kwa utafiti wangu naona huyu dada ndie chanzo na anashida kinywani kwake.
Nimeanza doz ya amoxilin tena
Pole sanaa, smtms sex ni laanaMimi nauguli taya upande wa kulia kuelekea sikioni. Mara ya kwanza nakutana nae kimwili nilitumia kinga lakini tuli dendeka fresh tu. Baadae jioni siku hiyo hiyo nilianza kusikia maumivu makali ya taya kutoka mdomoni kwenda sikioni.
Kadri muda ulivyozidi kuyoyoma ndivyo hata mdomo nikawa nashindwa kuufungua na kutafuna pia.
Nikashauriwa nitumie Amoxilin. Nilizitumia na baada ya siku kama tano nikawa fresh kabisa.
Kwa kipindi chote hicho sikujua infection hiyo niliipatajepataje.
Sasa majuzi tena nikarudia show na huyo bidada. As usual tukatumia kinga lakini kudendeka ni palepale. Sasa tulipoachana tu nikaanza kuona meno ya upande wa kulia yanaaza kuuma na mdomo kua mzito. Maumivu yanapanda tena kwenda sikioni na kufungua mdomo inaanza kua shida. Yaa
Ni tatizo limerudi tena. Sasa kwa utafiti wangu naona huyu dada ndie chanzo na anashida kinywani kwake.
Nimeanza doz ya amoxilin tena
Watu wanahamisha E.Coli bacteria kutoka mkunduni kuingiza kwenye kyuma...Hapo anampa mwanamke UTI na yeye vilevile ana risk kupata UTI kutokana na chembechembe za mavi zilizobeba bacteria aina ya E.Coli kupenya katika tundu ya uume na kuingia katika mrija wa mkojo uitwao Urethra na kisha kupanda juu kupeleka maambukizi katika kibofu cha mkojo .Mwanamke anayeingiliwa na mwanaume zaidi ya m'moja huwa anakuwa si salama kiafya maana ana risk sana na utamjua sana namna uke wake utakavyokuwa hauna ulinzi mzuri.
Hawa mabinti wanaolalamika UTI kila siku hawa ni wa kuwatazama kwa jicho la tahadhari sana.
Duuh..Mwisho mwa wiki iliyopita nilipatana na huyu dada ambaye baadae nilikuja kugundua ni mke wa mtu sasa wakati tumekutana nilibeba zana na nilitumia kwenye bao la kwanza baadaye aliniambia nikanunue mafuta ili nipige nyama kwa nyama kuepuka michubuano bila ubishi nilinunua wese na ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho kutumia kinga huu ni udhaifu na ujinga niliofanya kimsingi milango yote niliingia tena peku.
Hii point kweli kabisa, ukisikia harufu za ajabu ajabu tema hilo mtu STD nje nje hapoMwanamke mwenye infection yoyote ile kuna harufu ambayo si ya kawaida utaifeel..
Sie wengine kabla ya kutumbukiza hazina yetu huwa tunaingiza kidole na kukinusa kwa kuzuga.. tunapata approval ya kuingia au kutoingia.
Umepima mkuu au umegoma?Na hicho ndio kinaumiza nafsi yangu na sio gono najaribu kufikiria mengi sana..