badae utaacha tu kucheza hilo dude bila hata ya kuambiwa na mtu.Kwa uzoefu wangu aviator ni casino nzuri na bora kuliko zote ukiwa na nidhamu nyema huwezi kulost kijingajinga, mara nyingi wanaopoteza ni walimbukeni watamani vya juu zaidiii.
Naweka odds zangu 2 na stake 10000 kuna mida yake kama dakika hizi 2/3 , 9/10 ,6/7, 10/11 na nyingine nyingi. Kama unachocho ongezea nipate ujuzi zaidi
Huyo jamaa ni mgeni wa hizi kazi, tuna uzoefu na hizi kazi,badae utaacha tu kucheza hilo dude bila hata ya kuambiwa na mtu.
Tumia code au signal minions soko baya [emoji1787][emoji1787] na left baadae narudi na nikirudi nampiga 50 elfHuyo jamaa ni mgeni wa hizi kazi, tuna uzoefu na hizi kazi,
Siku atakapoweka mzigo wa maana uliwe kabla hata ndege haijaanza kupaa!... Ndio atajua hajui!
Kuna kipindi ushastake... Hata 0.00 second haipiti... Mzigo umeenda!
Bf wangu halali usiku kucha🤣🤣. Kuna ile ping pongKindege kama kindege 🤣, ukichelewa tu, Kinapita na hela shwaaaa ✈️🛫
Aviator itembee mpaka odds 1000? Wadanganye wengineNishawahi weka 5000 ikatembea adi odds buku nilipiga mil 5 kwa second nikanunua pikipiki na nikafungua kibanda cha chips daaah riziki ni riziki tu haijarishi unaipata kwa njia zipi isipokuwa njia za mbovu
Nimeacha kucheza aviator mwaka Juzi, dogo kaijua leo anaona ni bonge la mchongo.Aviator itembee mpaka odds 1000? Wadanganye wengine
Hiyo ni ngapAviator itembee mpaka odds 1000? Wadanganye wengine
Hicho kindege kilishanilaza bila umeme kiutani utani zile flew away zinamaliza mtaji woteKwa uzoefu wangu aviator ni casino nzuri na bora kuliko zote ukiwa na nidhamu nyema huwezi kulost kijingajinga, mara nyingi wanaopoteza ni walimbukeni watamani vya juu zaidiii.
Naweka odds zangu 2 na stake 10000 kuna mida yake kama dakika hizi 2/3 , 9/10 ,6/7, 10/11 na nyingine nyingi. Kama unachocho ongezea nipate ujuzi zaidi
Kuwin aviator ni rahisi kama utazingatia signal mkuu, ila kama una stake stake hovyo ni rahisi kulost pesa zako zote just for 5minutes only , ukiwa unacheza kwa signal na sio kila round mzee utapiga ela [emoji16][emoji16]Hicho kindege kilishanilaza bila umeme kiutani utani zile flew away zinamaliza mtaji wote