GOLD BOY
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 387
- 490
- Thread starter
- #21
We zombie hujui [emoji16][emoji16][emoji16] ninamasters ya aviator sasa wewe endelea kubishaHiyo ni ngapView attachment 2890311
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We zombie hujui [emoji16][emoji16][emoji16] ninamasters ya aviator sasa wewe endelea kubishaHiyo ni ngapView attachment 2890311
Kamari bora na ya haki itabaki kuwa ya kubeti tu nyingine zote zipo mikononi mwa mmiliki yeye ndiye anaye hamua ushindi uweje acha kupotosha wajingaKwa uzoefu wangu aviator ni casino nzuri na bora kuliko zote ukiwa na nidhamu nyema huwezi kulost kijingajinga, mara nyingi wanaopoteza ni walimbukeni watamani vya juu zaidiii.
Naweka odds zangu 2 na stake 10000 kuna mida yake kama dakika hizi 2/3 , 9/10 ,6/7, 10/11 na nyingine nyingi. Kama unachocho ongezea nipate ujuzi zaidi
Aiseee.Ulikuwa unacheza cheza tu bila kujua mkuu ndo maana ukshindwa
Akituma niite mbwaMimi nikajua utakuja na ushahidi wa miamala ulivyoshinda hizo pesa,
kwanini mkuu😂😂? Nimecheka sanaAkituma niite mbwa
tuelekeza unapigaje na timing yakoTumia code au signal minions soko baya [emoji1787][emoji1787] na left baadae narudi na nikirudi nampiga 50 elf
Njoo inbox
🤣🤣🤣Bf wangu halali usiku kucha🤣🤣. Kuna ile ping pong
Kuna app inaitwa slotpesa weka wanakupa na hela ya ku practise ukishaweza ndio unaweza weka hela ucheze mwenyewe.embu nipeni skills aviator ni wiki 2 sasa inanibutua mbayaa mbovuuu
Hahahahaha watu aviator kule wanapiga ela daily we unasubiri dakika tisini mwisho wa siku unachana mm huku na laki , kikubwa akili mtu wanguKamari bora na ya haki itabaki kuwa ya kubeti tu nyingine zote zipo mikononi mwa mmiliki yeye ndiye anaye hamua ushindi uweje acha kupotosha wajinga
mkuu weee ni muongo hujawahi kupata pesa, unatafuta watu wakuwapiga utumie pesa zao kama mtaji, kama unabisha weka ushahidi hapa tukuamini.Miamala ya nini sasa mm najali maokoto huamini sio